Abraham Lincolnn
JF-Expert Member
- Apr 12, 2018
- 2,754
- 4,975
Kwa jinsi elimu yetu ilipofiki hakika Inasikitisha sana! Nadhani huyu katibu mkuu anapaswa kujitafakari sana.
Kama wanajua mazingira ya wanafunzi ni tofauti hilo ni kosa la nani? Wakati huo Syllabus na mtaala ni mmoja! Bado haitoshi mtihani ni mmoja Tanzania nzima, Kwa nini serikali isiboreshe shule zao ili kuwe na uwiano kimazingira?
Hizo shule kuboresha mazingira na kufaulu vizuri leo imekuwa nongwa kwao? Pamoja na kwamba kweli ni shule binafsi kibiashara sidhani kama hilo linahusiana as long as wanatoa elimu bora wanastahili sifa! na sio kufanywa kana Kwamba sio shule za Tanzania!,
Inashangaza sana kuona KM anadiriki kusema eti anawatangazia biashara! Seriously? Hiyo ni sawa na kusema IHEFU isishiriki ligi eti kwa kuwa Simba ina mazingira mazuri zaidi yao! wanafunzBasi ili kuwe na uwiano pia iwepo mitihani tofauti kulingana na mazingira!
Kama wanajua mazingira ya wanafunzi ni tofauti hilo ni kosa la nani? Wakati huo Syllabus na mtaala ni mmoja! Bado haitoshi mtihani ni mmoja Tanzania nzima, Kwa nini serikali isiboreshe shule zao ili kuwe na uwiano kimazingira?
Hizo shule kuboresha mazingira na kufaulu vizuri leo imekuwa nongwa kwao? Pamoja na kwamba kweli ni shule binafsi kibiashara sidhani kama hilo linahusiana as long as wanatoa elimu bora wanastahili sifa! na sio kufanywa kana Kwamba sio shule za Tanzania!,
Inashangaza sana kuona KM anadiriki kusema eti anawatangazia biashara! Seriously? Hiyo ni sawa na kusema IHEFU isishiriki ligi eti kwa kuwa Simba ina mazingira mazuri zaidi yao! wanafunzBasi ili kuwe na uwiano pia iwepo mitihani tofauti kulingana na mazingira!