Kama Shivji/Mwakyembe waliandika vitabu na thesis kama Riwaya..leo wanazipinga si warudishe PHD?

Kama Shivji/Mwakyembe waliandika vitabu na thesis kama Riwaya..leo wanazipinga si warudishe PHD?

Nicholas

JF-Expert Member
Joined
Mar 7, 2006
Posts
25,260
Reaction score
7,204
Hivi km hawa jamaa wanaandika intellectual paper and books,wakiwa na fikra za riwaya..yaani wanaaandika km wanaandika riwaya tuu.Hembu fikiria km Mwakyembe.Halafu wakati umepita anakuja amua sema kuwa ilikuwa nikuchukulia cheti tuu...cha kujiuliza ni kwamba: Km aliamini kuwa serikali 3 ndio kitu kingempa PHD na alicho claim chini kuwa alichoandika ni kazi ya akili,juhudi, utafiri wake na maarifa yake na kweli tuu,inakuweje leo anasema kuwa serikali 2 ndio nzuri bila fanya tafiri nyingine wala kukana ile ya mwanzo ?Km alidanganya kwa makusudi then anatuweka mahali pa kumtaka arudishe PHD kwa vile alidanganya.Pia km alidanganya tutaamini vipi kuwa pia mengine katudanganya na tutaamini vipi kwamba bado hajaacha uongo wake?Km alikuwa anaandika riwaya na hadith km za shigongo ktk mambo ya kisomi ni hatari sana, na kutulazimisha tuandike ktiba km riwaya ni dhambi nyingine..na hili namwambia hata ....sasa tunafahamu kwanini UDSM ni chuo cha mwisho.
 
Wakati wakiandika hizo thesis walikuwa watu huru. Sasa ni kuufyaata kwa chama unapenda hupendi. Usishangae siku wakiwa huru tena kwa sababu zozote zile watanyumbulika tena kama kawa.
 
Wakati wakiandika hizo thesis walikuwa watu huru. Sasa ni kuufyaata kwa chama unapenda hupendi. Usishangae siku wakiwa huru tena kwa sababu zozote zile watanyumbulika tena kama kawa.
haha..sasa si ktk huo utumwa waseme tuu hawawezi tena rudi ktk Taaluma ya kweli....mbona Dr.Slaa alifuata kanuni kuacha upadre?Sasa wataendelea ziba uongo kwa uongo hadi lini?Hawa waongo,wezi na wengine huendelea fanya huo uovu ili kulinda uovu wa kwanza..kwa hiyo kukosa uhuru ni ishara kuwa sasa wameachagua uongo na huko ndipo kutakuwa maisah yao,kesho wakipata uhuru watarudi tena sababu kuwa wapo huru, halafu tena warudi ktk uongo mwingine kwanini tena wamerudia uongo..dunia haitokwenda....
 
Haha.....km hayo ndio jamii nzima imefundishwa fanya itakuweje kwa usiatwi wa nchi?
 
haha..sasa si ktk huo utumwa waseme tuu hawawezi tena rudi ktk Taaluma ya kweli....mbona Dr.Slaa alifuata kanuni kuacha upadre?Sasa wataendelea ziba uongo kwa uongo hadi lini?Hawa waongo,wezi na wengine huendelea fanya huo uovu ili kulinda uovu wa kwanza..kwa hiyo kukosa uhuru ni ishara kuwa sasa wameachagua uongo na huko ndipo kutakuwa maisah yao,kesho wakipata uhuru watarudi tena sababu kuwa wapo huru, halafu tena warudi ktk uongo mwingine kwanini tena wamerudia uongo..dunia haitokwenda....
LISSU kasema,waliozoea kuishi kwa uongo hawawezi kubadilika,mwakyembe na shivji wanahitimisha maisha ya kitaaluma kwa jamii kutambua rasmi kwamba watoto wao walikuwa katika mikono ya wahadhiri hatari ambao sasa wanajuta kukabidhi watoto wao,HEBU FIKIRIA MTOTO ANAJARIBU KUMUELEWESHA MZAZI WAKE KUHUSU KATIBA MPYA NA SERIKALI YA TANGANYIKA NA MUUNGANO,ANAMNUKUU MWALIMU WAKE SHIVJI AU MWAKYEMBE,BAADAE MZAZI ANASIKIA KAULI KUTOKA KWA MWALIMU SHIVJI AU MWAKYEMBE TENA LIVE KWA TV AKIKANA MAANDIKO YA KITABU AMBAYO MZAZI KALIPA MAMILIONI ILI SHIVJI NA MWAKYEMBE WAFUNDISHE
 
