Hii kitu huwa inanikera kweli, alafu watu wa mipangomiji huwa wanasema kuna maeneo ya Nyumba za ibada, makazi nk lakn in reality siyo kweli. Mm nikiona kiwanja kiko karibu na msikiti au kanisa(hasa yanayojiita ya kiroho, sijui hili jina la kiroho linatokana na nini), sikinunui labda bei ishushwe sana alafu naweka baa na Kitimoto full! Sitakagi ujinga