Super Handsome
JF-Expert Member
- Jul 16, 2013
- 3,844
- 6,448
Halafu mbona anapenda kushika wanaume mabega akipiga picha?
Ulitaka awashike wapi? Kuna watu hua hata sijui mnawaza kupitia kona gani ya mwili wenu!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Halafu mbona anapenda kushika wanaume mabega akipiga picha?
- Kaka wewe sio great thinker ungekuwa usingekurupuka na majungu na chuki, hao watu ninaopiga nao picha wana wafanyakazi wengi sana wa kuwasaidia kuwaambia mtu wa kuwasogelea na kutowasogelea usidhani unaweza kumaka mtu usingizini ukapiga picha na Mzee Mengi au Omar Bakhressa, kuna watu wengi wenye heshima kubwa sana na hawawezi kuwaona mimi nawaona anytime ni kwa sababu nina heshima kubwa sana na jamiii isipokuwa some mburulazzz here with no brain like you, unakwenda kuandika mpost hakuna kichwa wala miguu unaona ainu yako sasa badala ya kuomba radhi unajibaraguza wewe unaweza kusimama na mimi kwa akili mingi wewe?
- Chezeya wajinga wenzako mkuu mimi sio level yako kabisa na watu wengi wamekuwambia humu kuna watu kama Waberoya wewe unamjua ni nani in the real life? mnaruka ruka tu na maneno ya kuchafua watu wala hamuwajui sasa imagine ningekuwa siwezi kuja kujibu ingekuwaje? Wacheni haya ingawa nakushuru kwa kunipa nafasi ya kukuelimisha na wengine kama wewe le mburulazzz
Le Mutuz
Ulitaka awashike wapi? Kuna watu hua hata sijui mnawaza kupitia kona gani ya mwili wenu!
yaani haya ndio majibu ya mtu mwenye degree 3..time will tell- hahahahahaha Chezeya hiyo kitu natural wewe, kudadeki bonge kiss U know from mbebez wa ukweli U know I love it U know hahahahaha Chezeya wewe Adam mwenyewe alimkana Mungu hahahahaha
Le Mutuz
yaani haya ndio majibu ya mtu mwenye degree 3..time will tell
- hahahahahaha Chezeya hiyo kitu natural wewe, kudadeki bonge kiss U know from mbebez wa ukweli U know I love it U know hahahahaha Chezeya wewe Adam mwenyewe alimkana Mungu hahahahaha
Le Mutuz
Rika lake ni la akina pinda na hao akina mwigulu...Nyalandu...hao hawampati kiumri....
Membe anamwamkia Lemutuz lakini ushangae ufundi Wa Mungu....
Kila nikimwangalia huyu Zamwamwa lemutuz na nikimwangalia na age mate wake pinda na Lukuvi huwa naishia na conclusion world is not fair......
mkuu huyu kichwa nazi akisoma hapa hataingia tena jf
Rika lake ni la akina pinda na hao akina mwigulu...Nyalandu...hao hawampati kiumri....
Membe anamwamkia Lemutuz lakini ushangae ufundi Wa Mungu....
Kila nikimwangalia huyu Zamwamwa lemutuz na nikimwangalia na age mate wake pinda na Lukuvi huwa naishia na conclusion world is not fair......
