Kama nyani alibadilika akawa binadamu ni kwanini nyani na sokwe wa sasa hawabadiliki tena kuwa binadamu?

Kama nyani alibadilika akawa binadamu ni kwanini nyani na sokwe wa sasa hawabadiliki tena kuwa binadamu?

Charles Darwin alikua racist person ever hope yeye and other racists rot in hell,,, that shit was made up even iq stuff yote kufanya mtu mweusi awe chini tu,,,,
 
Wewe unaweza kuelewa kirahisi kwa kujua mambo kama hayo ya mRNA , mutation, DNA changes etc.

Kuna watu hawajui lolote kuhusu hayo mambo hawajui hata mutation ni nini.

Hapo ndo kimbembe kwanza uanze kufundisha mutation kwa Kiswahili.
Katika hazina za Jf wewe ni mmoja wao.
Hongera mkuu
 
Nimepigia mstari ila kama babu yetu mkubwa kabla ya mageuzi ya binadamu alikua ni nyani ni vipi basi sisi tulibadilika na kua binadamu wenye utashi na kua na mwili tulio nao sasa na kwanini sahivi haiwezekani kurudia kwenye familia yetu ya asili ya manyani kama ilivyokuwepo mwanzoni na kwanini hawa nyani wa sahivi hawawezi kujigeuza kua binadamu?
Huyo nyani alikuwa mweusi, mweupe au njano ?
 
Mimi ni kijakazi mtwana tu, sema nina Kiranga tu.

Wapo wenyewe hawatokei sana humu kwa kuogopa kelele.

Uzuri wangu mimi siogopi kelele.
Huu uzi nimesoma maoni yote herufi baada ya herufi.
Kuhusu Evolution sikuwa naielewa sana hii nadharia.
Walau sasa nimepata mwanga zaidi kutokana na maswali na majibu ambayo yametolewa humu.
Mwisho naweza kusema Nadharia ya Evolution inaingia akilini kuliko nadharia ya kuumbwa na Mungu kutoka mavumbini.
 
Ndugu zangu.

1: Tukiachana na maswala ya kidini, historia inatuambia binadamu wa kwanza alikua ni nyani / sokwe /chipanze, sasa kama kweli binadamu tulikua ni manyani ni kwanini nyani / sokwe tunaowaona sasa hivi hawabadiliki kua binadamu na wala hawakatiki tena mikia na kua na mwili na utashi wa binadamu kama historia ilivyokua huko awali?

2: Je, kama kweli tulikua nyani na tukabadilika kua binadamu ni kwanini sahivi haiwezekani tena binadamu kubadikika na kurudia kua nyani kama wanasayansi wanavyodai?
Usilinganishe evolution na utengenezaji wa pombe, leo unachanganya kangara na kimea, kesho togwa, kesho kutwa pombe.
 
Darwin hakusema nyani walibadilika

BTW kama nyoka aliongea na Hawa mbona saizi hatuoni nyoka wakiongea??
Kuongea Kwa nyoka haikuwa evolution wala kutokuongea Kwa nyoka nowadays sio kuseaze au kupouse Kwa hio ridiculous evolution.
 
Ndo maana hili somo, nilikuwa sijisumbui kabisa kulifuatilia.. Maana
1. Lina mkanganyiko mkubwa sana... 🙂 🙂
2. Lilikuwa linamaliza peni haraka
3. Utitiri wa notes usio na kikomo.


Yoda ,ebu tupe short story Hii evaluation of man - ( women) ililenga nini zaidi? 🤔 🤔
We akili zako zilikuwa haziko tyr kushika hivi vitu
 
Mbona binadamu hawageuki nyani japo wapo wenye unyani kama machawa?
Utaambiwa subiri miaka bilioni 2 uone…

Hizi habari za mamilioni na mabilioni ya miaka iliyopita ni beyond prehistoric.

Hakuna ajuaye kilichotokea miaka yote hiyo huko nyuma.

Ni conjecture tu.
 
Utaambiwa subiri miaka bilioni 2 uone…

Hizi habari za mamilioni na mabilioni ya miaka iliyopita ni beyond prehistoric.

Hakuna ajuaye kilichotokea miaka yote hiyo huko nyuma.

Ni conjecture tu.
Mkuu,

Evolution from random mutation facilitated by the environment na natural selection inatokea hata kwa muda mfupi kwenye microorganism.

Huku kwenye watu na nyani, viumbe wakubwa, ndiyo unahitaji mamilioni ya miaka, kwenye bacteria unaona evolution at work ndani ya miaka michache tu.

Nimeelezea hapo juu uhusiano wa mutation, evolution na anti-microbial resistance.

Sababu inayofanya dawa za zamani za Malaria, Gono, etc zisifanye kazi siku hizi, tuhitaji dawa mpya, ni evolution inayotokea kwa microorganisms.

Ukitaka kuona evolution inafanya kazi katika muda mfupi, angalia bacteria wanavyotengeneza drug resistance. Usiangalie nyani na watu
 
Kuongea Kwa nyoka haikuwa evolution wala kutokuongea Kwa nyoka nowadays sio kuseaze au kupouse Kwa hio ridiculous evolution.
Hata kama sio evolution, the fact ni kwamba tunajadili yale yaliyosimuliwa kufanyika nyakati za nyuma tunataka kuyaona yakiendelea kufanyika na sasa kupitia character wale wale ambao hadi saizi wapo.

Na sio tu nyoka hadi Punda naye stori zake tunazo kuwa aliongea.

Tuambieni kwanini punda wa saizi hawaongei?
 
Hata kama sio evolution, the fact ni kwamba tunajadili yale yaliyosimuliwa kufanyika nyakati za nyuma tunataka kuyaona yakiendelea kufanyika na sasa kupitia character wale wale ambao hadi saizi wapo.

Na sio tu nyoka hadi Punda naye stori zake tunazo kuwa aliongea.

Tuambieni kwanini punda wa saizi hawaongei?
Subiri utaona baada ya miaka milioni 800 🤣.
 
Hakuna sayansi inayofundisha kuwa nyani alibadilika kuwa binadamu.
Nyani as in Apes. Not as in monkeys.
So early human beings walikuwa apes.
We are modernized apes na sayansi inasema hivyo na inasupport theory hiyo.
 
Back
Top Bottom