Kama Serikali ya Tanzania haina dini, Mungu anayetajwa katika wimbo wa taifa ni yupi?

Kama Serikali ya Tanzania haina dini, Mungu anayetajwa katika wimbo wa taifa ni yupi?

Wakati dini haitakiwi kuwa kigezo katika teuzi, ukweli utabaki kuwa Tanzania ina historia mbaya ya kushughulikia malalamiko ya waislamu.
Ushahidi wa kutosha upo na ushuhuda kutolewa na waandishi wakristo kwamba Nyerere alilibeba kanisa lake.
Pale Tanzania ilipoongozwa na Rais ambaye alikuwa ni muislamu,members wa jf wa dini ile walikuwa wanalalamikia kila teuzi ambayo mteuliwa ni mwisilamu. Kama dini si kigezo kwa teuzi ni kwa nini hili lilifanyika?

Ni wazi jamii ya Tanzania ina wananchi wengi ambao ni waumini wa dini ya ukristo na waumini wa dini ya uislamu.
Nchi nyingi zimeingia kwenye migogoro, mauaji ya kutisha na hata vita baina ya waumini wa dini hizi.
Wakati dini si kigezo cha teuzi, jambo la uwiano wa kijamii haliwezi kudharauliwa na Rais anapofanya teuzi zake. Katika dini zote hizo wapo wananchi wanaokidhi vigezo vya uteuzi kama dini si kimoja wapo.

Kukinga ni bora kuliko kuja kutibu majeraha au maradhi.

Wanaomshauri Rais wamkumbushe kwamba jamii inapitia majina ya wateule wake na yapo malalamiko kwamba teule zake zinaegemea zaidi kwa watu wake.

Kwa wale watakaobeza tahadhari hizi zinazotolewa na kuelekezwa kwa Mkulu , angalieni orodha ya teuzi zake na ni kwa nini wanakosekana "Kiranga/viranga" wengi katika orodha hiyo?

Kujigeuza au kujifanya mbuni ni suluhisho la malalamiko yanayotolewa na kujifanya hatujali malalamiko hayo ni kutengeneza mgogoro wa kijamii kwa makusudi huku tukijua madhara yatakayotokana na mgogoro huo yatakuwa na athari kubwa.

Aliye na macho haambiwi tazama!
Nifafanulie hapo penye red. Watu wake ni wapi? Viranga ni nini?
 
Basi sijaelewa! Usiogope, sema watu wake ni wapi. Kukosoa siyo uchochezi!
Unajua,unafahamu motto ya JF?
Wewe huna watu wako? Kama unao watu wako ni wepi?
Nimekusaidia.

Wacha nikusaidie zaidi, siamini kama una kichwa ya kondoo.
Kama unashindwa kufahamu, watu wake ni hao wateule wake. Je unawajua wateule wake?
Msigwa huwa anatoa taarifa kwa umma, zipitie.
 
Unajuu motto ya JF?
Wewe huna watu wako? Kama unao watu wako ni wepi?
Nimekusaidia.

Wacha nikusaidie zaidi, siamini kama una kichwa ya kondoo.
Kama unashindwa kufahamu, watu wake ni hao wateule wake. Je unawajua wateule wake?
Msigwa huwa anatoa taarifa kwa umma, zipitie.
Sasa wewe unaanza matusi. Kichwa ya kondoo ni matusi. You must be stupid! Hopeless, nincompoop!
 
Sasa wewe unaanza matusi. Kichwa ya kondoo ni matusi. You must be stupid! Hopeless, nincompoop!
Umenifurahisha, umenifanya nicheke sana! khee kheeee, ha haaaa.

Umesoma vibaya ndugu. nimesema siamini kwamba una kichwa cha kondoo. (huna nia ya kunifanya niamini kuwa una kichwa cha kondoo) Una akili itumie kufikirii.
Tatizo lako unapindua maana ya unayoyasoma.
Sasa umejiingiza kwenye kauli za kiburi.