LISSU kasema,waliozoea kuishi kwa uongo hawawezi kubadilika,mwakyembe na shivji wanahitimisha maisha ya kitaaluma kwa jamii kutambua rasmi kwamba watoto wao walikuwa katika mikono ya wahadhiri hatari ambao sasa wanajuta kukabidhi watoto wao,HEBU FIKIRIA MTOTO ANAJARIBU KUMUELEWESHA MZAZI WAKE KUHUSU KATIBA MPYA NA SERIKALI YA TANGANYIKA NA MUUNGANO,ANAMNUKUU MWALIMU WAKE SHIVJI AU MWAKYEMBE,BAADAE MZAZI ANASIKIA KAULI KUTOKA KWA MWALIMU SHIVJI AU MWAKYEMBE TENA LIVE KWA TV AKIKANA MAANDIKO YA KITABU AMBAYO MZAZI KALIPA MAMILIONI ILI SHIVJI NA MWAKYEMBE WAFUNDISHE

duh mkuu kwa logic hii unanifanya nianze kumuona mwakyembe na wasomi wengine kama vigeugeu, mkuu maelezo yako yanaonesha kuwa basi jamii nzima ni ya kisanii, kweli hata mzazi anaweza kushangaa ni vipi mwl wa mwanangu anasema ivi wakati toto liliniambia mambo yako ivi daima, mkuu maneno yako ni mafupi ila yamebeba dhana nzito mnoo!
 
LISSU kasema,waliozoea kuishi kwa uongo hawawezi kubadilika,mwakyembe na shivji wanahitimisha maisha ya kitaaluma kwa jamii kutambua rasmi kwamba watoto wao walikuwa katika mikono ya wahadhiri hatari ambao sasa wanajuta kukabidhi watoto wao,HEBU FIKIRIA MTOTO ANAJARIBU KUMUELEWESHA MZAZI WAKE KUHUSU KATIBA MPYA NA SERIKALI YA TANGANYIKA NA MUUNGANO,ANAMNUKUU MWALIMU WAKE SHIVJI AU MWAKYEMBE,BAADAE MZAZI ANASIKIA KAULI KUTOKA KWA MWALIMU SHIVJI AU MWAKYEMBE TENA LIVE KWA TV AKIKANA MAANDIKO YA KITABU AMBAYO MZAZI KALIPA MAMILIONI ILI SHIVJI NA MWAKYEMBE WAFUNDISHE
MKuu umeleta kitu nzito.... umeonyesha damage kubwa sana ya huu uozo wa UDSM...kwanza wanaleta conflicts kwa wanafunzi na wafuasi wao, pili ktk sehemu ya darasa lao kuna ujanja ujanja mwingine mbaya unaosambazwa nchi kia mwaka kwa kasi ya ajabu. Imagine hawa jamaa wanaweza ng`aa muda fulani kumbe kuna issue fulani..halafu wanakuja anguka vibaya hivi.....ndio napata picture kwanini baadhi ya jamii hazifanikiwi..kwani waliosoma ktk jamii zao wanawea kuwa wengi ila wana ushawishi na riwaya km za shivji na Mwakyembe......na hivyo kuharibu kabisa jamii husika..
 
Hivi km hawa jamaa wanaandika intellectual paper and books,wakiwa na fikra za riwaya..yaani wanaaandika km wanaandika riwaya tuu.Hembu fikiria km Mwakyembe.Halafu wakati umepita anakuja amua sema kuwa ilikuwa nikuchukulia cheti tuu...cha kujiuliza ni kwamba: Km aliamini kuwa serikali 3 ndio kitu kingempa PHD na alicho claim chini kuwa alichoandika ni kazi ya akili,juhudi, utafiri wake na maarifa yake na kweli tuu,inakuweje leo anasema kuwa serikali 2 ndio nzuri bila fanya tafiri nyingine wala kukana ile ya mwanzo ?Km alidanganya kwa makusudi then anatuweka mahali pa kumtaka arudishe PHP kwa vile alidanganya.Pia km alidanganya tutaamini vipi kuwa pia mengine katudanganya na tutaamini vipi kwamba bado hajaacha uongo wake?Km alikuwa anaandika riwaya na hadith km za shigongo ktk mambo ya kisomi ni hatari sana, na kutulazimisha tuandike ktiba km riwaya ni dhambi nyingine..na hili namwambia hata ....sasa tunafahamu kwanini UDSM ni chuo cha mwisho.

Kuna usemi unasema "there are many ways of killing a cat". Sio lazima mtu ukiamini kitu unachokiandika. Unaweza andika kitu kitumike na watu wanaoaminiana na ulichokiandika na sio lazima uliekiandika ukiamini.

kwa vile TL ni msomi na yuko sided na mfumo wa serikali tatu alitakiwa ku make use zile logical arguments zilizomo kwenye maandiko ya Mwakiembe. Huo ndo usomi. Nae Mwakiembe kwa kuamini mfumo wa serikali 2 henda ana make use ya logical arguments za maandiko yanayo side na mfumo wa serikali 2.

Au sivyo unakuwa lumpen!!!.
 
Yuda alimkana Masiya, sasa hawa watu ni hatari sana kwa mustakabali wa nchi yetu wasiaminiwe kabisa, na vizazi vyote vya Tanganyika na Zanzibar, kwani maandiko yao yanasema serikali tatu huku MANENO YAO SERIKALI MBILI?
 
