Robert S Gulenga
JF-Expert Member
- Jan 3, 2013
- 2,255
- 1,565
- Thread starter
-
- #321
O.M.G seriously? Napataga shida sana na watu wanaopenda kupakaza mbovu za watu wengine, hasa hasa wanapokuwa too personal! Najiulizaga maswali mengi sana. Because ukisema mbaya, hasa kwenye kadamnasi you never know, unaweza kuonekana mbaya wewe zaidi! Just thinking aloud, kimya kimya nimewaza mengi zaid, U know. You don't like him, basi usifuatilie post zake, stay away, ukifuatilia ina maana anakushika somewhere? If you think Le mutuz ni mburulaz, then kwa nini unatolea povu mburulaz? For me umburula zaidi ni kushadadia maisha ya mtu mwingine, hadi unachukua komputer yako na kutengeneza insha ya maswalii ndeeeefuuuuu! Lazima kuna unachotamani hapo sio bure, unatamani na wewe baba angekupa nyuma usiwe na worries za pesa? Unataka umaarfu na wewe? What exactly do you want from him? Sihitaji jibu btw but kama nilivyosema just thinking aloud, na wewe unaweza kuthink kimya kimya. nilikuwa simjui Le mutuz lakini umenifanya nimjue na kuangalia post zake. Kama wewe sio manager wake, then Mhu, kaimbe tenzi 59!
Le loud thinker!
dada ukipata mchumba kihelele kitakuisha na utaacha kupapalikia wanaume