Kama sauti hii ni sauti ya kweli, nimeelezwa Mpango ndio mpango mzima. Swali ni akiwa Mkristo, kwanini ni lazima awe Mkatoliki?

Kama sauti hii ni sauti ya kweli, nimeelezwa Mpango ndio mpango mzima. Swali ni akiwa Mkristo, kwanini ni lazima awe Mkatoliki?

Hii nchi bwana Mzee Magu alishatuonyesha njia kuwa inawezekana sasa tuamue tuwape nchi viongozi wenye maono wapo na wanaonekana pia hao wajanja wajanja msiache kuwapigia mayowe watasikia aibu watakaa pembeni mbona pole pole kawazodoa kataa wahuni kataa wahuni kuna muda unafika na wenyewe wanajisikia aibu wanakaa chonjoo ila mkiwaonea aibu huko juu sisi huku chini hatuna cha kufanya tunaishia kuwa keyboard warriors tu.
 
Wanabodi
Kwa kawaida siku za Ijumaa na Jumamosi ndio huwa nakaa viti virefu, Jumapili ni family day, huwa sikai viti virefu nakaa viti vya chini na mwendo sio wa Joni Mtembezi ni mwendo wa Harusi ya Kana!.

Jumapili ya leo, niko zangu viti vya chini, usawa wa Harusi ya Kana, tena ile ya Altareni, amekuja mtu, sina uhakika kama ni wa 'kulee!', akanitamkia "Mpango ndio mpango mzima"!.

Hivyo kama HII sauti ni sauti ya kweli , then Mpango ndio mpango mzima!. Swali ni.. kwanini akiwa Mkristo, ni lazima awe Mkatoliki?!.

Ufafanuzi zaidi ni Juliasi alikuwa Mkatoliki, Benyamini alikuwa Mkatoliki, na Yohana Yosefu pia alikuwa Mkatoliki!, jee imejitokea tuu by chance of a mere coincidence au akiwa Mkristo ni lazima awe Mkatoliki?.

Kama sauti HII ni kweli, then anayefuata sio Dr. Huseni!, ni Fillipo!. Kwa vile huyu pia ni Mkatoliki, hivyo nauliza tena na tena, kwani akiwa Mkristo ni lazima awe Mkatoliki?, why?.

Jumapili Njema
Paskali.
Wewe ndie unamjaza upepo mzee moh'd said aje na stori zake za mfumo kristo, na mambo ya kanisa huku kichangani, mtoro, idrisa na manyema.
 
Wanabodi,

Kwa kawaida siku za Ijumaa na Jumamosi ndio huwa nakaa viti virefu, Jumapili ni family day, huwa sikai viti virefu nakaa viti vya chini na mwendo sio wa Joni Mtembezi ni mwendo wa Harusi ya Kana!

Jumapili ya leo, niko zangu viti vya chini, usawa wa Harusi ya Kana, tena ile ya Altareni, amekuja mtu, sina uhakika kama ni wa 'kulee!', akanitamkia "Mpango ndio mpango mzima"!

Hivyo kama HII sauti ni sauti ya kweli , then Mpango ndio mpango mzima!. Swali ni.. kwanini akiwa Mkristo, ni lazima awe Mkatoliki?

Ufafanuzi zaidi ni Juliasi alikuwa Mkatoliki, Benyamini alikuwa Mkatoliki, na Yohana Yosefu pia alikuwa Mkatoliki!, jee imejitokea tuu by chance of a mere coincidence au akiwa Mkristo ni lazima awe Mkatoliki?

Kama sauti HII ni kweli, then anayefuata sio Dr. Huseni!, ni Fillipo! Kwa vile huyu pia ni Mkatoliki, hivyo nauliza tena na tena, kwani akiwa Mkristo ni lazima awe Mkatoliki? Why?

Jumapili Njema
Paskali.
Cha Mapinduzi (CCM) kimemteua rasmi Mheshimiwa Rais Samia Suluhu Hassan kuwa mgombea wa urais kwa uchaguzi mkuu wa mwaka 2025.
Duh...!. Kwa uamuzi huu, ina maana HII sauti nilioisikia sio sauti yake YEYE bali ni sauti ya yeye!.

Angalizo: Kama sauti HII
ni yake YEYE mwenyewe halisi na mhusika ameambiwa ila akatia pamba masikioni, kujifanya hajasikia, then kati ya 2025 na 2030, YEYE mwenyewe atasema nasi!.
Kazi iendelee!.

Hii maana yake ni Dr. Nchimbi na ni Mkatoliki!.

P
 
Duh...!. Kwa uamuzi huu, ina maana HII sauti nilioisikia sio sauti yake YEYE bali ni sauti ya yeye!.

Angalizo: Kama sauti HII
ni yake YEYE mwenyewe halisi na mhusika ameambiwa ila akatia pamba masikioni, kujifanya hajasikia, then kati ya 2025 na 2030, YEYE mwenyewe atasema nasi!.
Kazi iendelee!.

Hii maana yake ni Dr. Nchimbi na ni Mkatoliki!.

P
Ujumbe huu usipuuzwe.!!
 
Duh...!. Kwa uamuzi huu, ina maana HII sauti nilioisikia sio sauti yake YEYE bali ni sauti ya yeye!.

Angalizo: Kama sauti HII
ni yake YEYE mwenyewe halisi na mhusika ameambiwa ila akatia pamba masikioni, kujifanya hajasikia, then kati ya 2025 na 2030, YEYE mwenyewe atasema nasi!.
Kazi iendelee!.

Hii maana yake ni Dr. Nchimbi na ni Mkatoliki!.

