Na wewe unaamini mtaalamu anaweza akazuia deal kweli?Hivi kuna watu wanaweza kwenda kwa mtalaam kuzuia mafanikio ya Samatta. Basi itakuwa ni wivu wa kipumbavu.
Atapata permit, next weekend atakuwa ndani ya uzi wa Aston Villa akiwasaidia wasishuke daraja.
Kila kitu kina taratibu zake, ukute angekuwa na hiyo dual citizenship asingepata hiyo nafasi.
Baada ya Liverpool FC, Aston Villa itakuwa timu yangu ya pili kuishabikia. I hope itabaki Premier.
AV wanaamini watapata kibali kesho Juma3 na game ya Jumanne dhidi ya WATFORD atakuwemo kikosini
Sent using Jamii Forums mobile app
Hasa wale ndugu zetu walioanza kupigia mahesabu mpunga wa usajili kutoka Aston Villa! Watamtia gundu kijana wa watu!Isije kuwa afya mgogoro. Ila deal likibuma wabongo kuna kitu mtajifunza. Kuacha kushadadia vitu kabla ya kuwa imehakikishwa.
Genk wameshatoa salamu za kuumuaaga. Mabeberu huwa hawakurupuki kutoa taarifa kama anavyotoaagaa manaraKwa kawaida huwa haichukui zaidi ya masaa 48 baada ya vipimo vya afya mchezaji kutambulishwa na klabu, fuatilieni sajili zote mtaona
lakini huyu ndugu yetu Samatta tokea tuskie yupo Uk akifanya vipimo vya afya tunaona kimya tu mpaka sasa, kama dili limebuma tuambiwe tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Kina Shaffih Dauda,Edo Kumwembe .Ila hope Samatta atatambulishwa ,kwanza dirisha linafungwa tarehe 31 hivyo muda still upo.Hasa wale ndugu zetu walioanza kupigia mahesabu mpunga wa usajili kutoka Aston Villa! Watamtia gundu kijana wa watu!
Sent using Jamii Forums mobile app
Siamini hizo mambo mimi. Kama ni Yes ni Yes tu.
Msuva ni mchezaji wa benifica lakini ametolewa kwamkopo kwenye team ya Panathinaikos ya Greece.Kuna issue ya Msuva kwenda Benifica ilivuma baadae sijui imeishia wapi
Sent using Jamii Forums mobile app
Babu hakuna wakala mwenye muda wakuangalia huyu mchezaji nikatoka taifa gani ishu ya Tanzania kuwepo kwenye umoja wa jumuiya ya ulaya ni ishu za nchi na nchi. Aston villa wao wananaangaika na work permit kuanzia kesho.Hizo points anazipata vipi ? Kwani Aston villa before wamu point walikua hawajajua hayo?
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji16] [emoji16] [emoji16]
Utafiti unaonesha karibu asilimia 70 ya watanzania ni vichaa, yan wana matatizo ya akili!
Sasa sijui wewe ulikuwepo wapi utafiti ukitoka!
Kabisa ingekuwa rahisi mno usajili huu ungekuwa umeshakamilika mapema sana pepe Reina katumia saa 48 tu kujiunga na Aston Villa.Hapa ndo unakuja umuhimu wa duo nationality. Samatta angekuwa raia wa Ubelgiji pia,haya yasingemkuta.
Mkuu wenzetu Wana taratibu zao, za Wizara ya Kazi, Uhamiaji na toka kwa Chama cha Mpira....Hizo points anazipata vipi ? Kwani Aston villa before wamu point walikua hawajajua hayo?
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu wenzetu Wana taratibu zao, za Wizara ya Kazi, Uhamiaji na toka kwa Chama cha Mpira....
Kwanza Ili upate nafasi ya kucheza EPL lazima National team yako iwe kwenye Nafasi za juu, kwa hilo ni rahisi kupata Work permit...
Pili Inawezekana National team haiko kwenye nafasi za juu but Kama ni Raia wa Umoja wa Ulaya Una nafasi ya haraka kupata Work permit.
Tatu... Kama huna vyote wanaangalia Points toka kwenye Records zako huko ulikocheza na Mechi za Team ya Taifa...
Mfano...
Wanasema kama ni Mshambuliaji uwe na Wastani wa kufunga sio chini ya Goals 15 kwenye Msimu mmoja....
