Kama nia ni kupambana na ugaidi, kwanini watuhumiwa wa Uamsho wako nje kisha anashikiliwa Mbowe?

Kama nia ni kupambana na ugaidi, kwanini watuhumiwa wa Uamsho wako nje kisha anashikiliwa Mbowe?

Mbowe gaidi wa kisiasa tu, Samia ameamua kumkomoa kwa kuleta ujuaji wake wa Katiba Mpya wakati yeye "mwenye nchi" alishasema mambo ya katiba yasubiri kwanza.

Ndio maana unaona anavyohangaika kuwapa vyeo majaji ili wamfichie hiyo aibu ya kumbambika Mbowe kesi.
 
Jana Samia Suluhu ambaye nadhani ndie Rais wa Tanzania japo hakidhi vigezo vya kuwa Rais wa nchi yoyote ile alisema kuwa kwasasa dunia inakabiliwa na tatizo jipya la ugaidi. Yeye kwa maoni yake ugaidi ni tatizo jipya.

Kama kweli ameweka nia ya kupambana na magaidi ni kwanini watuhumiwa wa uamsho wameachiwa huru. walio hamasisha fujo hadharani na kusababisha mauji ya watu wasio na hatia, kujeruhi na upotevu wa mali za watu.

Kisha unamshikilia Mbowe ambaye kesi yake inatia ukakasi japo simtetei Mbowe sababu yeye sio malaika yawezekana kweli anahusika.

Uamsho aliwaachia kwasababu
1. Waislamu wenzake?
2. Wazanzibar wenzake?
3. Walionewa tu na kina JK?

Kwa walioyafanya hadharani mchana kweupe kisha wakachiwa huru kwanini sasa Mbowe awe gaidi?

Hawa wanaosema ni chuki za kisiasa na udini na Uzanzibar na Uzanzibar bara ndio ugaidi wa Mbowe wanaweza kuwa sahihi kutokana na vitendo vya Samia mwenyewe.

NB. Miaka ya hivi karibuni vikundi vya utishio wa kigaidi umekuja kwa kasi sana hapa nchini na hatujui hasa vinafadhiliwa nani ni uimara tu wa jeshi ndio umetuweka salama hadi sasa.
Hata wao wanajua Mbowe anashikiliwa kutuliza Vuguvugu za katiba Mpya.
 
Kwani mbowe Ana mda gani tangu atuhumiwe na kuwekwa ndani ?

Wale walikaa miaka karibu Nane. Bila ya ushahidi was kuthibitisha ugaidi wao

Mbowe mashahidi wanaenda na kutoa ushahidi kua anahusika na ugaidi. Kama kweli tunataka katiba mpya tuanze kuifata na kuiheshimu iliopo. Mbowe aendelee kuenda mahakamani na wathibitishe Kama yy si gaidi. Ttz lipo wapi ?

Yy that mwaka hajafika mnaumia ? Wale walokaaa miaka yote jamii zao mmezipimaje ?

Tuache mahaba niue
 
Jana Samia Suluhu ambaye nadhani ndie Rais wa Tanzania japo hakidhi vigezo vya kuwa Rais wa nchi yoyote ile alisema kuwa kwasasa dunia inakabiliwa na tatizo jipya la ugaidi. Yeye kwa maoni yake ugaidi ni tatizo jipya.

Kama kweli ameweka nia ya kupambana na magaidi ni kwanini watuhumiwa wa uamsho wameachiwa huru. walio hamasisha fujo hadharani na kusababisha mauji ya watu wasio na hatia, kujeruhi na upotevu wa mali za watu.

Kisha unamshikilia Mbowe ambaye kesi yake inatia ukakasi japo simtetei Mbowe sababu yeye sio malaika yawezekana kweli anahusika.

Uamsho aliwaachia kwasababu
1. Waislamu wenzake?
2. Wazanzibar wenzake?
3. Walionewa tu na kina JK?

Kwa walioyafanya hadharani mchana kweupe kisha wakachiwa huru kwanini sasa Mbowe awe gaidi?

Hawa wanaosema ni chuki za kisiasa na udini na Uzanzibar na Uzanzibar bara ndio ugaidi wa Mbowe wanaweza kuwa sahihi kutokana na vitendo vya Samia mwenyewe.

NB. Miaka ya hivi karibuni vikundi vya utishio wa kigaidi umekuja kwa kasi sana hapa nchini na hatujui hasa vinafadhiliwa nani ni uimara tu wa jeshi ndio umetuweka salama hadi sasa.

wamekaa miaka 8 jela bila ushahidi wowote ndio maana waliachiwa sasa mwache mbowe akae miaka 8 ndio aachiwe tena mbowe kuna mashahidi wapo wanaomshtumu tofauti na uamsho hakutokea yeyote kuwashtumu kuwa ni magaidi waja aende jela mbowe miaka 60
 
Back
Top Bottom