Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
"Wazazi msituzalie watoto wa ajabu kama Hamza" by siroInasikitisha kwakweli, hapa Sirro ajiuzuru tu
Hakika, Hamza hajawahi husika na matukio ya kiuhalifu, leo iweje afanye vile, tena kwa polisi tu na si kwa raia?Hamza nilimuelewa sana.
Aliweza kuitendea haki nafsi yake.
Yaani ukiwaza tu, hivi kada mtiifu wa CCM anawezaje kuchukua bunduki na kwenda kuwaua askari polisi pasipo sababu?
Lazma uwe mjanja zaidYaani imekuwa hatari sanà, watu na wafanya biashara wa nchini hasa wa madini hawapo salama
Maswali haya yanahitaji majibu sana sanaHakika, Hamza hajawahi husika na matukio ya kiuhalifu, leo iweje afanye vile, tena kwa polisi tu na si kwa raia?
Haya mambo yapo mengi sana ni vile taarifa hazitoki hadharani ya Hamza nalo lichunguzweInasikitisha kwakweli, hapa Sirro ajiuzuru tu