Daby
JF-Expert Member
- Oct 26, 2014
- 33,894
- 76,810
1. Kwanini Jeshi la DRC lisiweke kambi kuzunguka mipaka yote ya Rwanda?
Kama ni kweli Rwanda ndiyo inawafadhili waasi supply yote itaisha ndani ya mwezi mmoja.
Yaani kama tunapigana na waasi wanaosaidiwa na kenya tunahakikisha kuanzia mwanza hadi kilimanjaro mipaka ina jeshi litakao tapakaa vijijini na maporini.
Vivyo hivyo kama Mataifa ya nje ndiyo yanayowafadhili m23.
Sielewi naombeni mnieleweshe.
Kama ni kweli Rwanda ndiyo inawafadhili waasi supply yote itaisha ndani ya mwezi mmoja.
Yaani kama tunapigana na waasi wanaosaidiwa na kenya tunahakikisha kuanzia mwanza hadi kilimanjaro mipaka ina jeshi litakao tapakaa vijijini na maporini.
Vivyo hivyo kama Mataifa ya nje ndiyo yanayowafadhili m23.
Sielewi naombeni mnieleweshe.