Kama Rais wa Ivory Coast mwenye miaka 83 anagombea tena Urais, Mbowe ni nani Hadi aachie Uenyekiti na miaka 63?

Uwepo wa haramu kwingine, kunahalarisha uharamia uliopo?! Ni sawa eti kisa jirani anajisaidia nje basi na wengine wamuige?!
 
Mbowe bado mdogo sana kuachia uenyekiti... bado ana nguvu kama Abdul Nondo linapokuja suala la uenyekiti. Kustaafishwa na Mnyampaa wa Singida ni aibu kubwa kwa mtoto wa mjini Mbowe.
 
Sasa kipi cha upekee kuhusu huyo mzee wa miaka 83 wa ivory Coast, mpaka tumuige? Kwa nini usiige akili kubwa, USA?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…