Kama ni 6, hata Yanga iliwahi kufungwa 6, 5 na Simba

Kama ni 6, hata Yanga iliwahi kufungwa 6, 5 na Simba

OKW BOBAN SUNZU

Platinum Member
Joined
Aug 24, 2011
Posts
53,868
Reaction score
121,001
964b713c09854e149d37b0d1d6e35474_310845152_870440307256638_8423602473927210862_n.jpg
Nimeona watu wanaleta ushahidi wa mechi dhidi ya Namungo ambayo wachezaji 8 bora wa Premeiro D'Agosto walizuiwa kucheza kwa "Mizengwe" ya UVIKO 19.

Hata baada ya kufungwa 6-2 pale Chamazi ambako zilichezwa mechi zote 2, lakini Namungo kwenye Group stage HAWAKUWEZA kufunga hata bao 1, kitu kilichoonyesha bila zengwe la UVIKO 19 pengine wasingekuwepo kwenye makundi.

SIMBA SC ipewe heshima yake, timu zetu zoote zinaweka malengo ya kucheza Makundi, Simba SC peke yao ambao malengo yao ni NUSU FAINALI.

Ukiona wanavyocheza wanakuonyesha hawapangi malengo kwa bahati mbaya. Yes, wana mapungufu kulinganisha na WAKUBWA wenzao wa Africa, lakini nyie wengine HAMJIWEZI kwenye hizi anga zao tuweni wakweli tu.

My Take
Unawezaje kutilia mashaka kiwango cha bingwa na Angalo? Tena bingwa mbele ya Petro Atletico?
Labda nikusaidie kujua viashiria vya timu kubwa. Huwa ni ushindi wa kushtua nje ndani. Tazama matokeo ya timu kubwa zote. Ni Al Hilal tu ndio waliwakosa kosa.

Lakini kama ni walifungwa goli 6 na Namungo,mbona hata nyinyi mlifungwa 6 na Simba,kisha mkapigwa 5 na kisha 4. Kuna tatizo?

Lakini mara hii mmesahau kama Al Hilal walikuwa nne kwa Simba? Timu ambayo imewatoa kamasi.

Sisikii tena Simba Sc kupulizia sumu vyumbani wala COVID. Kuweni na adabu kubwa mnapoongelea Simba.
 
Nimeona watu wanaleta ushahidi wa mechi dhidi ya Namungo ambayo wachezaji 8 bora wa Premeiro D'Agosto walizuiwa kucheza kwa "Mizengwe" ya UVIKO 19.

Hata baada ya kufungwa 6-2 pale Chamazi ambako zilichezwa mechi zote 2, lakini Namungo kwenye Group stage HAWAKUWEZA kufunga hata bao 1, kitu kilichoonyesha bila zengwe la UVIKO 19 pengine wasingekuwepo kwenye makundi.

SIMBA SC ipewe heshima yake, timu zetu zoote zinaweka malengo ya kucheza Makundi, Simba SC peke yao ambao malengo yao ni NUSU FAINALI.

Ukiona wanavyocheza wanakuonyesha hawapangi malengo kwa bahati mbaya. Yes, wana mapungufu kulinganisha na WAKUBWA wenzao wa Africa, lakini nyie wengine HAMJIWEZI kwenye hizi anga zao tuweni wakweli tu.

My Take
Unawezaje kutilia mashaka kiwango cha bingwa na Angalo? Tena bingwa mbele ya Petro Atletico?
Labda nikusaidie kujua viashiria vya timu kubwa. Huwa ni ushindi wa kushtua nje ndani. Tazama matokeo ya timu kubwa zote. Ni Al Hilal tu ndio waliwakosa kosa.

Lakini kama ni walifungwa goli 6 na Namungo,mbona hata nyinyi mlifungwa 6 na Simba,kisha mkapigwa 5 na kisha 4. Kuna tatizo?

Lakini mara hii mmesahau kama Al Hilal walikuwa nne kwa Simba? Timu ambayo imewatoa kamasi.

Sisikii tena Simba Sc kupulizia sumu vyumbani wala COVID. Kuweni na adabu kubwa mnapoongelea Simba.
Acha upimbi wewe bingwa wa angola ni petro atletico mbona unadanganya
Nimeona watu wanaleta ushahidi wa mechi dhidi ya Namungo ambayo wachezaji 8 bora wa Premeiro D'Agosto walizuiwa kucheza kwa "Mizengwe" ya UVIKO 19.

Hata baada ya kufungwa 6-2 pale Chamazi ambako zilichezwa mechi zote 2, lakini Namungo kwenye Group stage HAWAKUWEZA kufunga hata bao 1, kitu kilichoonyesha bila zengwe la UVIKO 19 pengine wasingekuwepo kwenye makundi.

SIMBA SC ipewe heshima yake, timu zetu zoote zinaweka malengo ya kucheza Makundi, Simba SC peke yao ambao malengo yao ni NUSU FAINALI.

Ukiona wanavyocheza wanakuonyesha hawapangi malengo kwa bahati mbaya. Yes, wana mapungufu kulinganisha na WAKUBWA wenzao wa Africa, lakini nyie wengine HAMJIWEZI kwenye hizi anga zao tuweni wakweli tu.

My Take
Unawezaje kutilia mashaka kiwango cha bingwa na Angalo? Tena bingwa mbele ya Petro Atletico?
Labda nikusaidie kujua viashiria vya timu kubwa. Huwa ni ushindi wa kushtua nje ndani. Tazama matokeo ya timu kubwa zote. Ni Al Hilal tu ndio waliwakosa kosa.

Lakini kama ni walifungwa goli 6 na Namungo,mbona hata nyinyi mlifungwa 6 na Simba,kisha mkapigwa 5 na kisha 4. Kuna tatizo?

Lakini mara hii mmesahau kama Al Hilal walikuwa nne kwa Simba? Timu ambayo imewatoa kamasi.

Sisikii tena Simba Sc kupulizia sumu vyumbani wala COVID. Kuweni na adabu kubwa mnapoongelea Simba.
Mbona unapotosha watu wewe mbumbumbu aisee, kama hujui kitu ni bora ukakaa kimya, unasema de agosto ni bingwa wa angola kwenye ligi ipi amekuwa bingwa? Bingwa wa angola ni petro de luanda amechukua ubingwa kwa point zake 75 dhidi ya mshindi wa 2 de agosto aliyekuwa na point zake 61, usifanye kila mtu ni mbumbumbu bwana unapoleta details zako kuwa makini
 
Back
Top Bottom