Shida kubwa haswa hapa ni kufundishwa na walimu ambao hawakuwa na maarifa sahihi kuhusu evolution. Binadamu hajawahi kuwa nyani, binadamu na nyani ni species tofauti kabisa. Ila kibaiolojia wana sifa zinazofanana na evolutionary they have the same ancenstors.
Ni sawa na mtu aseme ng'ombe alikuwa nyati, au mbuzi alikuwa suala (Hii ni kushindwa kuelezea evolution ni nini)
Evolution inaeleza namna viumbe vilivyopo sasa vinavyoshabihiana na kuelezea jinsi ambavyo viumbe hivi vinaweza kuwa na mzazi mmoja (the same Ancestors).
Kwa mfano speciaciation (aina za wanyama kwa majina yao) utaona ngombe anavofanana na nyati na wanyama wengine wa aina hiyo hii humaanisha hawa wanyama wana same ancestors ila kuna factors zilifanya wawe wanyama tofauti na sio ngombe alikuwa nyati kama wengi wanavochanganya.
Evolution is not linear. Kwamba mnyama x akabadili kuwa y mwisho awe z. Bali ni namna x y na z walivyo sasa ukilinganisha na vizazi vilivyopita.
Mfano mzuri: ni kama kuku wa kisasa na kienyeji, tunajua wote ni kuku na wamepatana kwa selective breeding yaani kujamiiana kwa kuku bora pekee.
Vipi kama kuku wa kienyeji walizaliwa wenyewe na wa kisasa wenyewe bila kuingiliana. Mwishowe utakuta hawa kuku wamekuwa tofauti kabisa na hawaingiliani tena.
Ni sawa na mtu aseme ng'ombe alikuwa nyati, au mbuzi alikuwa suala (Hii ni kushindwa kuelezea evolution ni nini)
Evolution inaeleza namna viumbe vilivyopo sasa vinavyoshabihiana na kuelezea jinsi ambavyo viumbe hivi vinaweza kuwa na mzazi mmoja (the same Ancestors).
Kwa mfano speciaciation (aina za wanyama kwa majina yao) utaona ngombe anavofanana na nyati na wanyama wengine wa aina hiyo hii humaanisha hawa wanyama wana same ancestors ila kuna factors zilifanya wawe wanyama tofauti na sio ngombe alikuwa nyati kama wengi wanavochanganya.
Evolution is not linear. Kwamba mnyama x akabadili kuwa y mwisho awe z. Bali ni namna x y na z walivyo sasa ukilinganisha na vizazi vilivyopita.
Mfano mzuri: ni kama kuku wa kisasa na kienyeji, tunajua wote ni kuku na wamepatana kwa selective breeding yaani kujamiiana kwa kuku bora pekee.
Vipi kama kuku wa kienyeji walizaliwa wenyewe na wa kisasa wenyewe bila kuingiliana. Mwishowe utakuta hawa kuku wamekuwa tofauti kabisa na hawaingiliani tena.