macho_mdiliko
Platinum Member
- Mar 10, 2008
- 25,191
- 48,765
Kamuulize Gwajima. Ana dearth certificate yake. Corona!!!Gwajima ndio mtaalamu wa nini? ndio aliyekwambia Magufuli kafa na corona? Nyie hapa mnasema Magufuli alikuwa hasikilizi wataalamu ila nyie mnafanya vilevile, hapo ulipo huna hata chembe ya ushahidi kuthibitisha hayo madai yako ya kwamba Magufuli kafa kwa corona ila umeshikilia tu hilo suala kama imani kinyume kabisa na wataalamu ambao ndio walikuwa wakimtibu ambao wao wamesema chanzo cha kifo ni matatizo ya moyo ila wewe unakuja hisia zako za chuki na Magufuli unabishia wataalamu unatuambia Magufuli kafa na corona, sasa tukusikilize wewe tusiyekujua hata ni nani au tusikilize wataalamu?
Wewe utaishije?Vipi mkuu umechanja? Pia kuna booster ya kila baada ya miezi 3 unapigwa subiri Serikali wakuletee lakini nasikia Serikali haina mpango wa kununua kwa kuwa wameona mwitikio wa watz ni mdogo. Sasa najiuliza nyinyi mliochanja itakuwaje kuishi bila booster??!!
Sijawahi kumsikia Gwajima akitoa hayo madai ya kifo cha Magufuli kuwa chanzo ni corona, wewe ndio unaamini kuwa Magufuli kafa kwa corona hivyo ni wewe ndio unahitaji kuthibitisha na si mwengine kukuthitishia hiyo imani yako.Kamuulize Gwajima. Ana dearth certificate yake. Corona!!!
[emoji2][emoji3][emoji1][emoji1241]Jf Ina members Zaidi ya laki tano! Tumeshindwa nini kukumalizia hizo chanjo?
Kwani mpaka umsikie wewe? Basi jaribu kwenda kumuuliza.Sijawahi kumsikia Gwajima akitoa hayo madai ya kifo cha Magufuli kuwa chanzo ni corona, wewe ndio unaamini kuwa Magufuli kafa kwa corona hivyo ni wewe ndio unahitaji kuthibitisha na si mwengine kukuthitishia hiyo imani yako.
Sijawahi kumsikia Gwajima akitoa hayo madai ya kifo cha Magufuli kuwa chanzo ni corona, wewe ndio unaamini kuwa Magufuli kafa kwa corona hivyo ni wewe ndio unahitaji kuthibitisha na si mwengine kukuthitishia hiyo imani yako.
Dunia ianenda kwenye chanjo ya booster wakati waTanzania wanaendelea kulumbana kwenye kachanjo kadogo walichojaribishiwa!.Nimemsikia msemaji wa serikali akisema waliochanjwa chanji ya covid 19 hadi sasa ni watanzania laki 3 na ushee, hii ni chini ya 50% ya chanjo zilizoletwa zaidi ya mwezi sasa.
Kama takwimu hizi ni sahihi basi Wizara ya afya inafeli sana.
Nini kifanyike?
Kwako mwanabodi.....!
Whaat? Badala ya kufuata maagizo ya mbowe wao wanafuata maelekezo ya JPM? Basi naona karibu wanaenda kusaidia juhudi 😂😂Eti wanafuata maelekezo ya JPM hayati
Temperature ya -38 Centigrade mpaka -2 Centigrade zina muujiza gani mpaka ishindikane kufikiwa hapa Tanzania?Pfizer hatuwezi kuihifadhi hapa TZ inataka temperature ya -2C to -38C na vilevile chanjo ni za msaada wa marekani hatuna uchaguzi
Ushahidi wa kuwa Magufuli alikufa kwa corona ndio kitu nataka basi, sihitaji imani za kibubusa.#COVID19 - Angekubali Chanjo na kuchukua tahadhari mapema, mpaka leo huenda tungekuwa naye
Kwa maana hiyo ni kwamba sio kila mtu anaekufa basi ni wakati wake, wengine hufa kabla ya wakati kwa upumbavu, Huu ndio ukweli na alisababisha wengi sana kufa kwa misimamo yake ya kijinga na kiwendawazimu.www.jamiiforums.com
Hujui kitu wewe nyumbu. Uwezo wako wa kufikiri ni wa kiwango cha chini sanaWapumbavu wote wanaopiga kelele sasa hivi kuwa hawataki chanjo, soon watachanjwa, wewe ukiwa mmoja wao. Ni suala la muda tu. Magufuli angesikiliza hoja za wataalam pengine angekuwa hai mpaka sasa. Nasikia alikuwa anajitapa eti virus kama Trump na uzee wote aliambukizwa na akapona sembuse yeye! Ilipompata ndiyo ikawa hivyo tena. Ubishi mwingine!
Nadhani ile hotuba yake ya mwisho pale St Peters kabla hajatwaliwa wananchi waliielewa sana!
Ni siasa kila pembe ya dunia mkuu.Tatizo tangu mwanzo wa hii pandemic kwetu hapa Tz suala hili lilichukuliwa kisiasa zaidi na kiimani badala ya kuchukuliwa kisayansi zaidi, that was a big mistake na ndio hilo linaitesa serikali na wizara yake ya afya, na litaendelea kuitesa serikali kwa sababu baadhi ya wanasiasa wameshalifanya tatizo hili la corona kuwa ni mtaji wao wa kujipatia umaarufu zaidi na zaidi,
Ulitaka wawafuate majumbani wawakamate kwa nguvuNimemsikia msemaji wa serikali akisema waliochanjwa chanji ya covid 19 hadi sasa ni watanzania laki 3 na ushee, hii ni chini ya 50% ya chanjo zilizoletwa zaidi ya mwezi sasa.
Kama takwimu hizi ni sahihi basi Wizara ya afya inafeli sana.
Nini kifanyike?
Kwako mwanabodi.....!
Aaaaaaahhh weeeeee...Jf Ina members Zaidi ya laki tano! Tumeshindwa nini kukumalizia hizo chanjo?