Kama seminari kigezo ni kanuni na sheria kali, mbona shule za kiislamu sufuri.

Kama seminari kigezo ni kanuni na sheria kali, mbona shule za kiislamu sufuri.

Nawachukia sana watu wenye udini. Nitaanza kuwapunguza kwenye jamii kwa njia yoyote ile. Kua makini tusikutane. Sitajali dini atokayo, rangi wala kabila.

Hata na mimi nawachukia kabisa, nani kamwambia kuwa wasilamu wana seminari? Wao wana madrasa bwana.
 
kwa nini TZ especially Dar matajiri wakubwa ni hata hawajosoma hizo seminari za kikatoliki?,kwa nini waliomsapoti nyerere kudai uhuru ni hao hao wasiosoma seminari za kikatoliki?,kwa nini miji ya awali kuwa na maendeleo Tanzania eg.Bagamoyo,Tanga,Dar na Zanzibar ni ile yenye idadi ndogo ya waliosoma seminari za kikatoliki?...................fikiria mara kumi elimu yako inakusaidia nini,wakati wewe umesoma mpaka form six huko seminari na kupata AAA huku ukiishiwa kuajiriwa kwenye makampuni ya watu,wenzako walioishia madrasa unayoidharau wanazidi tu kufungua fremu nyingine na kuongeza safari za kwenda Dubai kufuata mzigo

Nadhani sababu kubwa ni hiyo kuwa elimu sio ya muhimu
 
ah kumbe bado ni member tu hatuwezi kushaangaa
 
Shule za kiislam takbiiil nyingi mno ndio mana.
 
wanajamvi matokeo ya sec za seminari(za katoliki) zinafanya vzr sbb n kanuni na sheria kali. vp shule za kiislamu kunani

NI KWA SABABU YA MOMMERANDUM OF UNDERSTANDING. isome hiyo utaona jibu la wazi
 
Mtu yeyote mwenye udini ujue either maskini wa mali au maskini wa fikra yaan empty headed huwez kukalisha makalio na kuanza kuisema dini isiyo yako lazima utakua na tatizo kichwani tuweni na busara hata km c halisi bac hata ya kuigiza inatosha......kuna vitu ambavyo ctoweza kusuport hata kama upo upande wangu by the way hyo elimu yako seminar za kkatolik haijakufuta ujinga bora yetu tuloxoma kata tunajua kuishi na watu tofauti na wenye itikad tofauti. Muanzisha mada rudi darasani....!
 
Back
Top Bottom