Kama Rwanda ndiyo inaisaidia M23......

Kama Rwanda ndiyo inaisaidia M23......

We ungekuwa upo zako Kinshansa unapiga mvinyo ungehangaika na masuala ya sijui Kivu Kaskazini?
 
Linalazimika kupigana kila siku kwa sababu M23 wanakuwa kwenye offensive, lenyewe linakuwa kwny deffensive.

Namaanisha waasi wanakuwa wanapigana kusonga mbele na jeshi la DRC linalazimika kupigana kujihami, halina uwezo wa kuwafuata kwny kambi zao huko misituni.

Hiyo FARDC, bila kusaidiwa, ndani ya wiki moja waasi wanaikamata Kinshasa, serikali ya DRC inaishi kwa msaada wa majirani tu.
DRC kuna zaidi ya vikundi 30 vya waasi sio mchezo vurugu lake.
 
Shida hilohilo jeshi la kongo kuna wasaliti!, ile vita ki mbinu ni rahisi ila kiuhalisia ni ngumu maana wale majeshi yakongo kuna watu wa M23 wanatoa taarifa za nini kinafuata kwa M23!.

shida ni hilo jeshi la kongo ni dhaifu mno hivyo ni rahisi kuhongeka!, halafu ugopa matajiri wakiona ni kikwazo humalizi muda watahakikisha unasepa! ile vita ukitaka uivunje wajue wale mapapa wanaofadhiri M23, halafu fanya operation ya siri sana uwaue! hapo hakuna jiwe litakaa juu ya jiwe!.
Wataku tangaza dikteta kisha watakuwekea vikwazo, utapinduliwa na kufungwa au utauwawa.
 
Kona nyingi sana zipo¹ nyingi sana na wanaopigana ni banyamulenge wapo humo Congo.
Conflict lazima iwepo ili wengine wachume maana wenye nchi wamelala tu.
 
Wakongo wote kama vinyeo vya kuku akili zao matope tangu lini mkata viuno akawa seriousl na kazi ya jeshi
 
Dialogue, Tishekedi ameshagundua Ubabe hausaidii.
 
Hawa waasi sio kama
Rais hajataka kudhibiti uingizwaji wa silaha....

Hawa waasi wapo established kilometa kadhaa za mraba. Monitor ndege zinazoingia weka checkpoints njia zote kuelekea wanapoishi waasi. Ukikata walau 60% ya mawasiliano kati ya waasi na mataifa ya nje ikiwemo Rwanda umemaliza kazi.

Je, AU inataka kuisaidia Congo kweli au nasisi tunafurahia yanayotokea....viongozi hawawezi Kuja na njia mbadala au wanafurahia kina mama wanavyokimbia na vitoto vichanga?
Aibuuu

1. Kila mmoja anajua msala wa DRC ni nchi jirani inajiendesha kwa kutumia maliasili za nchi jirani
2. Kila mmoja anajua huyo jirani anategemea backup ya nchi za nje na makampuni ya nje yanayofurahia kununua madini kwa bei chee au kuchukua bure. Madini ya wizi yanayopitia njia za chochoro ni cheap ukilinganisha na kama ungenunua kwa njia rasmi
3. Kila mmoja katika AU atakuwa anaona noma kuwa akimzingua jirani nayeye atazinguliwa na wazungu
4. Au katika AU Hamna akina Nyerere wa kizazi hiki. Akina Nyerere waliamini nchi moja katika Afrika ikibaki inatawaliwa ni kama Afrika nzima bado inatawaliwa. Leo: nchi moja katika Afrika ikisumbuliwa na uasi ni kama Afrika nzima haina amani.
 
Wakongo wote kama vinyeo vya kuku akili zao matope tangu lini mkata viuno akawa seriousl na kazi ya jeshi
Tutabaki kusema haya. Hatujui jinsi gani joka kuuubwa LA makampuni na nchi tajiri lilivyoizingira DRC.
Mioyo, macho, na masikio yao yako DRC. Wao hawana maliasili zinazopatikana DRC na wanazihitaji mbaya kabisa. Na hawataki kununua kihalali. Kudadek!
 
1. Kwanini Jeshi la DRC lisiweke kambi kuzunguka mipaka yote ya Rwanda?
Kama ni kweli Rwanda ndiyo inawafadhili waasi supply yote itaisha ndani ya mwezi mmoja.

Yaani kama tunapigana na waasi wanaosaidiwa na kenya tunahakikisha kuanzia mwanza hadi kilimanjaro mipaka ina jeshi litakao tapakaa vijijini na maporini.

Vivyo hivyo kama Mataifa ya nje ndiyo yanayowafadhili m23.

Sielewi naombeni mnieleweshe.
Hakuna pa kupita,rwanda imefunga njia zote,pia rais tshishekedi ni rais juha kabisa hana anachoweza
 
Hawa waasi sio kama
Rais hajataka kudhibiti uingizwaji wa silaha....

Hawa waasi wapo established kilometa kadhaa za mraba. Monitor ndege zinazoingia weka checkpoints njia zote kuelekea wanapoishi waasi. Ukikata walau 60% ya mawasiliano kati ya waasi na mataifa ya nje ikiwemo Rwanda umemaliza kazi.

Je, AU inataka kuisaidia Congo kweli au nasisi tunafurahia yanayotokea....viongozi hawawezi Kuja na njia mbadala au wanafurahia kina mama wanavyokimbia na vitoto vichanga?

Kwahiyo hutaki kujiuliza kwanini watu wamekuwa waasi? Bila kutibu mzizi wa tatizo ni kazi bure!
 
Back
Top Bottom