Kama Serikali ya Tanzania haina dini, Mungu anayetajwa katika wimbo wa taifa ni yupi?

Kama Serikali ya Tanzania haina dini, Mungu anayetajwa katika wimbo wa taifa ni yupi?

Kwa hiyo ulitaka iwe 137/2 ili iwe nusu kwa nusu?
Mbona Mzee Dau pale Nssf alikuwa haweki nusu kwa nusu,,?

Tanzania hakuna Udini acheni uvivu,, unapata wapi muda wa kuhesabu ma DAS wote 137 na kuwachambua dini zao?
Hujui akina Ramadhan wengine ni Wakristo na akina Richard wengine ni Waislamu?
toa takwimu za wafanyakazi nssf tuone kama ratio ya waislamu ni kubwa kiasi cha kupigiwa kelele hivyo, wakiristo wengi mna kelele na chuki sehemu nyingi mmekaa mashirika mbali mbali lakn huwa hamuoni
 
Tusidanganyane kama haina dini waondoe hiyo mapumziko siku za sikukuu kama Idd maulidi day passes na Christmas.
 
Tanzania Government is of Neutrality Is not "Anti-Religion" is this true?
Tunasema Serikali ya Tanzania haina dini lakini watu wake wana dini. Vipi hii.?
Ikiwa serikali ni ya watu na kwa ajili ya watu. Is this true and how far is true?
Kama serikali haina dini, kwa nini wimbo wa taifa unamtaja mungu?

Kwa nini bunge linaanza na kumuomba mungu?

Mungu yule ni wa dini gani?

Na mimi Mtanzania ambaye siamini kuwepo kwa mungu, wimbo ule haujanibagua? Maombi yale hayajanibagua?
 
unaposema serikali ya Tanzania haina dini maana yake ni kwamba serikali ya tanzania ina ushetani maana kinyume cha dini ni ushetani au upagani
 
unaposema serikali ya Tanzania haina dini maana yake ni kwamba serikali ya tanzania ina ushetani maana kinyume cha dini ni ushetani au upagani
Mimi sina dini.

Siamini Mungu, siamini malaika, siamini popobawa, siamini uchawi, siamini jini, siamini shetani.

Vyote havipo. Ni hadithi tu.

Sasa utasemaje mtu asiye na dini lazima anaamini ushetani?

Ukiamini ushetani una dini. Dini ya ushetani.

Upagani si kinyume za dini. Upagani ni jina ambalo wazungu walizipa dini za watu wa sehemu tofauti za dunia ambao hawakuamini mungu kama wao kwa mfano wa kikristo.

Kwa hiyo mababu zetu walioamini mizimu na miti waliitwa wapagani. Walikuwa na dini zao. Dini hizi ziliitwa upagani.

Kwa hiyo si kweli kwamba kukosa dini ni upagani. Kwa sababu upagani ni dini.

Mimibsina dini. Lakini si mpagani. Kwa sababu upagani ni dini.
 
Mimi sina dini.

Siamini Mungu, siamini malaika, siamini popobawa, siamini uchawi, siamini jini, siamini shetani.

Vyote havipo. Ni hadithi tu.

Sasa utasemaje mtu asiye na dini lazima anaamini ushetani?

Ukiamini ushetani una dini. Dini ya ushetani.

Upagani si kinyume za dini. Upagani ni jina ambalo wazungu walizipa dini za watu wa sehemu tofauti za dunia ambao hawakuamini mungu kama wao kwa mfano wa kikristo.

Kwa hiyo mababu zetu walioamini mizimu na miti waliitwa wapagani. Walikuwa na dini zao. Dini hizi ziliitwa upagani.

Kwa hiyo si kweli kwamba kukosa dini ni upagani. Kwa sababu upagani ni dini.

Mimibsina dini. Lakini si mpagani. Kwa sababu upagani ni dini.
You were once a devoted Christian, kitu gani kilikufanya uiasi imani yako?
 
You were once a devoted Christian, kitu gani kilikufanya uiasi imani yako?
Nilipokua nilisoma falsafa na kuona kwamba Mungu huyo ana an inherent and irreconcilable contradiction.

On the one hand he is omnipotent, omniscient and omni benevolent.

On the other, he created a universe in which evil is possible when he had all the power, knowledge and love to do the contrary.

How does one reconcile this contradiction?

This is like saying there is a triangle which is also a circle at the same time in Euclidean Geometry.

A contradiction that points to a falsehood.

This reasoning is not limited to Christianity. It includes the Muslims god Allah as well. There is no fundamental difference between the Christian God and Allah at the philosophical level analysed above.
 
Nilipokua nilisoma falsafa na kuona kwamba Mungu huyo ana an inherent and irreconcilable contradiction.

On the one hand he is omnipotent, omniscient and omni benevolent.

On the other, he created a universe in which evil is possible when he had all the power, knowledge and love to do the contrary.

How does one reconcile this contradiction?

This is like saying there is a triangle which is also a circle at the same time in Euclidean Geometry.

A contradiction that points to a falsehood.

