Kama ni wewe ni graduate na bado hujapata ajira, basi fanya shughuli zifuatazo

Kama ni wewe ni graduate na bado hujapata ajira, basi fanya shughuli zifuatazo

Eli Cohen

JF-Expert Member
Joined
Jun 19, 2023
Posts
4,460
Reaction score
13,715
Kimbia kajifunze ufundi wa ku-design gypsum boards, tv show case outlook, outlook ya kisasa ya maduka na interior design nyingine kwa pamoja.

Kimbia kajifunze mji ulivyo, zunguka utafute nyumba, acha vipeperushi vya namba yako kuwa wewe ni dalali, kaa kitaa na wana upate dili za viwanja na vyumba, then fungua ka-ofisi mshenzi ka udalali, ukiwashirikisha na wana wengine waaminifu.

Ingia kitaa tafuta shuguli zinazofanyika, wape offer ya kuwa MC wa shughuli yao bure bila kukulipa chochote, graduation za la saba, form 4, we fanya bure , huku mwisho wa sherehe gawa vipeperushi vya namba yako na jina lako, jitangaze katika sherehe hio, then ndani ya mwaka miaka miwili ushakuwa MC wa kulipwa.

Tofauti na hapo utampelekea sana shemeji yako maji ya kuoga
 
Kimbia kajifunze ufundi wa ku-design gypsum boards, tv show case outlook, outlook ya kisasa ya maduka na interior design nyingine kwa pamoja.

Kimbia kajifunze mji ulivyo, zunguka utafute nyumba, acha vipeperushi vya namba yako kuwa wewe ni dalali, kaa kitaa na wana upate dili za viwanja na vyumba, then fungua ka-ofisi mshenzi ka udalali, ukiwashirikisha na wana wengine waaminifu.

Ingia kitaa tafuta shuguli zinazofanyika, wape offer ya kuwa MC wa shughuli yao bure bila kukulipa chochote, graduation za la saba, form 4, we fanya bure , huku mwisho wa sherehe gawa vipeperushi vya namba yako na jina lako, jitangaze katika sherehe hio, then ndani ya mwaka miaka miwili ushakuwa MC wa kulipwa.

TOFAUTI NA HAPO UTAMPELEKEA SANA SHEMEJI YAKO MAJI YA KUOGA.
Uwe na kianzio mkuu,nguo Nyingi za kuvaa, voucher nk
 
Kimbia kajifunze ufundi wa ku-design gypsum boards, tv show case outlook, outlook ya kisasa ya maduka na interior design nyingine kwa pamoja.

Kimbia kajifunze mji ulivyo, zunguka utafute nyumba, acha vipeperushi vya namba yako kuwa wewe ni dalali, kaa kitaa na wana upate dili za viwanja na vyumba, then fungua ka-ofisi mshenzi ka udalali, ukiwashirikisha na wana wengine waaminifu.

Ingia kitaa tafuta shuguli zinazofanyika, wape offer ya kuwa MC wa shughuli yao bure bila kukulipa chochote, graduation za la saba, form 4, we fanya bure , huku mwisho wa sherehe gawa vipeperushi vya namba yako na jina lako, jitangaze katika sherehe hio, then ndani ya mwaka miaka miwili ushakuwa MC wa kulipwa.

TOFAUTI NA HAPO UTAMPELEKEA SANA SHEMEJI YAKO MAJI YA KUOGA.
Na wale waliopata kazi without connection, picha tupu na tabia chafu?
 
Hali imebadilika sio kama zamani graduate walikuwa ni wachache na hawatoshi kuajiriwa. Siku hizi graduete ni wengi. Siku hizi ukisoma usitegemee kuajiriwa tu unatakiwa usome vitu hata nje ya masomo rasmi. Unasoma uchumi, sheria, udaktari, ualimu na kozi zingine lakini pia ni bora ukajifunza mambo mengine ya ujuzi hata kama hayako kwenye mfumo rasmi ili uki graduate usika idol huna shughuli ya kufanya. Graduate hutakiwi kukosa shughuli za kufanya, ziko nyingi na hazina gharama za kujifunza
 
Msomi wa siku hizi unatakiwa uwe multi purposelly, una, fani na ujuzi wa aina mbalimbali, kutegemea CV kuwa ni degree holder wa fani fulani moja tu utainywa supu? vyuo vya veta vipo vinatoa kozi za chapchapu unapata ujuzi katika fani unayoitaka isiyotegemea mpaka uajiriwe tu ndio u aplly knowledge uliyopata huko. ni wewe tu ndio unajiajiri. Soma madigrii na madiploma yako lakini pia kasomee na certificate za VETA upate ujuzi wa kujiajiri mwenyewe wakati unasubiriaga upate ajira za madigrii na madiploma yako, maisha yanaendelea
 
Back
Top Bottom