Mjina Mrefu
JF-Expert Member
- Dec 6, 2016
- 3,045
- 3,389
Mboga hutumika kukoleza utamu wa chakula na kukifanya kiwe rahisi kulika
Kuna mboga tamu, na mboga tamu zaidi.
Hawa wadada wa jf ww unawafananisha na mboga gani tamu ambayo ww hupenda kuila?
Sakayo - Maharage
Evelyn Salt - Samaki walioungwa na nazi
Shunie - Mchicha
Hajar - Nyama choma
Em weka list yako tuone
Kuna mboga tamu, na mboga tamu zaidi.
Hawa wadada wa jf ww unawafananisha na mboga gani tamu ambayo ww hupenda kuila?
Sakayo - Maharage
Evelyn Salt - Samaki walioungwa na nazi
Shunie - Mchicha
Hajar - Nyama choma
Em weka list yako tuone