Kama Rais wa FIFA Infantino aliipongeza Yanga FC kupitia Malinzi mbona bado hajampa pole Malinzi?

Ile tweet ilikuwa ya Malinzi personally ama ilielekezwa kwa Yanga? Infantino ni shabiki mkubwa wa Yanga
 
Huko smart kijana. Kwani alipongezwa Malinzi ama Yanga? Sasa unataka wapongeze kwa lipi tena wakati Yanga hawajafanya la kupongezwa?
 
Zile zilikuwa porojo tu za kutafuta kuungwa mkono, huyo Infantino asiipongeze Chelsea, eti aipongeze Yanga!?...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…