P
Umezidi bro
 
Ni Mrundi. Na hapo alipofika ndiyo mwisho.
The end justifies the means!,
Kama ni kweli alifanikiwa kupenya na kuwa, naomba tumuheshimu ni mwenzetu, mwache astaafu kwa heshima!. Yeye sii wa kwanza wala sii wa mwisho!, mbona tuliwahi elezwa kitu humu kuhusu Mchonga, hatukusema kitu!. Tukaambiwa kitu kuhusu Chinga, hadi aliingia nchini akiwa na miaka mingapi huku anatembea mwenyewe, lakini hatukufanya kitu!. Tukaelezwa humu kuhusu yule Mwamba, hadi jina lake la kule alikotoka, akapewa jina la Kitanzania la Katto, hatukusema kitu!. Tukianza mambo haya tutakuja kufungua pandora box, tutammulika Inno na Dotto!.
Mwache VP astaafu salama.
P
 
Wanabodi,

Kwa kawaida siku za Ijumaa na Jumamosi ndio huwa nakaa viti virefu, Jumapili ni family day, huwa sikai viti virefu nakaa viti vya chini na mwendo sio wa Joni Mtembezi ni mwendo wa Harusi ya Kana!

Jumapili ya leo, niko zangu viti vya chini, usawa wa Harusi ya Kana, tena ile ya Altareni, amekuja mtu, sina uhakika kama ni wa 'kulee!', akanitamkia "Mpango ndio mpango mzima"!

Hivyo kama HII sauti ni sauti ya kweli , then Mpango ndio mpango mzima!. Swali ni.. kwanini akiwa Mkristo, ni lazima awe Mkatoliki?

Ufafanuzi zaidi ni Juliasi alikuwa Mkatoliki, Benyamini alikuwa Mkatoliki, na Yohana Yosefu pia alikuwa Mkatoliki!, jee imejitokea tuu by chance of a mere coincidence au akiwa Mkristo ni lazima awe Mkatoliki?

Kama sauti HII ni kweli, then anayefuata sio Dr. Huseni!, ni Fillipo! Kwa vile huyu pia ni Mkatoliki, hivyo nauliza tena na tena, kwani akiwa Mkristo ni lazima awe Mkatoliki? Why?

Jumapili Njema
Paskali.
Akiwa mkiristo na asiwe mkataa iliki,basi ujue lile baraza la wakataa iliki,lilojaa wanasiafu uchwara wanaokatibiwa na yule sirikofu mwenye watoto wengi watazusha mbungi
 
Duh...!. Kwa uamuzi huu, ina maana HII sauti nilioisikia sio sauti yake YEYE bali ni sauti ya yeye!.

Angalizo: Kama sauti HII
ni yake YEYE mwenyewe halisi na mhusika ameambiwa ila akatia pamba masikioni, kujifanya hajasikia, then kati ya 2025 na 2030, YEYE mwenyewe atasema nasi!.
Kazi iendelee!.

Hii maana yake ni Dr. Nchimbi na ni Mkatoliki!.

P
Acha mikwara...
 
Duh...!. Kwa uamuzi huu, ina maana HII sauti nilioisikia sio sauti yake YEYE bali ni sauti ya yeye!.

Angalizo: Kama sauti HII
ni yake YEYE mwenyewe halisi na mhusika ameambiwa ila akatia pamba masikioni, kujifanya hajasikia, then kati ya 2025 na 2030, YEYE mwenyewe atasema nasi!.
Kazi iendelee!.

Hii maana yake ni Dr. Nchimbi na ni Mkatoliki!.

P
Mkuu Paskali, Sauti ulioisikia hukukosea ni YEYE. It is not over.
 
Mkuu Fabo, Fabolous, asante sana kwa maneno ya faraja sana haya, kama ni sauti yake YEYE, then HE is never wrong!.

It is not over until it is over!.
P
Yule Mzee alivyo smart plus misimamo ya ki RC ilikua ngumu sana kufanya KAZI na such terrible people.

By the way, Suluhu ndio kiongozi wa Kwanza recently Seniors wake wawili "kujiuzulu" Ndani ya kipindi cha miezi 12. Lazima kuna TATIZO mahali
 
By the way, Suluhu ndio kiongozi wa Kwanza recently Seniors wake wawili "kujiuzulu" Ndani ya kipindi cha miezi 12. Lazima kuna TATIZO mahali
Umeona eeh...!. Niliwahi kuuliza Could there be a problem with our vetting systems? These hirings and firings hazitaonekana kama signs za incompetence on part of appointing authority? na nikauliza tena Hizi pangua pangua za Rais Samia kwa wateule wake kila uchao zote zina maslahi kwa taifa au kuna flip-flops?

Sasa panga pangua hizi tumepangiwa hadi wagombea.
P
 
Pascal Mayalla rudi kwenye post yangu hii. Issue ya Makamu kuomba kutoendelea sababu ni hizo hapo juu.
Kwa nn kila mara huwa baadhi ya watu mnahusisha viongozi wa juu na uraia wao? Wakati wa nyerere wapo waliosema sio mtanzania kwa story nyingi
Mkapa nae hivyp hivyo akasemwa ni wa nchi jirani kusini
Magufuli nae wakasema ni wa nchi jirani Rwanda
Mama Samia nae wanasema ni wa oman

Kinana nae wakasema ni msomali, Cha ajabu kila awau anapata nafasi za juu

Haya yamewahi kumkuta salim Ahmed salim kwa story hizi, Leo wale waliosema hivyo wanaenda nyumbani kwake kumsifia Kama moja ya viongozi bora. Hakuna tena wa kukuambia sio raia wa Tz

Kwa nn mnapenda story za aina hii sana? Sisemi kuwa hawapo viongozi ambao pengine wana asili ya nchi jirani
 
Back
Top Bottom