Kama ni mchafu jua nguo nyeupe sio hadhi yako

Kama ni mchafu jua nguo nyeupe sio hadhi yako

Donatila

JF-Expert Member
Joined
Oct 23, 2014
Posts
7,772
Reaction score
22,598
Habari wakuu,

Husika na kichwa hapo juu,

Nasema na wewe dada /kaka ambaye unapenda kuvaa nguo nyeupe ila mchafu...

Najua unapenda nguo nyeupe Ile wewe mchafu hazikupendi...

Unalazimisha Nini Sasa wakati wewe kufua mvivu utaumbuka...

Nguo nyeupe sio za watu wachafu..
Zinataka usafi wa hali ya juu...

Umezoea nyeusi kaka na dada usilazinishe..

Utakuja kuaibika bure nguo zimegeuka rangi ya maziwa we unaona nyeupe...

Tupishe bwana vaa rangi nyingine...
Mbona rangi nyingi sana..

Ongezea na wewe ..


Donatila
 
Habari wakuu,

Husika na kichwa hapo juu,

Nasema na wewe dada /kaka ambaye unapenda kuvaa nguo nyeupe ila mchafu...

Najua unapenda nguo nyeupe Ile wewe mchafu hazikupendi...

Unalazimisha Nini Sasa wakati wewe kufua mvivu utaumbuka...

Nguo nyeupe sio za watu wachafu..
Zinataka usafi wa hali ya juu...

Umezoea nyeusi kaka na dada usilazinishe..

Utakuja kuaibika bure nguo zimegeuka rangi ya maziwa we unaona nyeupe...

Tupishe bwana vaa rangi nyingine...
Mbona rangi nyingi sana..

Ongezea na wewe ..


Donatila
ni sawa lakini na nyie saa zingine mnachefua na kutia kinyaa au dosari flani hivi.
yaani unakuta umevaa vizur nyeupe yako halafu pale chini au kwa juu kwa ndani imetokezea nyeusi dah inakata steam sana ujue
 
Back
Top Bottom