unaona Sasa unaanza kujistukia?kama unaona aibu niambie hata private basi.namimi nitakuambia navaa boksa Gani.Hata nikitaja hutaamini...
We nitajie tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
unaona Sasa unaanza kujistukia?kama unaona aibu niambie hata private basi.namimi nitakuambia navaa boksa Gani.Hata nikitaja hutaamini...
We nitajie tu
Sio busara kuanika njee ki maadili ni mbaya sanaMtoa mada una mashuka meupe mangapi? Ubaya wa watu wachafu CHUPI wanaanika ndani. Nje wanaona noma.
acha kununaSawa
ikianikwa ndani haikauki, ngoja upate fungusSio busara kuanika njee ki maadili ni mbaya sana
Nan kakudanganya wewe unaona sawa mfano mama yako aone boxer yako?ikianikwa ndani haikauki, ngoja upate fungus
Sikuwahi kujua kuwa chupy nyeusi nayo inaonesha uchafu. Juzi nimemtembelea mdada fulani, kama kawaida vidume tukiona vyupi vimeanikwa lazima jicho ligande kidogo. On my surprise, niliona chupy cheusi kina mchirizi wa ukoko kwenye maungio ya miguu. Salale, ilibidi aniagizie soda dukani sikutaka kabisa kunywa juisi aliyoiandaa.Habari wakuu,
Husika na kichwa hapo juu,
Nasema na wewe dada /kaka ambaye unapenda kuvaa nguo nyeupe ila mchafu...
Najua unapenda nguo nyeupe Ile wewe mchafu hazikupendi...
Unalazimisha Nini Sasa wakati wewe kufua mvivu utaumbuka...
Nguo nyeupe sio za watu wachafu..
Zinataka usafi wa hali ya juu...
Umezoea nyeusi kaka na dada usilazinishe..
Utakuja kuaibika bure nguo zimegeuka rangi ya maziwa we unaona nyeupe...
Tupishe bwana vaa rangi nyingine...
Mbona rangi nyingi sana..
Ongezea na wewe ..
Donatila
aisee,Nan kakudanganya wewe unaona sawa mfano mama yako aone boxer yako?
Kivip? Uchafu tuSio busara kuanika njee ki maadili ni mbaya sana
Dahaisee,
ila nimekumbuka umekulia darslum
Kwahiyo weww kuona chupi ya dada yako ameanika unaona sawa?Kivip? Uchafu tu
unavaaga rangi gani binti?Sawa
kwenye hadhara kama hii unatuonyesha manyonyo Ili iwejeDah
Sikia kuna vitu sio adabu mzazi wako kuviona kabisa kwa mtazamo wangu
Siwezi anika nguo zangu za ndani nje kamwe
Siwezi tembea kifua wazi nikiwa home kwa wazazi wangu wala kuvaa pensi
Siwez mruhusu mzazi wangu kuingia napolala ata dada yangu
Sasa mimi bint ww kila mtu bint tafuta demu upunguze upwiru usije baka kukuWee mmatengo chenga sana
Bora umesemaHabari wakuu,
Husika na kichwa hapo juu,
Nasema na wewe dada /kaka ambaye unapenda kuvaa nguo nyeupe ila mchafu...
Najua unapenda nguo nyeupe Ile wewe mchafu hazikupendi...
Unalazimisha Nini Sasa wakati wewe kufua mvivu utaumbuka...
Nguo nyeupe sio za watu wachafu..
Zinataka usafi wa hali ya juu...
Umezoea nyeusi kaka na dada usilazinishe..
Utakuja kuaibika bure nguo zimegeuka rangi ya maziwa we unaona nyeupe...
Tupishe bwana vaa rangi nyingine...
Mbona rangi nyingi sana..
Ongezea na wewe ..
Donatila
Sawa usijali my friend 🤗🤗Peace.. ✌️
Uwe una jibu msg bs
wewe nibinti?☹️aloo kaziipoSasa mimi bint ww kila mtu bint tafuta demu upunguze upwiru usije baka kukwewe
Ni kweliUmepigwa dongo mpaka umekaa mguu sawa
Unaposema manyonyo una maana gani manyonyo si anayo mwanamke?wewe nibinti?☹️aloo kaziipo