Uwe umeshacheza Europa league.
Uwe umecheza Uefa...
Uwe umecheza Angalau Mechi kadhaa National team na wastani mzuri wa Mabao National Team...
N.k
Sasa ukija kwa Samatta hana Uraia wa Ulaya, National Team yake Iko nyuma Sana kwa Ubora.... ILA RECORD ZA KULE GENK ALIKOKUA ZINAMBEBA KUWEZA KUPATA POINTS ZA KUTOSHA KUPATA WORK PERMIT UK.
Keshafanya Medical, washakubaliana Dau na Genk, washakubaliana na Maslahi ya Samatta... KINACHOSUBILIWA NI WORK PERMIT ambayo inaweza kutoka week ya Kesho mapema....
Mkuu wenzetu Wana taratibu zao, za Wizara ya Kazi, Uhamiaji na toka kwa Chama cha Mpira....
Kwanza Ili upate nafasi ya kucheza EPL lazima National team yako iwe kwenye Nafasi za juu, kwa hilo ni rahisi kupata Work permit...
Pili Inawezekana National team haiko kwenye nafasi za juu but Kama ni Raia wa Umoja wa Ulaya Una nafasi ya haraka kupata Work permit.
Tatu... Kama huna vyote wanaangalia Points toka kwenye Records zako huko ulikocheza na Mechi za Team ya Taifa...
Mfano...
Wanasema kama ni Mshambuliaji uwe na Wastani wa kufunga sio chini ya Goals 15 kwenye Msimu mmoja....
Uwe umeshacheza Europa league.
Uwe umecheza Uefa...
Uwe umecheza Angalau Mechi kadhaa National team na wastani mzuri wa Mabao National Team...
N.k
Sasa ukija kwa Samatta hana Uraia wa Ulaya, National Team yake Iko nyuma Sana kwa Ubora.... ILA RECORD ZA KULE GENK ALIKOKUA ZINAMBEBA KUWEZA KUPATA POINTS ZA KUTOSHA KUPATA WORK PERMIT UK.
Keshafanya Medical, washakubaliana Dau na Genk, washakubaliana na Maslahi ya Samatta... KINACHOSUBILIWA NI WORK PERMIT ambayo inaweza kutoka week ya Kesho mapema....
Suala la msingi ni mshahara mkubwa, sio ligi. Wewe unaangalia ligi kwa kuwa ni mshabiki, lkn yeye anayefanya mpira kama ajira haangalii ligi, anaangalia salioKinachoniuma ni kazi kubwa anayokwenda kuifanya Kama atasajiliwa. Aston Villa iko katika nafasi ya tatu toka chini. Inaelekea kwenda Championship, je Samatta amekubali kucheza ligi za chini?
Mwenyezi Mungu ambariki aende na jitihada zake na nia yake ya kucheza Uingereza iwe yenye ufanisi.
Mkuu wenzetu Wana taratibu zao, za Wizara ya Kazi, Uhamiaji na toka kwa Chama cha Mpira....
Kwanza Ili upate nafasi ya kucheza EPL lazima National team yako iwe kwenye Nafasi za juu, kwa hilo ni rahisi kupata Work permit...
Pili Inawezekana National team haiko kwenye nafasi za juu but Kama ni Raia wa Umoja wa Ulaya Una nafasi ya haraka kupata Work permit.
Tatu... Kama huna vyote wanaangalia Points toka kwenye Records zako huko ulikocheza na Mechi za Team ya Taifa...
Mfano...
Wanasema kama ni Mshambuliaji uwe na Wastani wa kufunga sio chini ya Goals 15 kwenye Msimu mmoja....
Uwe umeshacheza Europa league.
Uwe umecheza Uefa...
Uwe umecheza Angalau Mechi kadhaa National team na wastani mzuri wa Mabao National Team...
N.k
Sasa ukija kwa Samatta hana Uraia wa Ulaya, National Team yake Iko nyuma Sana kwa Ubora.... ILA RECORD ZA KULE GENK ALIKOKUA ZINAMBEBA KUWEZA KUPATA POINTS ZA KUTOSHA KUPATA WORK PERMIT UK.
Keshafanya Medical, washakubaliana Dau na Genk, washakubaliana na Maslahi ya Samatta... KINACHOSUBILIWA NI WORK PERMIT ambayo inaweza kutoka week ya Kesho mapema....