This reasoning is not limited to Christianity. It includes the Muslims god Allah as well. There is no fundamental difference between the Christian God and Allah at the philosophical level analysed above.

Imani huyashinda yote hayo bosi wangu. Si kwa akili bali ni kwa roho.
 
Ktk awamu ya nne kulikua na teuzi nyingi sana za kuridhishana kidini badala ya kuzingatia utendaji kuna watu hata wa dini yangu waliteuliwa kwaajili tu ya kuturidhisha dini yetu huo ni udhaifu mkubwa sana ambao rais ameuzika kwa kuteua watu bila kuuliza kwanza dini zao.
 
cc: the big show, faizafox, ritz, gamba la nyoka
 
Ktk awamu ya nne kulikua na teuzi nyingi sana za kuridhishana kidini badala ya kuzingatia utendaji kuna watu hata wa dini yangu waliteuliwa kwaajili tu ya kuturidhisha dini yetu huo ni udhaifu mkubwa sana ambao rais ameuzika kwa kuteua watu bila kuuliza kwanza dini zao.
Haya umekata kiu yako, kalale si umemaliza ulichotumwa
 
Teuzi zake zote zimejaa udini na ukanda mkuu acha uongo.Sema taasisi na viongozi wa Kiislamu wamelala hawana makelele kama maaskofu na mapadri.Wengi walioteliwa wana asili ya
1.Kanda ya ziwa -wasukuma wahaya na jamii zake
2.Wakristo-hasa wakatoliki
 
Haya umekata kiu yako, kalale si umemaliza ulichotumwa
Kwakweli, aibu imewashika na udini wao, wana roho mbaya za ajabu sana, walitegemea waislamu na wao waanzs kupiga kelele lakini wameona kimya nafsi zinawasuta,
 
Kwakweli, aibu imewashika na udini wao, wana roho mbaya za ajabu sana, walitegemea waislamu na wao waanzs kupiga kelele lakini wameona kimya nafsi zinawasuta,
Sijakuelewa unalenga nini? Wakristo wamependelewa na waislamu wamekaa kimya au?
 
Kwa hiyo haina dini halafu wakuu wa mikoa wanakuwa waislamu sita na wakristo zaidi ya ishirini. Sasa hao wakristo wamepataje uteuzi kama serikali haina dini na nafasi hazikutangazwa popote!!!

Huu udini wa Magufuli utaligawa taifa na kuvuruga umoja wa kitaifa. Toka ameanza kufanya teuzi jicho lake limeona asilimia 85 wakristo na asilimia 15 waislam. Sasa hawa wakristo wakianza kutumia vibaya madaraka na kuweka wakristo wenzao kama ilivyo Tanesco tutafika? Mimi ni mkristo ila sipendi hiyo hali
Hivi dini ndo inayofanya kazi au utendaji wa mtu. Hoja ya udini sijui nini haina mashiko kabisa
Wakati dini haitakiwi kuwa kigezo katika teuzi, ukweli utabaki kuwa Tanzania ina historia mbaya ya kushughulikia malalamiko ya waislamu.
Ushahidi wa kutosha upo na ushuhuda kutolewa na waandishi wakristo kwamba Nyerere alilibeba kanisa lake.
Pale Tanzania ilipoongozwa na Rais ambaye alikuwa ni muislamu,members wa jf wa dini ile walikuwa wanalalamikia kila teuzi ambayo mteuliwa ni mwisilamu. Kama dini si kigezo kwa teuzi ni kwa nini hili lilifanyika?

Ni wazi jamii ya Tanzania ina wananchi wengi ambao ni waumini wa dini ya ukristo na waumini wa dini ya uislamu.
Nchi nyingi zimeingia kwenye migogoro, mauaji ya kutisha na hata vita baina ya waumini wa dini hizi.
Wakati dini si kigezo cha teuzi, jambo la uwiano wa kijamii haliwezi kudharauliwa na Rais anapofanya teuzi zake. Katika dini zote hizo wapo wananchi wanaokidhi vigezo vya uteuzi kama dini si kimoja wapo.

Kukinga ni bora kuliko kuja kutibu majeraha au maradhi.

Wanaomshauri Rais wamkumbushe kwamba jamii inapitia majina ya wateule wake na yapo malalamiko kwamba teuzi zake zinaegemea zaidi kwa watu wake.

Kwa wale watakaobeza tahadhari hizi zinazotolewa na kuelekezwa kwa Mkulu , angalieni orodha ya teuzi zake na ni kwa nini wanakosekana "Kiranga/viranga" wengi katika orodha hiyo?

Kujigeuza au kujifanya mbuni si suluhisho la malalamiko yanayotolewa na kujifanya hatujali malalamiko hayo ni kutengeneza mgogoro wa kijamii kwa makusudi huku tukijua madhara yatakayotokana na mgogoro huo yatakuwa na athari mbaya na kubwa kwa jamii yetu.

Aliye na macho haambiwi tazama!

Kwakweli, aibu imewashika na udini wao, wana roho mbaya za ajabu sana, walitegemea waislamu na wao waanze kupiga kelele lakini wameona kimya nafsi zinawasuta,
 
Back
Top Bottom