Kama ni mkazi wa Arusha na taa za gari yako zina ukungu au zimefubaa karibu tukung'arishie kwa bei nafuu

Little Dreamer

Senior Member
Joined
Sep 12, 2017
Posts
180
Reaction score
162
Hii ni kwa wale walioko Arusha Mjini, na taa za magari yao zina ukungu au zimepauka.

Tunang'arisha taa hizo kwa kutumia kifaa maalum na kuzirudishia mng'ao wake kwa gharama nafuu kabisa.

Tupigie kwa simu namba 0621 846107 (call/WhatsApp).

Huna haja ya kutembelea taa isiyomulika vizuri kwa ukungu wala huna haja ya kunua tena taa mpya.

Pia kama taa yako imepasuka kioo, tunabadilisha kioo na kuweka kioo kipya.

 
Gharama zako zipoje?
Unapatikana eneo gani Arusha?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…