L Little Dreamer Senior Member Joined Sep 12, 2017 Posts 180 Reaction score 162 Apr 18, 2022 #1 Hii ni kwa wale walioko Arusha Mjini, na taa za magari yao zina ukungu au zimepauka. Tunang'arisha taa hizo kwa kutumia kifaa maalum na kuzirudishia mng'ao wake kwa gharama nafuu kabisa. Tupigie kwa simu namba 0621 846107 (call/WhatsApp). Huna haja ya kutembelea taa isiyomulika vizuri kwa ukungu wala huna haja ya kunua tena taa mpya. Pia kama taa yako imepasuka kioo, tunabadilisha kioo na kuweka kioo kipya.
Hii ni kwa wale walioko Arusha Mjini, na taa za magari yao zina ukungu au zimepauka. Tunang'arisha taa hizo kwa kutumia kifaa maalum na kuzirudishia mng'ao wake kwa gharama nafuu kabisa. Tupigie kwa simu namba 0621 846107 (call/WhatsApp). Huna haja ya kutembelea taa isiyomulika vizuri kwa ukungu wala huna haja ya kunua tena taa mpya. Pia kama taa yako imepasuka kioo, tunabadilisha kioo na kuweka kioo kipya.
Ndechumia JF-Expert Member Joined Jul 15, 2011 Posts 1,164 Reaction score 573 Apr 18, 2022 #2 Gharama zako zipoje? Unapatikana eneo gani Arusha?
L Little Dreamer Senior Member Joined Sep 12, 2017 Posts 180 Reaction score 162 Apr 18, 2022 Thread starter #3 Ndechumia said: Gharama zako zipoje? Unapatikana eneo gani Arusha? Click to expand... Gharama ni elfu 25 kwa taa zote mbili Napatikana Tenki la Maji karibu na ghorofa ya star times mkuu
Ndechumia said: Gharama zako zipoje? Unapatikana eneo gani Arusha? Click to expand... Gharama ni elfu 25 kwa taa zote mbili Napatikana Tenki la Maji karibu na ghorofa ya star times mkuu