Said Stuard Shily
JF-Expert Member
- Jul 18, 2017
- 2,396
- 2,108
Kulikoni mbona huku ni shwariaende na TANAPA
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kulikoni mbona huku ni shwariaende na TANAPA
Ngoja tuoneKulikoni mbona huku ni shwari
Mungu ambariki sana Mama yetu kipenziHuyu ndio Samia tuliyemsubiri,
Samia wa vitendo,
Samia wa speed and standard
Mama chapa kazi wasikuzoee
🤣🤣🤣Msilete drama
View attachment 3050340
Au ndio anatafuta kura.Mama ndio ameanza kazi sasa
Au ndio anatafuta kura.
Dr hyperkidMama ndio ameanza kazi sasa
Kweli tupuUshauri wa Bure kwa Waajiriwa wote wa Serikali hasa wale wa Vimemo vya Uteuzi kutoka Kurugenzi ya IKULU kuweni makini zaidi pengine kuliko awamu yoyote ya Uteuzi wenu.
Huenda Rais Dkt Samia Suluhu amegundua wanaomuagusha na kumfelisha kwa kumuibia na kumfisadi zaidi ni watu wake wa karibu (miti mibichi )
Wakati huu tumeshuhudia Mama Samia akitengua vigogo wa karibu yake kabisa ambao wengi wao walifanya sherehe baada ya Kifo Cha Hayati Dkt John John Pombe Joseph Magufuli na Uapisho wake.
Rai yangu kwa mliobaki hasa mliokuwa mnamchezea mama kwa mizaha na kejeli kwenye idara zenu ongezeni umakini kwani Mama kwa sasa ni kama mbogo aliyejeruhiwa na simba
Mbaya zaidi ninyi msio na ukaribu kabisa na Mama Samia mjiulize kama Mama huyu ameutendea mti mbichi ( January na Nape ) namna hii, itakuwaje kwenu kama mtafanya kazi kwa mazoea hasa wizi na ufisadi?
#Mama hakamatiki na sasa kafungua injini mpya stay tuned
Sawa mkuu.Ushauri wa Bure kwa Waajiriwa wote wa Serikali hasa wale wa Vimemo vya Uteuzi kutoka Kurugenzi ya IKULU kuweni makini zaidi pengine kuliko awamu yoyote ya Uteuzi wenu.
Huenda Rais Dkt Samia Suluhu amegundua wanaomuagusha na kumfelisha kwa kumuibia na kumfisadi zaidi ni watu wake wa karibu (miti mibichi )
Wakati huu tumeshuhudia Mama Samia akitengua vigogo wa karibu yake kabisa ambao wengi wao walifanya sherehe baada ya Kifo Cha Hayati Dkt John John Pombe Joseph Magufuli na Uapisho wake.
Rai yangu kwa mliobaki hasa mliokuwa mnamchezea mama kwa mizaha na kejeli kwenye idara zenu ongezeni umakini kwani Mama kwa sasa ni kama mbogo aliyejeruhiwa na simba
Mbaya zaidi ninyi msio na ukaribu kabisa na Mama Samia mjiulize kama Mama huyu ameutendea mti mbichi ( January na Nape ) namna hii, itakuwaje kwenu kama mtafanya kazi kwa mazoea hasa wizi na ufisadi?
#Mama hakamatiki na sasa kafungua injini mpya stay tuned