Kama ninapata Tsh 20,000/= kila wiki, ipi ni namna bora ya kuiwekeza, nipate faida?

Kama ninapata Tsh 20,000/= kila wiki, ipi ni namna bora ya kuiwekeza, nipate faida?

Per week Tshs 20,000 kwa mwezi 80,000 na kwa Mwaka ni Tshs 960,000. inategemea na umri wako, itakuwa na maana sana kama una umri wa miaka 25 - 30.
Lets say una miaka 30 - tunza fedha hiyo fixed account kwa miaka 5.

960,000 x 5 = 4.8m. So ukifikaa 35 utakuwa na pesa arround 5m - Hapa sasa tafuta biashara ufanye ama jifunze mambo ya HISA kisha wekeza. By the time unafika miaka 40 utakuwa mbali.

By the time unafika 60 unaweza kuwa Mkurugenzi na ukifika 70 utazeeka kwa HESHIMA.
 
Kashauriwa afanye biashara kasema ameajiriwa ujue kuna sihu kibao za kufanya kuizalisha hiyo 20,000 kwa wiki bila kumlia mda wake wa ajira lakini yeye kakazana kusave wakati 20,000 ya le si 20,000 ya kesho ndo maana nikamuambia apanue mawazo si kama nambeza.
Heri yako wewe utakayekufa tajiri
 
Kashauriwa afanye biashara kasema ameajiriwa ujue kuna sihu kibao za kufanya kuizalisha hiyo 20,000 kwa wiki bila kumlia mda wake wa ajira lakini yeye kakazana kusave wakati 20,000 ya le si 20,000 ya kesho ndo maana nikamuambia apanue mawazo si kama nambeza.
Asante kwa kunielewesha, upo sahihi.
 
Kwa mwezi 80,000 ni nzuri ukaifungulia account isiyo na makato kila mwezi baada ya miaka kadhaa Itoe ufanye mambo
 
Per week Tshs 20,000 kwa mwezi 80,000 na kwa Mwaka ni Tshs 960,000. inategemea na umri wako, itakuwa na maana sana kama una umri wa miaka 25 - 30.
Lets say una miaka 30 - tunza fedha hiyo fixed account kwa miaka 5.

960,000 x 5 = 4.8m. So ukifikaa 35 utakuwa na pesa arround 5m - Hapa sasa tafuta biashara ufanye ama jifunze mambo ya HISA kisha wekeza. By the time unafika miaka 40 utakuwa mbali.

By the time unafika 60 unaweza kuwa Mkurugenzi na ukifika 70 utazeeka kwa HESHIMA.
walau wewe umemshauri kitu
 
Back
Top Bottom