KAMA NI KWELI HUU UFUNGUO UTAIPASUA SANA UTOPOLO MSIMU HUU

KAMA NI KWELI HUU UFUNGUO UTAIPASUA SANA UTOPOLO MSIMU HUU

njaakalihatari

JF-Expert Member
Joined
Feb 12, 2019
Posts
4,081
Reaction score
8,671
Kijana katengenezwa na propaganda akawa mkuubwaa hadi yeye akajishangaa , ukweli ni kwamba hizi teams 3 za bongo zinalipa mishahara ambayo huko west africa wachezaji hawana kabisa lakini Aziz key propaganda yake na jinsi walivyo handle suala lake lita wa cost sana mbeleni huko

***Sharti la kwanza M burkinabe mwenzake Yacouba alivyoona hana nafasi akamdokeza kwamba akubali kuja ila sharti Yacouba asitolewe yanga sasa sijui anaenda Geita gold kwa mkopo kweli au la

***Kijana anataka apangiwe nyumba nzima yeye na familia yake


***Kijana hataki kukaa kambini anataka atokee nyumbani(patamu sana hapo)

**Kijana atakula mshahara mkubwa sana na pesa ya signing fees plus mshahara ina disturb balance ya vitabu na cash iliyotolewa na Gharib ya usajili

***Mambo yameyumba kimahesabu kiasi kwamba kambi inaweza kwenda kuwekwa karatu siyo boston tena

Kijana kakuzwa kupita kiasi acha avimbe ila wenzake wakianza kumsusuia haswa wa congo ndipo mtajua maharage ni mboga au kiwanda cha kufyatulia ushuzi

**Sasa kwa propaganda zilipofikia inabidi tu atambulishwe kwa gharama yoyote ile ile mida ya wanga ila walahi nasubiri kwa hamu maringo yake aya apply msimu ukianza
 
Makolo fc wanaweweseka sana aisee
kama tu huyo mayele alilalamika mechi ile ya mwisho kwamba hapewi pass na wenzake sembuse maringo ya ufunguo?
we sema kuweweseka halafu wamkubalie masharti yake ya kutokaa kambini na yacouba abaki halafu utarajie apate ushirikiano kwa wenzake haswa wa congo
 
kama tu huyo mayele alilalamika mechi ile ya mwisho kwamba hapewi pass na wenzake sembuse maringo ya ufunguo?
we sema kuweweseka halafu wamkubalie masharti yake ya kutokaa kambini na yacouba abaki halafu utarajie apate ushirikiano kwa wenzake haswa wa congo
Muda ni mwalimu mzuri sana, tutaona kama yaliyosemwa ni sahihi
 
Utopolo wanataka nyingi nasaba.Watapasuka msamba kwa kumuiga tembo "kukimbia" kwenye miba.😂😂😂😂
 
Kolo mwenyewe anajiona katoa za ndaaani kabisa huku akijua kabisa ametunga
 
kama tu huyo mayele alilalamika mechi ile ya mwisho kwamba hapewi pass na wenzake sembuse maringo ya ufunguo?
we sema kuweweseka halafu wamkubalie masharti yake ya kutokaa kambini na yacouba abaki halafu utarajie apate ushirikiano kwa wenzake haswa wa congo
Uzuri WANANCHI sio MBUMBUMBU

Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
 
Kijana katengenezwa na propaganda akawa mkuubwaa hadi yeye akajishangaa , ukweli ni kwamba hizi teams 3 za bongo zinalipa mishahara ambayo huko west africa wachezaji hawana kabisa lakini Aziz key propaganda yake na jinsi walivyo handle suala lake lita wa cost sana mbeleni huko

***Sharti la kwanza M burkinabe mwenzake Yacouba alivyoona hana nafasi akamdokeza kwamba akubali kuja ila sharti Yacouba asitolewe yanga sasa sijui anaenda Geita gold kwa mkopo kweli au la

***Kijana anataka apangiwe nyumba nzima yeye na familia yake


***Kijana hataki kukaa kambini anataka atokee nyumbani(patamu sana hapo)

**Kijana atakula mshahara mkubwa sana na pesa ya signing fees plus mshahara ina disturb balance ya vitabu na cash iliyotolewa na Gharib ya usajili

***Mambo yameyumba kimahesabu kiasi kwamba kambi inaweza kwenda kuwekwa karatu siyo boston tena

Kijana kakuzwa kupita kiasi acha avimbe ila wenzake wakianza kumsusuia haswa wa congo ndipo mtajua maharage ni mboga au kiwanda cha kufyatulia ushuzi

**Sasa kwa propaganda zilipofikia inabidi tu atambulishwe kwa gharama yoyote ile ile mida ya wanga ila walahi nasubiri kwa hamu maringo yake aya apply msimu ukianza
Mchezaji wako Mugalu yuko kwenye ✈️🛫🛬, wewe uko huku ardhini unabwabwaja tu. 😁😁
 
Mchezaji wako Mugalu yuko kwenye [emoji3575][emoji928][emoji929], wewe uko huku ardhini unabwabwaja tu. [emoji16][emoji16]
[emoji16][emoji16][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Back
Top Bottom