Kama ni wewe utaamua nini kwa huyu rafiki yako?

Kama ni wewe utaamua nini kwa huyu rafiki yako?

Dola Iddy Wa Chelsea

JF-Expert Member
Joined
Sep 26, 2014
Posts
2,125
Reaction score
1,526
Mambo vipi wana MMU, baada ya mishe mishe za kutwa nzima tufurahi na kucheka wote tuongeze siku za kuishi,

Imagine upo town kwenye harakati zako ndani ya gari yako IST unaelekea kwako mara paap unakutana na rafiki yako anakuomba lift umsogeze aendako,

Mkiwa njiani mnakutana na gari aina ya RANGE ROVER mara rafiki yako anakwambia oyah mwana unacheki CHUMA hilo!!

Wewe utamjibu nini au utaamua nini kwa huyu rafiki yako uliempa lift?
 
Imagine upo town kwenye harakati zako ndani na mke wako unaelekea kwako mara paap unakutana na rafiki yako mnaungana nae kurudi home.

Mkiwa njiani mnakutana na dem ana BONGE LA TAKO mara rafiki yako anakunong'oneza oyah mwana unacheki CHUMA hilo!!
 
Akikuambia 'unaona chuma hiko' Unamjibu tumpelekee fundi welding akatuyeyushie tupate visu na mapanga..Stress za nini Kwa vitu vidogo km hivyo mkuu?
 
Imagine upo town kwenye harakati zako ndani na mke wako unaelekea kwako mara paap unakutana na rafiki yako mnaungana nae kurudi home.

Mkiwa njiani mnakutana na dem ana BONGE LA TAKO mara rafiki yako anakunong'oneza oyah mwana unacheki CHUMA hilo!!
...au unampakia mama mkwe kwenye Toyota Passo yako mara jamaa wa Range Rover anawapita km mmesimama kisha mama mkwe anakuambia unaona wanaume hao?
 
Imagine upo town kwenye harakati zako ndani na mke wako unaelekea kwako mara paap unakutana na rafiki yako mnaungana nae kurudi home.

Mkiwa njiani mnakutana na dem ana BONGE LA TAKO mara rafiki yako anakunong'oneza oyah mwana unacheki CHUMA hilo!!
Rafiki yako atakuwa ni SYB @
 
As long as ameisifia chuma nyingine bila kuidhihaki yako, hakuna tatizo.
 
Sioni kama kuna shida labda ana ndoto za kununua hiyo Range Rover kwahiyo inawezekana ulimdhania ndivyo sivyo.
 
Rafiki yako ni car enthusiast, akiona gari kali anasisimka.

Me nikiwa nna drive na washkaj nkiwa nmewapa lift ikipita ndinga kali ndo nakua wa kwanza kuwaonesha “ona mashine hio wazee, ngoma ya kibabe sana”

Then tunaanza kujadili ukali wa hio gari. Pia hata wao wakiona huww wananishtua like “mkuu unaiona chuma hio G63”

Yani napenda sana magari, so sioni kosa la rafk ako apo
 
Back
Top Bottom