Kama pato lako ni chini ya milioni 3 jenga ghorofa la Kinyakyusa ukiwa na ndoto ya kujenga ghorofa kwa sasa!

Hawa ma Achtect ukisikia wqnakwambia nyumba ya gharama nafuu usiwaamini kabisa.

Kwa hiyo mjengo kama huo wa kinyachusa mwenye kipato less than 3M per month anaweza kujenga?
 
Kama hutojali ujenzi wa namna hii gharama zinapungua kwa kiasi gani just makadiro tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…