Kama ni kweli haya yanayosemwa Le Mutuz badilika haraka sana

Ahahahahahaaaaaaa Le kochekozzzzzzzzzzzz ahahahahaaaaaaaaa U know
 

Now das ma nigga for real.

When folks can't keep your name out their mouths that means there's got be something that you are doing right.

So if I were you I wouldn't change a damn thing.

Instead I'd double down even more because the only thing worse than being talked about is not being talked about.
 
- Jamani Nifah baby nakupenda mpaka naumwa U know le mbebezz mukareezzz U know hahahaha le Super mutindizzzzz U know me I love it please marry me baby for real U know!!

Le Big Show

Mbebz huyo.....hahahahaaa.

Eti le mbebez mukareeez......
 
Darasani tulijadili hadi maisha ya minyoo,mammalia,reptiles hadi catarpillars seuze binadem,star,super celeb kama Le baharia!!utakufa bure na ugonjwa wa moyo,acha tutaniane na babu yetu
 

Le mutuz tutakuja kukupa kampani,na nitapiga picha na wewe nikikuomba usikatae.
 
Mimi simchukii Le Mutuz kwanza hanijui,vilevile nimfagilie without gardem reason akati kaninyima kazi akuuu!

Haha hahaaaa kumbe unataka kazi tu?usijali nadhani amekusikia mwaya....
Le Mutuz ni mutu ya watu u know...
 

le mutuz nijibie huyu Muuza Sura anakuchokoza
 
Last edited by a moderator:
Haha hahaaaa kumbe unataka kazi tu?usijali nadhani amekusikia mwaya....
Le Mutuz ni mutu ya watu u know...
Mm
Mam hujaona proposal ya Le baharia Le sexy man!hapa unanipromise kama mke mtarajiwa au super fan wa Le baharia?!
 
Huyu Le Mutuz zamani nilikuwa simwelewi ila nimeanza kumwelewa karibuni tu.
Na tangu nianze kumwelewa nimemsalute, sisemi kitu.
Anajua kucheza na akili za watu.
 
Mm
Mam hujaona proposal ya Le baharia Le sexy man!hapa unanipromise kama mke mtarajiwa au super fan wa Le baharia?!

Hahahaaaa acha uchokozi bwana....
Mimi ni le super fan u know....
 

Hahahahaha I like it
 

Attachments

  • 1415128312363.jpg
    59 KB · Views: 273
- Muwache huyo ni my babby U know nampenda mpaka naumwa

Le Mutuz

Hahahaha uknw nifah mbebiz mkarez lazima nipige nae mapicha kama sabini ili supergardem Mazafantaz wanunune hahahaha! Unajua nina degree tatu ndio maana Mbuluraz wananichukia na nina wazidi shule hahahahahahaha! I like it!
 
Last edited by a moderator:
Hahahaaaaa itabidi nikutafute tupige selfies za kumwaga u know...ili madebe matupu yazidi kupiga kelelez u know...
Na watuwache tulale le super gadem mburulazz wasikupe headache

Madebe matupu... Le fisi ahahahah Le Mutuz nation ni balaa
 

Mama yuva nakupenda mpaka naumwa u know,Le mbebez mukareez,King of all bongo social networks me I love it,u know hahahaha u know
Le baharia
 
Anazo degree za madebe..... mtu msomi hawezi reason kishamba hivyo au yawezekana nati Fulani hazijakaza kichwani
 
Anazo degree za madebe..... mtu msomi hawezi reason kishamba hivyo au yawezekana nati Fulani hazijakaza kichwani
Mtazamo wako, we umesoma unataka nini na yeye amesoma anataka nini? hamuwezi kufanana. He is living his life anavyopenda yeye!
 
Huyu Le Mutuz zamani nilikuwa simwelewi ila nimeanza kumwelewa karibuni tu.
Na tangu nianze kumwelewa nimemsalute, sisemi kitu.
Anajua kucheza na akili za watu.

- Hatimaye katokea mtu mwingine mwenye akili please ondoka hapa niachie haya mazumbukuku yangu yanajua sana kutukana matusi, mimi natengeneza pesa hapa hapa niwachie watu wangu kaka utawaamsha bure usingizini watanishitukia, hahahahahahahahah

Le Mutuz
 

- hahahahaha Yo Worup! worup! maan loong time my nigga you know I am back in Africa still keeping it real U know, za niggaz here are like damn man cant get the juicy of where I am coming from U know so I am like damn man I git the juice so nigazz are in super trouble mazafantazzz U know, hahahahahaha

Le Mutuz
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…