Pre GE2025 Kama Rais Samia ameufanyia hivi mti mbichi; Je, itakuwaje kwako Mti Mkavu?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Tukumbushane, aliyewafukuza maasai ngorongoro Ili waje waarabu ni nani?
 
Kweli tupu
 
Sawa mkuu.
 
Hapana !

Wanamchezea na kumchosha tu!hasta hao aliowateua hawatodumu kwenye nafasi zao!!

Aidha taarifa anazo pata ni wrong Kwa malengo fulani au ni za kweli ili aendelee kukosa wa kumuamini kabisa yaani Kila mmoja amuone haaminiki na imani ni nguzo kuu katika utumishi!!

Kifupi anaendelea kuchezewa akili na system asimwamini yeyote kuelekea uchaguzi mkuu !labda ateue wazanzibari woote Kila nafasi na bado wengine watacheza ngoma ya system!!

Kifupi sijui kama analala usingizi huyu Mama!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…