Kama nyani alibadilika akawa binadamu ni kwanini nyani na sokwe wa sasa hawabadiliki tena kuwa binadamu?

Kama nyani alibadilika akawa binadamu ni kwanini nyani na sokwe wa sasa hawabadiliki tena kuwa binadamu?

Shule gani hiyo walikufundisha hivyo? Ulichoandika hakina ukweli wowote, theory ya evolution haisemi binadamu alitokana na nyani.
 
Neno la Mungu katika bilblia ni zaidi ya evolution, kumbuka kitabu cha mwanzo kimeandikwa zaidi ya miaka 6000 iliyopita, je sayansi ulikiwa inasemaje wakati huo? Vituko

Hio evolution mnayoisifia mi ya Karne ya 20, je kabla ya hapo sayansi ilsemaje? Vituko,
Sayansi inabadilika kuithibotisha biblia!!

Biblia inasema Mungu alianza kuumba Jua, mwezi na nyota, baadae akayatenga majji na nchi kavu, Siku iliyofuata, akaumba mimea tofauti tofauti, Siku inayofuata akaumba samaki baharini, Siku inayofuata akaumba wanyama na ndege, mwishoni akamuumna mwanadamu.

Kumbuka neno Siku kwa kiebrania pia lilikiwa na maana ya "age".
Sasa ukiangalia huo mfuatano wa uumbaji evolution inasemaje!! Copy and paste!
Hapo mwanzo Mtu aliumba Mungu kwa mfano wake.
Ndiyo maana yote ambayo yameandikwa kwenye biblia ni mambo ya kibinadamu.
Biblia ni kitabu ambacho kimetungwa na wanadamu tu kama mimi na wewe.

Kwahiyo wewe kama unaamini maandishi ya kwenye Biblia hiyo ni juu yako siko hapa kukufanya uache imani yako.
 
Hapo mwanzo Mtu aliumba Mungu kwa mfano wake.
Ndiyo maana yote ambayo yameandikwa kwenye biblia ni mambo ya kibinadamu.
Biblia ni kitabu ambacho kimetungwa na wanadamu tu kama mimi na wewe.

Kwahiyo wewe kama unaamini maandishi ya kwenye Biblia hiyo ni juu yako siko hapa kukufanya uache imani yako.
Umekusudia kuandika "mtu aliumba Mungu kwa mfano wake" au ni makosa ya kiuandishi? Mungu aliumba mtu sio kinyume chake, hata Kama huamini la nukuu kwa usahihi
 
Chai za wazungu hizo

Historia ilisema kwamba binadam wa kwanza alitokea Africa Olduvai Gorge hivyo wazungu hawakupenda africa ndiyo iliyotoa binadamu wa kwanza hivyo wazungu wakasema Binadamu wa kwanza alikuwa nyani ili kuwavunja moyo waafrica.
 
Umekusudia kuandika "mtu aliumba Mungu kwa mfano wake" au ni makosa ya kiuandishi? Mungu aliumba mtu sio kinyume chake, hata Kama huamini la nukuu kwa usahihi
Imani zote za kidini zimebuniwa na watu mkuu.
Hata mungu wanadamu ndiyo walimbuni/walitengeneza hiyo nadharia ya Mungu.
Hebu angalia, watu wanajenga majengo na kuyaita Nyumba ya Mungu/Nyumba ya ibada.
Kwa hali hiyo unadhani mwanadamu atashindwa kuandika kitabu na kusema haya ni maandiko ya Mungu?
 
