Wakuu habari zenu, bila shaka mnajua kuwa serikali iliahidi kupunguza kodi kwa wafanyakazi, ingawa ni kidogo ningependa kujua CWT wao wanampango kama huo? Au ndio wanazidi kuwanyonya walimu?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.