Mbona nimeitikia tu sijanuna😃😃acha kununa
wamatengo mnashida Gani lakin?Unaposema manyonyo una maana gani manyonyo si anayo mwanamke?
Unatuchokoza sana acha tukushushie mvuawamatengo mnashida Gani lakin?
semanyie washamba sana.Unatuchokoza sana acha tukushushie mvua
Ila wewe umezid togwa unakunywa na mihogosemanyie washamba sana.
Mimi sinywi zaidi ya Pepsi maji maziwa basiIla wewe umezid togwa unakunywa na mihogo
Sawa mudiMimi sinywi zaidi ya Pepsi maji maziwa basi
POA bikira mariaSawa mudi
sio wamatengo?Wamatumbi mmenyimwa pombe
Una kitu, utafika mbaliii.Napenda nguo Nyeupe, na nna mpango wa kuacha kuvaa rangi nyingine tofauti na white ( Shirts, tshirts, jersey etc).
Kupauka au kufubaa sio kosa langu hilo sasa, ni makosa ya madobi.