THE BIG SHOW
JF-Expert Member
- Feb 28, 2012
- 16,950
- 13,527
Zile nyumba za tope pale Mtwara katikati ya mji ni chuki za Serikali?? Mbona wakristo kule Shangani wanaishi vizuri tu, wao wamependelewa na serikali??? Kama shule hamna unategemea nini?? Mbona hao wachache wanaotoka huko wakifaulu wanafika mbali tu?? Nina rafiki yangu Mmakonde tena mwislamu leo hii ni Rubani huko Ulaya..Maendeleo ya sehemu husika hutegemea na mipango ya serikali
Hii miji uliyoisema ambayo unasema weengi wa wakazi wa huko ni wagalatia unaiona ina maendeleo siyo kwa sababu wakazi wa huko wanapiga kaz au wanajituma zaid kushinda sehemu hizo zingine
Jibu ni kwa sababu mliojaa serikalin ni wakristo na kwa sababu ya chuki zenu mnaamua kwa makusud vipaombele vya serikali mvipeleke kwenu huko mnakosema kuna dayosisi zenu na huku mkisahau kabisa kuwa wapo wakristo wenzenu wanaoish huko
Katika serikali ya kikwete baraza la mawaziri wakristo mlijaaa
Makatibu na manaibu katibu wakuu mlijaa
Wakuu wa mikoa na wilaya mlijaa
Infact mlijaa kila idara je mmelifanyia nin taifa hili zaid ya wizi na ufisadi?
Je mmesahau hata esrow jins mlivotumia hadi maaskofu na makanisa kuliibia taifa hili?
Vita kubwa ambayo anayo magufuli kwanza ni kuwatumbua majipu nyinyi waimba kwaya wenzake
Vita na uislam na waislam hataiwezaa
tumekusikia baba parokoHujanielewa..Rudia kunisoma tena
Tunamsaidia na Tutamsaidia Rais kuirudisha nchi katika misingi
Kama uliiba hautaachwa kwa sababu wewe ni mkristo au ni muislamu
Kama ni kupewa majukumu ya kazi katika serikali hautapewa kwa sababu wewe ni mkristo au ni muislam
Again read between the lines
Shule aitoe wapi huyo,asilimia 70% ya wanajiita wasomi wamefoji vyeti.Cheti kimoja kimetumiwa na watu 10 tofauti kuomba kazi.NIDA wamegundua katika kutoa vitambulisho jina moja lina appear mara 10 kwa watu tofauti.
Maneno makali sana haya,ila nmekuelewa mkuu.Katika serikali ya kikwete baraza la mawaziri wakristo mlijaaa
Makatibu na manaibu katibu wakuu mlijaa
Wakuu wa mikoa na wilaya mlijaa
Infact mlijaa kila idara je mmelifanyia nin taifa hili zaid ya wizi na ufisadi?
Je mmesahau hata esrow jins mlivotumia hadi maaskofu na makanisa kuliibia taifa hili?
Vita kubwa ambayo anayo magufuli kwanza ni kuwatumbua majipu nyinyi waimba kwaya wenzake
Vita na uislam na waislam hataiwezaa
yaani patanoga ni balaa,ngoja teuzi ziishe tufanye majumuishoNaogopa sana matokeo ya haya mambo yanayojengwa miongoni mwa watu.UDINI,UKABILA NI SUMU.
Ha ha ha,kwahiyo watafuna kitimoto mmeamua kupora madaraka yote eeh?
Ha ha ha
Mimi nakuambia hawa jamaa ni bure kabisa
Hakuna kitu kichwan yan
Hao wanaojiita wasomi usomi wao vyeti wanafoji na ukiwakuta wenye vyeti kama Andrew chenge Au Tibaijuka au Muhongo basi lazima yawe ni majiziii...
Hawana maana hawa
Hawa ndyo chanzo cha umaskin wa taifa hili.
MH uchunguzi ulifanyika wapi mkuu au msikitiniww leta dhihaka .Lakini huyo dau kaganyiwa uchunguzi kakutwa ni msafi.
Hao unaowalaumu leo uliwasheherekea na kuwapigia kampeni.Ha ha ha
Mimi nakuambia hawa jamaa ni bure kabisa
Hakuna kitu kichwan yan
Hao wanaojiita wasomi usomi wao vyeti wanafoji na ukiwakuta wenye vyeti kama Andrew chenge Au Tibaijuka au Muhongo basi lazima yawe ni majiziii...
Hawana maana hawa
Hawa ndyo chanzo cha umaskin wa taifa hili.
Majumuisho ya nini..Nchi hii sio kanisa wala msikitiyaani patanoga ni balaa,ngoja teuzi ziishe tufanye majumuisho
KUMWAMINI MUNGU SI LAZIMA UWE NA DINISerikali kama haina dini, kwa nini wimbo wa taifa unamtaja mungu?
Wakati kuna Watanzania wengine hatuamini katika kuwapo kwa mungu?
yaani patanoga ni balaa,ngoja teuzi ziishe tufanye majumuisho
Majumuisho ya nini..Nchi hii sio kanisa wala msikiti
Maneno makali sana haya,ila nmekuelewa mkuu.