Kama ni kweli gari la wanawake BAWACHA limepigwa mawe wahusika wakamatwe

Ndani ya CCM kuna mashetani na maharamia ya ajabu, na hayo ndiyo yanayoambukiza uovu kwa watoto wetu.

CCM.ni alama ya uwepo wa shetani Duniani.

Ni wakati wa wote wenye Roho wa Mungu kujitenga na shetani CCM.
Utakufa na sonona bwanamdogo hao bd wapo mpk wajukuu zako
 
Ndani ya CCM kuna mashetani na maharamia ya ajabu, na hayo ndiyo yanayoambukiza uovu kwa watoto wetu.

CCM.ni alama ya uwepo wa shetani Duniani.

Ni wakati wa wote wenye Roho wa Mungu kujitenga na shetani CCM.
Hii ni kweli kabisa.
 
Ccm ni mashetani.
 
Ushamba tu unazani kuzaliwa marekani ni big deal ?
Wewe ndiye mshamba kwani nani amesema kuzaliwa Marekani ni big deal? Mimi nimemjibu huyo aliyesema kuwa Lissu amewanadilisha uraia watoto wake,ukweli ni kuwa hao watoto ambao ni mapacha walizaliwa Marekani wakati Lissu akiwa Marekani,hivyo uraia wao siyo wa kuandikishwa bali ni wa kuzaliwa, unapo argue uwe na data.
 
Una roho mbaya hata maandishi yako tu yanaonyesha hivyo. Pambana na hali yako. Kuna sababu ya kula mmoja wetu kuzaliwa alikozaliwa. Kwahiyo hata kuongelea tu ni aina Fulani ya kwamba umechafukwa.
😂
 
 
Ccm akili hamna kabisa, hao wahuni dawa yao ipo jikoni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…