Kama ni mchafu jua nguo nyeupe sio hadhi yako

Sikuwahi kujua kuwa chupy nyeusi nayo inaonesha uchafu. Juzi nimemtembelea mdada fulani, kama kawaida vidume tukiona vyupi vimeanikwa lazima jicho ligande kidogo. On my surprise, niliona chupy cheusi kina mchirizi wa ukoko kwenye maungio ya miguu. Salale, ilibidi aniagizie soda dukani sikutaka kabisa kunywa juisi aliyoiandaa.
 
Dah

Sikia kuna vitu sio adabu mzazi wako kuviona kabisa kwa mtazamo wangu

Siwezi anika nguo zangu za ndani nje kamwe

Siwezi tembea kifua wazi nikiwa home kwa wazazi wangu wala kuvaa pensi

Siwez mruhusu mzazi wangu kuingia napolala ata dada yangu
kwenye hadhara kama hii unatuonyesha manyonyo Ili iweje
 
Bora umesema
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…