Kama nyani alibadilika akawa binadamu ni kwanini nyani na sokwe wa sasa hawabadiliki tena kuwa binadamu?

Kama nyani alibadilika akawa binadamu ni kwanini nyani na sokwe wa sasa hawabadiliki tena kuwa binadamu?

Loading failed

JF-Expert Member
Joined
Sep 14, 2023
Posts
2,603
Reaction score
7,501
Ndugu zangu.

1: Tukiachana na maswala ya kidini, historia inatuambia binadamu wa kwanza alikua ni nyani / sokwe /chipanze, sasa kama kweli binadamu tulikua ni manyani ni kwanini nyani / sokwe tunaowaona sasa hivi hawabadiliki kua binadamu na wala hawakatiki tena mikia na kua na mwili na utashi wa binadamu kama historia ilivyokua huko awali?

2: Je, kama kweli tulikua nyani na tukabadilika kua binadamu ni kwanini sahivi haiwezekani tena binadamu kubadikika na kurudia kua nyani kama wanasayansi wanavyodai?
 

Attachments

  • Screenshot_20241126-143903.jpg
    Screenshot_20241126-143903.jpg
    55.1 KB · Views: 8
Ndugu zangu.

1: Tukiachana na maswala ya kidini, historia inatuambia binadamu wa kwanza alikua ni nyani / sokwe /chipanze, sasa kama kweli binadamu tulikua ni manyani ni kwanini nyani / sokwe tunaowaona sasa hivi hawabadiliki kua binadamu na wala hawakatiki tena mikia na kua na mwili na utashi wa binadamu kama historia ilivyokua huko awali?

2: Je, kama kweli tulikua nyani na tukabadilika kua binadamu ni kwanini sahivi haiwezekani tena binadamu kubadikika na kurudia kua nyani kama wanasayansi wanavyodai?
Historia haituambii hivyo,
Evolution haisemi binadamu wa kwanza au waliomfuatia walikuwa nyani/sokwe/chimpanzee
 
Ndugu zangu.

1: Tukiachana na maswala ya kidini, historia inatuambia binadamu wa kwanza alikua ni nyani / sokwe /chipanze, sasa kama kweli binadamu tulikua ni manyani ni kwanini nyani / sokwe tunaowaona sasa hivi hawabadiliki kua binadamu na wala hawakatiki tena mikia na kua na mwili na utashi wa binadamu kama historia ilivyokua huko awali?

2: Je, kama kweli tulikua nyani na tukabadilika kua binadamu ni kwanini sahivi haiwezekani tena binadamu kubadikika na kurudia kua nyani kama wanasayansi wanavyodai?
Wamechoka kubadilika
 
Historia haituambii hivyo,
Evolution haisemi binadamu wa kwanza au waliomfuatia walikuwa nyani/sokwe/chimpanzee
Human evolution is the evolutionary process within the history of primates that led to the emergence of Homo sapiens as a distinct species of the hominid family that includes all the great apes.[1] This process involved the gradual development of traits such as human bipedalism, dexterity, and complex language,[2] as well as interbreeding with other hominins (a tribe of the African hominid subfamily),[3] indicating that human evolution was not linear but weblike.[4][5][6][7] The study of the origins of humans involves several scientific disciplines, including physical and evolutionary anthropology, paleontology, and genetics; the field is also known by the terms anthropogeny, anthropogenesis, and anthropogony.[8][9] (The latter two terms are sometimes used to refer to the related subject of hominization.)

The hominoids are descendants of a common ancestor.
Primates diverged from other mammals about 85 million years ago (mya), in the Late Cretaceous period, with their earliest fossils appearing over 55 mya, during the Paleocene.[10] Primates produced successive clades leading to the ape superfamily, which gave rise to the hominid and the gibbon families; these diverged some 15–20 mya. African and Asian hominids (including orangutans) diverged about 14 mya. Hominins (including the Australopithecine and Panina subtribes) parted from the Gorillini tribe between 8 and 9 mya; Australopithecine (including the extinct biped ancestors of humans) separated from the Pan genus (containing chimpanzees and bonobos) 4–7 mya.[11] The Homo genus is evidenced by the appearance of H. habilis over 2 mya,[a] while anatomically modern humans emerged in Africa approximately 300,000 years ago.
 