sikiliza we jamaa..whatever the name you call yourself i dont give a shit about you,huna lolote kichwani na wala huna sifa ya kuniita mie sio GT..na hivyo vi degree vyako vya zoom college usitake kutisha watu hapa,ningekuona wa maana ungenambia hata una Phd,mbona wakati wakugombea ubunge wa EA ulisema unadegree moja ya POLITICAL SCIENCE na huku unajifanya ww unazo tatu..kama unadegree 3 weka vyeti vyako tuone hapa acha kutishia watu..nini kupiga picha na ao watu? me mwenyewe nishapiga picha na Mengi kwenye tamasha la watoto wasiojiweza na wenye ulemavu, nshapiga picha mpaka na mkulu kwenye campaign,usifanye kupiga picha na hao watu ndio big issue..we jama kichwani mwako ni NAZI TUPU..Infact huambiwi tu lakini wewe ni looser,na yawezekana huu usenge wako unaoufanya mtaani ndio ulimfanya hata baba yako akose ubunge tena,ndio maana hata demu wako yule mtangazaji wa capital radio(BAHATI) alikumwaga kwa kashifa kwa kuwa unajisifia kama demu,mwanaume unajisifia unaishi nyumba ya baba yako? we ni ---- kuliko mafala wote TZ,Wakati unajisifia unaishi nyumba ya baba yako watoto wa retired PM wanaendesha RECOGNIZED PROJECT ..ni CEO,MD we ni CEO wa mademu..na huyu mwanamke unayemfukuzia fb mwenye number inaishia ...33 atakutokea puani..jifanye mjanja wa mademu kumbe kichwani hakuna kitu kabisa,,,sasa nimeamini kwa nini hata ndoa yako ya kwanza imevunjika..mkeo alijitwisha gunia la misumali aisee,not easy kwenda along na kichaa kama wewe,hata huyo demu wako unayesema ungemuoa toka mwaka jana kakutosa sio kwa sababu anasoma MA ni kwa sababu amekuona wewe ni kiroba cha misumali hubebeki..do you think we ndio mtu wa kwanza kuwa na blog Tanzani?
go to hell huna nafasi ya kunielimisha mie..kawaelimishe hao mabeeez wa uswazi unaowapiga picha..hakuna society lady atakayekubali piga picha na chizi kama wewe..
- Ok jamani naomba niende maana niliitwa kuwa tayari kuna page 10 ndio maana nikaja, thanks guys ila mkinihitaji sipo mbali sana U know! hahahahahahahaha
Le Mutuz
1. The King of All Bongo Social Media Network Le Mutuz Nation, nina Degree 3 1. Marine Engineering niliisomea at Angtwerpen/Belgium 2. Ciriminology niliisomea at Westchester College/USA 3. Political Science niliisomea at Lehman College USA.
2. Nimeishi Belgium Miaka 6 ambayo nilikuwa ninasoma na kufanya Field Melini kwa katika kipindi hicho cha Miaka 6 nimefanikiwa kutembelea nchi zaidi ya 85% ya Dunia, na baada ya kumaliza masomo nikarudi bongo na kuhamia New York City/USA.
3. Nimeishi USA I mean New York City Miaka 25, nikaamua kurudi nyumbani moja kwa moja miaka 3 iliyopita, nilipofika tu niligombea ubunge wa East Africa, kura hazikutosha lakini nikagombea nafasi zingine ndani ya chama changu CCM ambacho nikiwa New York City nilikifungulia Tawi la kwanza la CCM toka tupate uhuru ambalo lipo mpaka leo, na CCM kwa kuheshimu kazi yangu wakamtuma Katibu Muenezi Nape kuja kunisaidia kulifungua lipo mpaka leo. Ndani ya CCM Taifa nilifanikiwa kushinda vyeo 3 na vifuatavyo ambavyo ninaendelea kuwa navyo mpaka MWaka 2017:-
1. Mjumbe wa Mkutano Mkuu wa CCM Taifa unaochagua Mgombea urais wa CCM.
2. Mjumbe Baraza Kuu la Taifa Wazazi/CCM
3. Mjumbe Baraza Kuu UVCCM Taifa.
3. Nina kampuni ya Blogu ya Wananchi Media Company Limited ambayo ni registered Brela na ina wafanyakazi 4 Vijana waliomaliza Chuo Kikuu cha Mlimani, hivyo nimesaidia kupunguza tatizo la ajira kwa Taifa I hope na wewe umefanya hilo, Mimi pia ni Transportation Manager wa Chicasa ICD Mbagala Project, ndio maana kila Kampuni yangu inapokuwa na Meli nihamia bandarini kusimamia kazi za Kampuni yangu, Mimi ni Promoter wa Music na events mbali mbali ndiye ninayeratibu events za Intagram Party Tanzania Tour 2014 ambazo tulianza na Dar, Mwanza, Mbeya, juzi Dar Jumamosi ijayo Dodoma na pia sasa hivi ninatayarisha the biggest event ya music Tarehe 22/11/2014 at Escape 1 Beach Club ambayo itakuwa ni aina yake na kugharimu Mamilioni ya pesa kutoka wadhamini. Na pia mimi ni Balozi maalum wa kinywaji cha Shuda Cocktails kutoka London UK ndio maana majuzi nilikuwa na Diamond kwenye ufunguzi wa kampuni hiyo hapa bongo pale Serena.