Ahsante mleta mada kwa kutuchokoza wanabaiolojia.Hapa duniani twaishi kwa kuamini katika kweli.Kweli ni hakika ya jambo na kweli hii huathiriwa na ongezeko la maarifa.Kama ambavyo nadharia ya Doct.Charles Darwin ilivyoathiri kweli ya mafundisho ya dini,nayo pia imeathiriwa na ongezeko la maarifa kutokana na tafiti nyingi kufanyika.Chapisho la Darwin la mwaka 1871 ndiyo lilioelezea hicho mleta mada amehoji.Kuna nyakati joto la dunia lilipungua na kuathiri wanyama wa damu baridi(dinosaurus) na hii ilikwenda sambamba na baadhi ya mijusi hao kubadilika ili kuyamudu mazingira baridi mfano ni Archeoptelyx ambaye ni lineage wa ndege.Vivyo hivyo linage ya mammalia iliibuka na mabadiliko yaliendelea mpaka primates kutokea.Hizi ni sifa za primates:bipedalism,modified forelimb into hand with thumb,intellect,menstrual cycle,frontal mating etc.Mpaka hapo hakuna human being,gorilla,chimpanzee ni lineage ya wenzake kwa mujibu wa Neo-Darwinism.Swali la kujiuliza ni:mabadiliko hutokeaje?Jibu ni:majanga asili yaipigapo dunia viumbe huathirika kwa mass extinction(kizazi chote kutoweka),evolutionary change(mabadiliko) ama stand still evolution(kutobadilika na akaishi kama alivyo samaki aina ya kamongo).Dr.Darwin aliita natural selection kwa viumbe wanaohimili janga asili na hii huwezasababisha species nyingi kutokea kutokana na lineage moja(adaptive radiation).
 
Evolution sio imani, ni scientific theory.
Sio suala la kuamini au kutokuoamini kama dini au mambo ya kidini.
Evolution ni scientific theory ama scientific law??
Unlike laws, theories zinawezakuwa challenged!
who are evolutionists?
Mimi naungana na Nyani Ngabu ,nashindwa kuelewa kwanini watu mnaichukulia hii as a complete thing na haiwezi kupingika wakati it's just a theory (speculations)
 
Evolution ni scientific theory ama scientific law??
Unlike laws, theories zinawezakuwa challenged!
who are evolutionists?
Mimi naungana na Nyani Ngabu ,nashindwa kuelewa kwanini watu mnaichukulia hii as a complete thing na haiwezi kupingika wakati it's just a theory (speculations)
Scientific law sio kwamba ndio kubwa kuliko scientific theory,
Ukitaka ku challenge theory of relativity/general relativity ya Einstein inabidi uje nondo za kueleweka, sio porojo na feelings zako tu, ni hivyo pia kwa quantum mechanics theory.
 
Scientific law sio kwamba ndio kubwa kuliko scientific theory,
Ukitaka ku challenge theory of relativity/general relativity ya Einstein inabidi uje nondo za kueleweka, sio porojo na feelings zako tu, ni hivyo pia kwa quantum mechanics theory.
Mambo ya ipi kubwa yanakujaje tena shekhe?
Kila nikifikiria sioni kama hii theory inamake sense! Maybe My Biology is not enough to understand this. 🤷
 
Mambo ya ipi kubwa yanakujaje tena shekhe?
Kila nikifikiria sioni kama hii theory inamake sense! Maybe My Biology is not enough to understand this. 🤷
Kuna kundi kubwa tu la watu duniani hawaamini dunia ni duara(spherical) na hai make sense kwao dunia kuwa duara badala ya flat, wanaitwa flat earthers.
 
Kuna kundi kubwa tu la watu duniani hawaamini dunia ni duara(spherical) na hai make sense kwao dunia kuwa duara badala ya flat, wanaitwa flat earthers.
They just chose to blindly argue the facts, personally I acknowledge kwamba uelewa wangu ni mdogo kwenye theory ya evolution na biological science hivyo siwezi kubisha nikiwa presented with scientific facts unlike them flat earthers. Infact even the laws of nature hazishabihi kama dunia ni flat lakini hawatakubali hilo
 
Ndugu zangu.

1: Tukiachana na maswala ya kidini, historia inatuambia binadamu wa kwanza alikua ni nyani / sokwe /chipanze, sasa kama kweli binadamu tulikua ni manyani ni kwanini nyani / sokwe tunaowaona sasa hivi hawabadiliki kua binadamu na wala hawakatiki tena mikia na kua na mwili na utashi wa binadamu kama historia ilivyokua huko awali?

2: Je, kama kweli tulikua nyani na tukabadilika kua binadamu ni kwanini sahivi haiwezekani tena binadamu kubadikika na kurudia kua nyani kama wanasayansi wanavyodai?

Hawa waliambiwa wabadilike wakaleta mapozi. Deadline ikapita. Ikala kwao.
 
Binadamu alitokana na sokwe, Simba akatokana na mbwa, chui akatokana na paka, ng'ombe alitokana na ntati. Meli ilitokana na samaki, treni ilitokana na nyoka na ndege kutokana na ndege.
 
Back
Top Bottom