tajirijasiri
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 2,863
- 3,854
Rais kasikika leo akijitapa kushabikia ndondo Cup kuliko ligi kuu kwa kigezo cha wang'oa Viti, basi Tanzania kushiriki kombe la Dunia itakuwa ndoto.
Haiwezakani Kiongozi Mkuu ukalialia matatizo badala ya kutoa mwongozo wa nini cha kufanya.
Haiwezakani Kiongozi Mkuu ukalialia matatizo badala ya kutoa mwongozo wa nini cha kufanya.