Mr Chromium
JF-Expert Member
- Aug 20, 2020
- 2,761
- 3,835
Angalia hii ramani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂😂dereva wa maloriYaani kuliko Nyerere alivyopambana ku annex Zanzibar. Bora kwanza angeanza na Rwanda na Burundi kisha unawasambaza nchi nzima. Kipindi kile walikuwa wachache. Unahakikisha wanasambaa nchi nzima wasikae wengi eneo Moja.
Huu ujinga wa Kagame ungekuwa historia Kwa Sasa na si ajabu angekuwa dereva malori TU mjinga huyu.
Yap. Ukisoma historia yake nadhani babake alikuwa.mfanyabiashara anamiliki Lori la kubebea bidhaa.😂😂dereva wa malori
Mkuu; Kwani kuna nini kuhusu huyo PK na mipaka ya nchi? Tupe kwa uchache tafadhali.Yaani kuliko Nyerere alivyopambana ku annex Zanzibar. Bora kwanza angeanza na Rwanda na Burundi kisha unawasambaza nchi nzima. Kipindi kile walikuwa wachache. Unahakikisha wanasambaa nchi nzima wasikae wengi eneo Moja.
Huu ujinga wa Kagame ungekuwa historia Kwa Sasa na si ajabu angekuwa dereva malori TU mjinga huyu.
Alikua mvivu hataki kulima wanasema alisema bora kufa njaa kuliko kufukia miguuYap. Ukisoma historia yake nadhani babake alikuwa.mfanyabiashara anamiliki Lori la kubebea bidhaa.
Angekuwa dereva.
Sasa wewe hapo umetoa nn cha maana!!watanzania bwana ni wajinga sana na wajuaji sana,wao kutwa kuonewa na ujinga mwingi,alafu akitoa argument anajiona katoa point ya maana,kumbe ni mjinga ambaye hajijui kama mjinga hili ni tatizo sana,mjinga kutoa ushauri kwa mwerevu,ukistaajabu ya Musa utaona ya firauni,Tanzania ni kama kisiwa fulani kilichojitenga na dunia,watu wanamawazo ya miaka ya 1950s
Ana taka eneo la kivu liwe sehemu ya rwandaMkuu; Kwani kuna nini kuhusu huyo PK na mipaka ya nchi? Tupe kwa uchache tafadhali.
1.Hivi ilikuwaje kisumu ikawa kenya na hapo kwa ramani naona upo uganda?Angalia hii ramani
Kila mkoloni alikua na ramani yake ! mpaka wa mwisho unaurithi kutoka kwa mkoloni wa mwisho1.Hivi ilikuwaje kisumu ikawa kenya na hapo kwa ramani naona upo uganda?
2.Ruandaurundi ilikuwa nchi moja ila baada ya uhuru zikawa mbili why?
HahahahahahYaani kuliko Nyerere alivyopambana ku annex Zanzibar. Bora kwanza angeanza na Rwanda na Burundi kisha unawasambaza nchi nzima. Kipindi kile walikuwa wachache. Unahakikisha wanasambaa nchi nzima wasikae wengi eneo Moja.
Huu ujinga wa Kagame ungekuwa historia Kwa Sasa na si ajabu angekuwa dereva malori TU mjinga huyu.
Ongea kwa raman hapo hamna raman ya sultanIli kuweka Historia sawa basi maeneo hayo hayajawahi kuwa sehemu ya Tanzania bali yalikuwa sehemu ya Tanganyika. Wakati huo pia ukanda wa pwani ya Tanganyika katika Bahari ya Hindi yalikuwa chini ya mamlaka ya Sultani wa Zanzibari.
endelea kuchekaHahahahahah
Watu mna vituko sana aseee. Nimecheka sana kwa comment hii.
Umefikiria kama mimi.. Rwanda na Burundi zilipaswa ziwe moja ya mikoa yetuYaani kuliko Nyerere alivyopambana ku annex Zanzibar. Bora kwanza angeanza na Rwanda na Burundi kisha unawasambaza nchi nzima. Kipindi kile walikuwa wachache. Unahakikisha wanasambaa nchi nzima wasikae wengi eneo Moja.
Huu ujinga wa Kagame ungekuwa historia Kwa Sasa na si ajabu angekuwa dereva malori TU mjinga huyu.
Jitahidi kutofautisha interest zako na interest za wengine.Najaribu kutafakari mambo mazito yaliyotokea katika taifa letu issue kama utekaji ambayo kwa kiwango kikubwa umetikisa kabisa taifa letu,mambo kadhaa ya uvunjwaji wa katiba,ujazungumzia issue kubwa ya uchaguzi wa serikali za mitaa rough za ajabu zilivyochezwa kwa binadamu mwerevu na mwenye hekima asingekuwa kimya ,lakini binadamu mjinga anaacha kuzungumzia issue inayoathiri mustakabari wa maisha yake anafocus na issue ambazo kwa akili yake finyu sio Level yake kabisa,huu si ujinga wa mjinga??
ila zingekua masikini au mikoa masikini kama ilivo kigoma na KageraUmefikiria kama mimi.. Rwanda na Burundi zilipaswa ziwe moja ya mikoa yetu