Special Seat
Senior Member
- Jul 21, 2024
- 169
- 301
Ushauri wa Bure kwa Waajiriwa wote wa Serikali hasa wale wa Vimemo vya Uteuzi kutoka Kurugenzi ya IKULU kuweni makini zaidi pengine kuliko awamu yoyote ya Uteuzi wenu.
Huenda Rais Dkt Samia Suluhu amegundua wanaomuagusha na kumfelisha kwa kumuibia na kumfisadi zaidi ni watu wake wa karibu (miti mibichi )
Wakati huu tumeshuhudia Mama Samia akitengua vigogo wa karibu yake kabisa ambao wengi wao walifanya sherehe baada ya Kifo Cha Hayati Dkt John John Pombe Joseph Magufuli na Uapisho wake.
Rai yangu kwa mliobaki hasa mliokuwa mnamchezea mama kwa mizaha na kejeli kwenye idara zenu ongezeni umakini kwani Mama kwa sasa ni kama mbogo aliyejeruhiwa na simba
Mbaya zaidi ninyi msio na ukaribu kabisa na Mama Samia mjiulize kama Mama huyu ameutendea mti mbichi ( January na Nape ) namna hii, itakuwaje kwenu kama mtafanya kazi kwa mazoea hasa wizi na ufisadi?
#Mama hakamatiki na sasa kafungua injini mpya stay tuned
Huenda Rais Dkt Samia Suluhu amegundua wanaomuagusha na kumfelisha kwa kumuibia na kumfisadi zaidi ni watu wake wa karibu (miti mibichi )
Wakati huu tumeshuhudia Mama Samia akitengua vigogo wa karibu yake kabisa ambao wengi wao walifanya sherehe baada ya Kifo Cha Hayati Dkt John John Pombe Joseph Magufuli na Uapisho wake.
Rai yangu kwa mliobaki hasa mliokuwa mnamchezea mama kwa mizaha na kejeli kwenye idara zenu ongezeni umakini kwani Mama kwa sasa ni kama mbogo aliyejeruhiwa na simba
Mbaya zaidi ninyi msio na ukaribu kabisa na Mama Samia mjiulize kama Mama huyu ameutendea mti mbichi ( January na Nape ) namna hii, itakuwaje kwenu kama mtafanya kazi kwa mazoea hasa wizi na ufisadi?
#Mama hakamatiki na sasa kafungua injini mpya stay tuned