Kama ni kweli, ni picha gani unapata hapa??

Eh watu wamekuwa wakali mwe! Jamani mnisamehe tu bure but haya ni sehemu tu ya yanayojiri katika mapenzi na mahusiano. Msipovuke sana

MJ1,

Inakera sana kuona wanawake wa siku hizi wanakubali kutumika hadi wanapitishwa kila njia kama boda boda!
 
KWeli kabisa kamanda, tena tumuongeze hapo na shemeji mtu kabisaa, yaani wote ni kuchabangwa mboko m@takoni
 
KWeli kabisa kamanda, tena tumuongeze hapo na shemeji mtu kabisaa, yaani wote ni kuchabangwa mboko m@takoni

Kweli mkuu,

Kwa Da Sophy kukubali kupakiwa mshikaki kama boda boda naye anastahili kupewa chai aiseee!!
 

...kamanda, hivi umegundua wanawake wasomi na wenye nafasi zao kijamii, wengi wao wana suffer domestic abuses compared na wale waliokimbia 'umande?'...au weye waonaje? inachangiwa na nini hii?

hapana, sitaanzisha mdahalo huo.


Eh watu wamekuwa wakali mwe! Jamani mnisamehe tu bure but haya ni sehemu tu ya yanayojiri katika mapenzi na mahusiano. Msipovuke sana

Oooopppsss, samahani mwj1....sikukusudia kwa ubaya, ni uchungu tu ulinipitia kwani kisa hiki kimenikumbusha
kisa fulani nilichohadithiwa mwezi septemba nikiwa safarini baina ya serengeti na ngorongoro...

uwe na amani.
 
Hahahaha! Mbu dah sina mbavu nimecheka kweli kweli dah eti "Msukule" kama alivyosema MTM wengine imebidi tuwe gender sensitive ila hii ya "Msukule" imeniacha hoi aisee
 
Reactions: Mbu
nimeshangaa kweli, halafu huyo dada naye anataka ushauri wakati writings are on the wall, kwamba its a dumb and dumber relationship

WTF.... hebu ngoja nipate mneli kabisa maana ntavunja haka kamachine ka watu
Cousin wewe na Mbu mmeniacha hoi kweli Dumb and Dumber relationship...lol
 
Hahahaha! Mbu dah sina mbavu nimecheka kweli kweli dah eti "Msukule" kama alivyosema MTM wengine imebidi tuwe gender sensitive ila hii ya "Msukule" imeniacha hoi aisee

...mnh, we acha tu bana...maana hata remote control kuna kipindi inagoma kubadilisha channel, iweje mwanadamu
afanywe kama kikarikenya cha Joyce wo wo wo? --- unakikumbuka miaka ile?, au ulikuwa haujazaliwa,...lol!
 

...mnh, we acha tu bana...maana hata remote control kuna kipindi inagoma kubadilisha channel, iweje mwanadamu
afanywe kama kikarikenya cha Joyce
wo wo wo? --- unakikumbuka miaka ile?, au ulikuwa haujazaliwa,...lol!

Joyce wowowo??? kheheheeeeeeeeeeeee... ngoja nisepe
 
Last edited by a moderator:
Reactions: Mbu
...kamanda, hivi umegundua wanawake wasomi na wenye nafasi zao kijamii, wengi wao wana suffer domestic abuses compared na wale waliokimbia 'umande?'...au weye waonaje? inachangiwa na nini hii?

Halafu huu ni mjadala mwingine, Mbu unachosema ni kweli nina mifano mingi kuhusiana na hili lakini i will reserve my comments wadada humu wasije nitia vidole machoni bure
 
Reactions: Mbu

...mnh, we acha tu bana...maana hata remote control kuna kipindi inagoma kubadilisha channel, iweje mwanadamu
afanywe kama kikarikenya cha Joyce wo wo wo? --- unakikumbuka miaka ile?, au ulikuwa haujazaliwa,...lol!
Lol...Mbu Kikarikenya nakumbuka sana maana kile kilikuwa unawekwa mziki halafu kinachezeshwa jinsi mwenye nacho anavyopenda
 
Reactions: Mbu
huyo lazima takua mwanamme suruali huyo loh! ningekua mm ningemuacha zamani mnoooooooooooooo ...........potelea mbali loh! asinipumzikie mm loh! maisha yenyewe mafupi ivi ............
mwambie hata aijiumize kichwa zaidi asonge mbele loh! mana hana mume bali mzigo wa misumari
 
kuna mengi yamejificha juu juu ya hiki kisa...sio hivi hivi...sharti kama hilo haliwezi kutoka siku moja....hebu muulize huyo rafiki yako akueleze ili kama unatoa ushauri ujue kwa undani ....ukibeba ushauri wa hapa jf the ukamshauri sidhani kama itakuwa ni njema....

otherwise she will be living in the captivity of negativity....kitu amabacho sicho kizuri kabisa
 
Lol...Mbu Kikarikenya nakumbuka sana maana kile kilikuwa unawekwa mziki halafu kinachezeshwa jinsi mwenye nacho anavyopenda

dahhh, hahaha...acha ku decipher codes bana!.....
 
kama mie ningekua huyo Suzzie basi ningeomba likizo ya siku mbili tu ta alhamisi na ijumaa halafu nakuja tz bila taarifa sababu ni kwangu then nione kuna kitu gani kinaendelea sababu ndoa ni kitu kizito ati.
 
Mbu naona umetoka povu si mchezo.......................

But umenena vyema kabisa ni kweli
 
Reactions: Mbu
huyo mwanaume anatafuta visa tu manake kma anampenda mke wake hata siku moja awezi kufanya upuuz huo wako wengi wanaume wa dizaini hiyo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…