4. Binafsi sio mwizi mali zangu zote ni za halali ndio maana huwa sina tatizo kuzitaja, Nina Shamba kubwa la Eka 5 na nyumba kubwa niliyoijenga Kinyerezi nikiwa USA, nina 3 Bedrooms Apartment Changombe na pia nina 3 Bedrooms Apartment hapa Mjini at Jamhuri Street hizi nimezipata baada ya kurudi nchini katika kipindi hiki cha miaka 3 niliyoishi hapa. Niliporudi nilishindwa kwenda kuishi Kinyerezi kwa sababu ya umbali na pofisi yangu ambayo ipo Gerezani kwa hiyo nikaamua kuishi kwenye tupu ya Baba yangu iliyopo Sea View mpaka pale nitakapopata Nyumba yangu, kwa hiyo baada ya kupata nipo kwenye nyumba yangu Jamhuri Street, sidhani kama ni ishu sana maana baada ya kurudi Tanzania after 30 years nje nilihitaji pa kuanzia na ninamshukuru sana baba yangu kwamba amekuwa na uwezo wa kuishi Dodoma akiwa na nyumba hapa mjini ambazo hazina mtu na ni mpoja ya niliyokuwa nikiishi.
5. Nina haki zote za kujisifia na kazi za Baba yangu siamini kwamba ni kuvunja sheria, ninamini na wewe una baba yako ambayo upo proud naye na kazi zake hapa Duniani. Ni kweli Baba yangu akiwa Waziri wa nje baba yake Wema Sepetu alikuwa Waziri wake mdogo, sijui kosa langu ni nini kwa kusema hivyo as a FACT!!
6. Mimi as Le Mutuz Nation ni Celebrity ninaalikwa kwa kawaida hata sehemu 10 usiku mmoja watu wanataka niseme nilikuwepo kwenye envets zao maana mimi ni The King wa Social Media, na hata ukienda kwenye my Instagram Wall utaona kwamba makampuni makubwa kama Airtel, na Vodacom watanatangaza matangazo yao ya biashara na pia ninawasaidia Wajasiriamali wadogo wadogo kwa kuwashindanisha my folowers at Instagram na kwuapa zawadi lengo ni kutangaza biashara za hao wajariamli wadogo waodogo wanaonilipa kwa kila tangazo.
7 Ni kweli nina marafiki wengi sana kwa sababu tabia zangu zinakubalika sana na wananchi wengi hapa Tanzania, ndio maana Mfayabiashara maarufu kama Omar Bahkressa huwa hakubali kupiga pichaa na mtu lakini anapiga na mimi, vyombo vyangu vya media vinatumika sana na watu wasiopenda ujinga kwa mfano majuzi mdogo wake Rais wa Jamhuri Kiwadinyo Kikwete alipfanya harusi aliruhusu vymbo vyangu tu kurusha picha zake za harusi, hii inaonyesha jinsi gani ninaheshimika sana na watu wengi muhimu katika hii jamii.
- Sasa kwa kumaliza kwanza naomba kukushukuru kwa mara nyingine tena kunipatia nafasi ya kuelimisha umma mimi ni nani, ninaamini kwa mwenye akili yoyote atakayesoma hapa atakubaliana na mimi kwamba unyemzungumzia wewe sio mimi maana ulichoandika ni majungu, chuki, wivu na fitina, soma tena hapa unijue vizuri mkuu, nezt time muwe mnauliza badala ya kurukia rukia watu msiowajua, wewe hunijui na ninasema hivi kama haya yote ninayoyafanya kwenye maisha yangu ya binafsi na jamii hayafanani na Degree 3 na umri wangu, ninaomba unipe mifano ya walio na elimu kama yangu na umri kama wangu na wanayoyafanya ndio nitajirekebisha kama ulivyotaka, otherwise kiss my left foot and mind your business ok!!
hahahahahahahaahahahahahahahahah
The King Of All Bongo Social Media Network
Le big Show
Tufanye Belgium alienda na miaka 20
Akakaa Belgium kwa miaka kama 6
Akarudi bongo tufanye mwaka 1
Akaenda kukaa USA kwa miaka 25
Amerudi bongo miaka 3 iliyopita
20+6+1+25+3=55
Nadhani kwa hesabu za haraka haraka kashawajibu wanaoulizia umri wake.
