GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Je kuna Mtu yoyote labda tokea Rais wa TFF Jamal Emil Malinzi alipokamatwa na hadi kupelekwa ' Segadansi ' mpaka muda huu ameona ' Tweet ' yoyote kutoka kwa Rais wa FIFA Infantino kumpa pole ' Swahiba ' wake Malinzi kama ambavyo Rais huyo wa FIFA alifanya hivyo haraka sana kupitia kwa Malinzi kuipongeza Klabu ya Yanga FC kwa ' kutwaa ' tena Ubingwa wa VPL?
Rais wa FIFA Infantino anachelewa nini mpaka sasa ku ' tweet ' kumpa pole ' Swahiba ' wake wa ' Kutukuka ' Rais wa TFF Jamal E. Malinzi?
Nawasilisha.
Rais wa FIFA Infantino anachelewa nini mpaka sasa ku ' tweet ' kumpa pole ' Swahiba ' wake wa ' Kutukuka ' Rais wa TFF Jamal E. Malinzi?
Nawasilisha.