Evolution haisemi nyani walikuwa binadamu, kama kuna watu walifundishwa hivyo katika shule zao walipotoshwa na walimu au mitaala mediocres.
Ndo maana hili somo, nilikuwa sijisumbui kabisa kulifuatilia.. Maana
1. Lina mkanganyiko mkubwa sana... 🙂 🙂
2. Lilikuwa linamaliza peni haraka
3. Utitiri wa notes usio na kikomo.


Yoda ,ebu tupe short story Hii evaluation of man - ( women) ililenga nini zaidi? 🤔 🤔
 
Human evolution is the evolutionary process within the history of primates that led to the emergence of Homo sapiens as a distinct species of the hominid family that includes all the great apes.[1] This process involved the gradual development of traits such as human bipedalism, dexterity, and complex language,[2] as well as interbreeding with other hominins (a tribe of the African hominid subfamily),[3] indicating that human evolution was not linear but weblike.
Pigia mstari haya maneno.
1.Hominid family
2.Great apes
3.Huma Evolution was not linear but weblike
 
Pigia mstari haya maneno.
1.Hominid family
2.Great apes
3.Huma Evolution was not linear but weblike
Nimepigia mstari ila kama babu yetu mkubwa kabla ya mageuzi ya binadamu alikua ni nyani ni vipi basi sisi tulibadilika na kua binadamu wenye utashi na kua na mwili tulio nao sasa na kwanini sahivi haiwezekani kurudia kwenye familia yetu ya asili ya manyani kama ilivyokuwepo mwanzoni na kwanini hawa nyani wa sahivi hawawezi kujigeuza kua binadamu?
 
Ndo maana hili somo, nilikuwa sijisumbui kabisa kulifuatilia.. Maana
1. Lina mkanganyiko mkubwa sana... 🙂 🙂
2. Lilikuwa linamaliza peni haraka
3. Utitiri wa notes usio na kikimo.


Yoda ,ebu tupe short story Hii evaluation of man - ( women) ililenga nini zaidi? 🤔 🤔
Story ni ndefu sana, bila kuisoma kwa kutulia lazima ikuchanganye na uishe kusema wanasayansi wanasema binadamu walitokana na nyani/sokwe/chimpanze n.k wakati evolution, archeologists wala wanasayansi halisi hawasemi hivyo bali wanasema binadamu na jamii za sokwe ambao kwa pamoja wanajulikana kama(hominade/great apes) wamewahi kuwa na common ancestors mamilioni ya miaka huko nyuma.
 
Nimepigia mstari ila kama babu yetu mkubwa kabla ya mageuzi ya binadamu alikua ni nyani ni vipi basi sisi tulibadilika na kua binadamu wenye utashi na kua na mwili tulio nao sasa na kwanini sahivi haiwezekani kurudia kwenye familia yetu ya manyani kama ilivyokuwepo mwanzoni?
Kulingana na evolutionists babu yako wa mamilioni ya miaka iliyopita hakuwa nyani bali alikuwa "great apes".
 
Ndugu zangu.

1: Tukiachana na maswala ya kidini, historia inatuambia binadamu wa kwanza alikua ni nyani / sokwe /chipanze, sasa kama kweli binadamu tulikua ni manyani ni kwanini nyani / sokwe tunaowaona sasa hivi hawabadiliki kua binadamu na wala hawakatiki tena mikia na kua na mwili na utashi wa binadamu kama historia ilivyokua huko awali?

2: Je, kama kweli tulikua nyani na tukabadilika kua binadamu ni kwanini sahivi haiwezekani tena binadamu kubadikika na kurudia kua nyani kama wanasayansi wanavyodai?
Hizo nadharia feki huwa zinabuma tu kadri siku zinavyokwenda mbele. Ukweli ni ukweli siku zote lakini uongo utaonekana kweli kwa muda tu baadaye unaumbuka!
 
Back
Top Bottom