Na bado yuko UVCCM.
Punguza jazba mzee inaonekana lemutuz amekukomesha kapiga ikulu u knw! Haha chilax bro...
Tufanye Belgium alienda na miaka 20
Akakaa Belgium kwa miaka kama 6
Akarudi bongo tufanye mwaka 1
Akaenda kukaa USA kwa miaka 25
Amerudi bongo miaka 3 iliyopita
20+6+1+25+3=55
Nadhani kwa hesabu za haraka haraka kashawajibu wanaoulizia umri wake.
Na bado yuko UVCCM.
Lemutuz humu ni babu yetu aisee....
Yupo sawa na lukuvi...Pinda..Wasira...
Anaamkiwa na Membe...Nyalandu...Nchimbi n.k n.k
Tofauti yao ni kuwa wakati wenzake walishatulia na maisha wanaelekea climax huyo lembululaz ndo kwanza anatoka kwenye utoto kwenda kwenye u teenager.....
Wakati wenzie wanakaribia kujukuu yeye ndo anahangaikia mchumba Wa kufunga nae pingu za maisha uwanja Wa Taifa....
MTU wa miaka 60s hata personal hygiene sifuri yaani kuoga na kupiga mswaki mpaka siku ya mwenge au maadhimisho ya Muungano ni aibu....
Wengi wanalalama kuwa ananuka Sana kwapa...mdomo...na kwingineko
sikiliza we jamaa..whatever the name you call yourself i dont give a shit about you,huna lolote kichwani na wala huna sifa ya kuniita mie sio GT..na hivyo vi degree vyako vya zoom college usitake kutisha watu hapa,ningekuona wa maana ungenambia hata una Phd,mbona wakati wakugombea ubunge wa EA ulisema unadegree moja ya POLITICAL SCIENCE na huku unajifanya ww unazo tatu..kama unadegree 3 weka vyeti vyako tuone hapa acha kutishia watu..nini kupiga picha na ao watu? me mwenyewe nishapiga picha na Mengi kwenye tamasha la watoto wasiojiweza na wenye ulemavu, nshapiga picha mpaka na mkulu kwenye campaign,usifanye kupiga picha na hao watu ndio big issue..we jama kichwani mwako ni NAZI TUPU..Infact huambiwi tu lakini wewe ni looser,na yawezekana huu usenge wako unaoufanya mtaani ndio ulimfanya hata baba yako akose ubunge tena,ndio maana hata demu wako yule mtangazaji wa capital radio(BAHATI) alikumwaga kwa kashifa kwa kuwa unajisifia kama demu,mwanaume unajisifia unaishi nyumba ya baba yako? we ni ---- kuliko mafala wote TZ,Wakati unajisifia unaishi nyumba ya baba yako watoto wa retired PM wanaendesha RECOGNIZED PROJECT ..ni CEO,MD we ni CEO wa mademu..na huyu mwanamke unayemfukuzia fb mwenye number inaishia ...33 atakutokea puani..jifanye mjanja wa mademu kumbe kichwani hakuna kitu kabisa,,,sasa nimeamini kwa nini hata ndoa yako ya kwanza imevunjika..mkeo alijitwisha gunia la misumali aisee,not easy kwenda along na kichaa kama wewe,hata huyo demu wako unayesema ungemuoa toka mwaka jana kakutosa sio kwa sababu anasoma MA ni kwa sababu amekuona wewe ni kiroba cha misumali hubebeki..do you think we ndio mtu wa kwanza kuwa na blog Tanzani?
go to hell huna nafasi ya kunielimisha mie..kawaelimishe hao mabeeez wa uswazi unaowapiga picha..hakuna society lady atakayekubali piga picha na chizi kama wewe..
Huyo atakua mdogo wake cameroon.... hahahahaha.