Kama Serikali ya Tanzania haina dini, Mungu anayetajwa katika wimbo wa taifa ni yupi?

Kama Serikali ya Tanzania haina dini, Mungu anayetajwa katika wimbo wa taifa ni yupi?

Kama ni wengi ni Miungu, si Mungu.

Jifunze Kiswahili kabla ya kurukia habari za Mungu.

Hujathibitisha kwamba Mungu yeyote yupo.

Kama kuna Miungu wengi, anayetajwa na serikali ni yupi?

Allah au Yahweh?

Na serikali isiyo na dini ikimtaja Mungu katika kazi zake wakati kuna raia hawaamini uwepo wa Mungu haijawatenga hao raia kidini?

Ikiwatenga hao raia kidini bado haina dini?
Allah na Yahweh ni wa Mashariki ya Kati
Kwa nchi hii wapo zaidi ya hao. Mfano Inguluvi,Kyara,Ruwa n.k.
 
tatizo waislamu weng zamani hatukusoma tulikariri elimu ya dini wakati wenzetu wakristo wanasoma na kujenga mashule yao,hata sasa hivi waislamu wengi uwa wanafeli sana kwa sababu wanasoma sana elimu ya dini kuliko.mfno ukiangalia mikoa yenye idadi kubwa ya waislamu muamko wa elimu hakuna mfn Lindi,mtwara,tabora,singida,kigoma,
nje ya mada una kisirani
 
'.......'In your Perspective ''
And that is your perspective, an incurious, ignoble one that demonstrates the really incredible amount of vulgarity a petty mind can work into a farce about unsubstantiated trifling musings.
 
And that is your perspective, an incurious, ignoble one that demonstrates the really incredible amount of vulgarity a petty mind can work into a farce about unsubstantiated trifling musings.
Arrogant people think they know it all … or at least pretend they do. So they often want to start at the top. They want a position that recognizes their extra-special talent. But it’s not only stupid, it’s also counterproductive.
 
Arrogant people think they know it all … or at least pretend they do. So they often want to start at the top. They want a position that recognizes their extra-special talent. But it’s not only stupid, it’s also counterproductive.
Timid people have much to be timid about.

And they take every pointing out of their stupidity as arrogance.

In stating that my pespective is my perspective, you are making a banal point, stating the obvious.

I would respect you more had you pointed out that my perspective was incorect, with valid reason.

Else, you are just bitching about an incredulous and laughable no brainer.
 
Timid people have much to be timid about.

And they take every pointing out of their stupidity as arrogance.

In stating that my pespective is my perspective, you are making a banal point, stating the obvious.

I would respect you more had you pointed out that my perspective was incorect, with valid reason.

Else, you are just bitching about an incredulous and laughable no brainer.
Mjomba, we bingwa wa lugha!!
 
Ktk awamu ya nne kulikua na teuzi nyingi sana za kuridhishana kidini badala ya kuzingatia utendaji kuna watu hata wa dini yangu waliteuliwa kwaajili tu ya kuturidhisha dini yetu huo ni udhaifu mkubwa sana ambao rais ameuzika kwa kuteua watu bila kuuliza kwanza dini zao.
Halafu ikaja awamu inayoteua kwa kuangalia kabila la mtu.
 
Back
Top Bottom