Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Katika hazina za Jf wewe ni mmoja wao.Wewe unaweza kuelewa kirahisi kwa kujua mambo kama hayo ya mRNA , mutation, DNA changes etc.
Kuna watu hawajui lolote kuhusu hayo mambo hawajui hata mutation ni nini.
Hapo ndo kimbembe kwanza uanze kufundisha mutation kwa Kiswahili.
Mimi ni kijakazi mtwana tu, sema nina Kiranga tu.Katika hazina za Jf wewe ni mmoja wao.
Hongera mkuu
Huyo nyani alikuwa mweusi, mweupe au njano ?Nimepigia mstari ila kama babu yetu mkubwa kabla ya mageuzi ya binadamu alikua ni nyani ni vipi basi sisi tulibadilika na kua binadamu wenye utashi na kua na mwili tulio nao sasa na kwanini sahivi haiwezekani kurudia kwenye familia yetu ya asili ya manyani kama ilivyokuwepo mwanzoni na kwanini hawa nyani wa sahivi hawawezi kujigeuza kua binadamu?
Darwin hakusema nyani walibadilikaHii ndio sababu inayoifanya ''Darwin's law of evolution'' kuwa incompetent na pia ''total nonsense''
Huu uzi nimesoma maoni yote herufi baada ya herufi.Mimi ni kijakazi mtwana tu, sema nina Kiranga tu.
Wapo wenyewe hawatokei sana humu kwa kuogopa kelele.
Uzuri wangu mimi siogopi kelele.
Usilinganishe evolution na utengenezaji wa pombe, leo unachanganya kangara na kimea, kesho togwa, kesho kutwa pombe.Ndugu zangu.
1: Tukiachana na maswala ya kidini, historia inatuambia binadamu wa kwanza alikua ni nyani / sokwe /chipanze, sasa kama kweli binadamu tulikua ni manyani ni kwanini nyani / sokwe tunaowaona sasa hivi hawabadiliki kua binadamu na wala hawakatiki tena mikia na kua na mwili na utashi wa binadamu kama historia ilivyokua huko awali?
2: Je, kama kweli tulikua nyani na tukabadilika kua binadamu ni kwanini sahivi haiwezekani tena binadamu kubadikika na kurudia kua nyani kama wanasayansi wanavyodai?
KweliKu evolve inachukua mamilioni ya miaka
Kuongea Kwa nyoka haikuwa evolution wala kutokuongea Kwa nyoka nowadays sio kuseaze au kupouse Kwa hio ridiculous evolution.Darwin hakusema nyani walibadilika
BTW kama nyoka aliongea na Hawa mbona saizi hatuoni nyoka wakiongea??
We akili zako zilikuwa haziko tyr kushika hivi vituNdo maana hili somo, nilikuwa sijisumbui kabisa kulifuatilia.. Maana
1. Lina mkanganyiko mkubwa sana... 🙂 🙂
2. Lilikuwa linamaliza peni haraka
3. Utitiri wa notes usio na kikomo.
Yoda ,ebu tupe short story Hii evaluation of man - ( women) ililenga nini zaidi? 🤔 🤔
Utaambiwa subiri miaka bilioni 2 uone…Mbona binadamu hawageuki nyani japo wapo wenye unyani kama machawa?
Mkuu,Utaambiwa subiri miaka bilioni 2 uone…
Hizi habari za mamilioni na mabilioni ya miaka iliyopita ni beyond prehistoric.
Hakuna ajuaye kilichotokea miaka yote hiyo huko nyuma.
Ni conjecture tu.
Hata kama sio evolution, the fact ni kwamba tunajadili yale yaliyosimuliwa kufanyika nyakati za nyuma tunataka kuyaona yakiendelea kufanyika na sasa kupitia character wale wale ambao hadi saizi wapo.Kuongea Kwa nyoka haikuwa evolution wala kutokuongea Kwa nyoka nowadays sio kuseaze au kupouse Kwa hio ridiculous evolution.
Subiri utaona baada ya miaka milioni 800 🤣.Hata kama sio evolution, the fact ni kwamba tunajadili yale yaliyosimuliwa kufanyika nyakati za nyuma tunataka kuyaona yakiendelea kufanyika na sasa kupitia character wale wale ambao hadi saizi wapo.
Na sio tu nyoka hadi Punda naye stori zake tunazo kuwa aliongea.
Tuambieni kwanini punda wa saizi hawaongei?
Nyani as in Apes. Not as in monkeys.Hakuna sayansi inayofundisha kuwa nyani alibadilika kuwa binadamu.
Ni kweli kabisa mkuu, Brain yangu iligoma kabisa kujishughulisha na vitu ambavyo havieleweki...We akili zako zilikuwa haziko tyr kushika hivi vitu