Kwa hiyo na wewe umanza matusi?
Kamusi ya Nonda haina msamiati wa matusi.
 
Umenifurahisha, umenifanya nicheke sana! khee kheeee, ha haaaa.

Umesoma vibaya ndugu. nimesema siamini kwamba una kichwa cha kondoo. (huna nia ya kunifanya niamini kuwa una kichwa cha kondoo) Una akili itumie kufikirii.
Tatizo lako unapindua maana ya unayoyasoma.
Sasa umejiingiza kwenye kauli za kiburi.
Baba yako unaweza kumwambia "kama huna kichwa cha kondoo" then.......ukijibu hilo, nitakuomba samahani!
 
NICOMPOOP _Ili neon nimecheka kweli,limenikumbusha wasanii wa bongo movies wanavyotukanana kwa kizungu kwenye movies zao
 
Baba yako unaweza kumwambia "kama huna kichwa cha kondoo" then.......ukijibu hilo, nitakuomba samahani!
Naweza kumwambia yeyote. Hilo si tusi lakini ni kumpa mtu changamoto ya kutumia akili, kufikiri.

Kwa hiyo ningemwambia," Baba siamini kama una kichwa cha kondoo."

Hakuna haja ya kuomba samahani. Umejifunza kitu.
 
Naweza kumwambia yeyote. Hilo si tusi lakini ni kumpa mtu changamoto ya kutumia akili, kufikiri.

Kwa hiyo ningemwambia," Baba siamini kama una kichwa cha kondoo."

Hakuna haja ya kuomba samahani. Umejifunza kitu.
Umemwambia baba yako hivyo?
 
Maana Hasa ya Serikali Kutokuwa na Dini, Ni erikali Kutotumia Raslimali za Taifa kwa maana ya Kodi za Wananchi Wote Kuendeleza Dini Fulani, au Kiongozi Kutumika na Serikali Kuendeleza au Kuhubiri Dini Fulani. Kadhalika Kinyume chake, serikali Kutumia raslimali au Viongozi Kupiga Vita Dini Fulani. Na Haikuwa na Maana Hata Kidogo Kuwa Viongozi wa Dini hawawezi Kukemea Maovu au hata Kukemea Waovu Katika nchi na serikali.

Tanzania Wanang'ang'ania sana Kuwa Serikali Kutokuwa na Dini maana yake Viongozi wa Dini Wasiseme Kitu kuhusu Serikali. Ukweli Ni Kuwa Ubaya Upo kwa Niliyoyasema, Lakini CCM hawajali kwa Mkuu wa Mkoa Kama Makonda Kusema atajengea Bakwata Ghorofa. Ni sawa Kama Pesa Hizo Ni zake, na Mama yake, Lakini Kama ni za Kodi! Hilo hata Bakwata wanatakiwa Kulikataa, maana ni kuchukua hela za walipakodi Kuzitumia Kuvunja Katiba! Na Pia Kujaribu Kutoa Rushwa Kwa Taasisi ya Dini kwa Kutumia Fedha za serikali.
 
Kuna Mungu wengi
Kama ni wengi ni Miungu, si Mungu.

Jifunze Kiswahili kabla ya kurukia habari za Mungu.

Hujathibitisha kwamba Mungu yeyote yupo.

Kama kuna Miungu wengi, anayetajwa na serikali ni yupi?

Allah au Yahweh?

Na serikali isiyo na dini ikimtaja Mungu katika kazi zake wakati kuna raia hawaamini uwepo wa Mungu haijawatenga hao raia kidini?

Ikiwatenga hao raia kidini bado haina dini?
 
tatizo waislamu weng zamani hatukusoma tulikariri elimu ya dini wakati wenzetu wakristo wanasoma na kujenga mashule yao,hata sasa hivi waislamu wengi uwa wanafeli sana kwa sababu wanasoma sana elimu ya dini kuliko.mfno ukiangalia mikoa yenye idadi kubwa ya waislamu muamko wa elimu hakuna mfn Lindi,mtwara,tabora,singida,kigoma,
 
Back
Top Bottom