Jamani kumbukeni hotuba ya lowasa siku anatangaza kujiuzuru kipindi anaeleza udhaifu wa tume ya mwakyembe ndipo mtapata taswira kwamba huyu ni mtu wa namna gani.
 
Hivi km hawa jamaa wanaandika intellectual paper and books,wakiwa na fikra za riwaya..yaani wanaaandika km wanaandika riwaya tuu.Hembu fikiria km Mwakyembe.Halafu wakati umepita anakuja amua sema kuwa ilikuwa nikuchukulia cheti tuu...cha kujiuliza ni kwamba: Km aliamini kuwa serikali 3 ndio kitu kingempa PHD na alicho claim chini kuwa alichoandika ni kazi ya akili,juhudi, utafiri wake na maarifa yake na kweli tuu,inakuweje leo anasema kuwa serikali 2 ndio nzuri bila fanya tafiri nyingine wala kukana ile ya mwanzo ?Km alidanganya kwa makusudi then anatuweka mahali pa kumtaka arudishe PHP kwa vile alidanganya.Pia km alidanganya tutaamini vipi kuwa pia mengine katudanganya na tutaamini vipi kwamba bado hajaacha uongo wake?Km alikuwa anaandika riwaya na hadith km za shigongo ktk mambo ya kisomi ni hatari sana, na kutulazimisha tuandike ktiba km riwaya ni dhambi nyingine..na hili namwambia hata ....sasa tunafahamu kwanini UDSM ni chuo cha mwisho.

Mwenyekiti wa kamati ya EPA, hakusema yote......!
 
Kuna usemi unasema "there are many ways of killing a cat". Sio lazima mtu ukiamini kitu unachokiandika. Unaweza andika kitu kitumike na watu wanaoaminiana na ulichokiandika na sio lazima uliekiandika ukiamini. kwa vile TL ni msomi na yuko sided na mfumo wa serikali tatu alitakiwa ku make use zile logical arguments zilizomo kwenye maandiko ya Mwakiembe. Huo ndo usomi. Nae Mwakiembe kwa kuamini mfumo wa serikali 2 henda ana make use ya logical arguments za maandiko yanayo side na mfumo wa serikali 2. Au sivyo unakuwa lumpen!!!.
Haiwezekani usiamini hiyo way halafu ukatumia..tatizo la watanzania ni kujibia watu maswali vichwani mwao na kuweka huruma au kuumia ilimjibia mtu ambaye hata yeye mwenyewe akiulizwa anaweza kiri kuwa ni makosa sana....sasa km ni makosa basi atalazimika kurudisha PHD ya watu kwa vile haikustahili pewa kwa alichokifanya....km alisaini pale chini na kusema kuwa alichoandika ni kazi ya akili,fikra,tafiti na yake na inawakilisha the best of his knowledge....na kilipowakilishwa akapewa PHD..then jamaa nimwizi.Anahitaji tuambia km anataka na hii katiba mpya iwe km vitabu na thesis zake.NI hatari sana.
 
Jamani kumbukeni hotuba ya lowasa siku anatangaza kujiuzuru kipindi anaeleza udhaifu wa tume ya mwakyembe ndipo mtapata taswira kwamba huyu ni mtu wa namna gani.
Sasaa Lowasa ana case against Mwakyembe na CCM wanaomlipua..hehe anything goes around comes aroud aisee....then CCM wana hali ngumu kwani ktk CCM sasa Lowasa hatakamatika tena...na wengi wataaumbuka.
 
wanaoomba shivji aje Bungeni wanataka msaidia nini?mwokoa?
 
Haiwezekani usiamini hiyo way halafu ukatumia..tatizo la watanzania ni kujibia watu maswali vichwani mwao na kuweka huruma au kuumia ilimjibia mtu ambaye hata yeye mwenyewe akiulizwa anaweza kiri kuwa ni makosa sana....sasa km ni makosa basi atalazimika kurudisha PHD ya watu kwa vile haikustahili pewa kwa alichokifanya....km alisaini pale chini na kusema kuwa alichoandika ni kazi ya akili,fikra,tafiti na yake na inawakilisha the best of his knowledge....na kilipowakilishwa akapewa PHD..then jamaa nimwizi.Anahitaji tuambia km anataka na hii katiba mpya iwe km vitabu na thesis zake.NI hatari sana.

nasikitika hujanielewa. lakini Tundu Lisu kama alisoma maoni yanngu haya nafikiri alinielewa na leo akichangia amem paraphrase Mwakyembe akijenga hoja yake na ku qualify hoja yake akitumia yaliyomo kwenye katiba za Mungano na ile ya Zanzibar. Leo nimemsikiliza Tundu Lisu na kumsifu katika hoja yake na huo ndo USOMI - sio ule mchango aliouwasilisha wa kundi la watu wachache. Amechangia kama msomi leo.

tafadhali soma vizuri - usisome kwa jazba.
 
nasikitika hujanielewa. lakini Tundu Lisu kama alisoma maoni yanngu haya nafikiri alinielewa na leo akichangia amem paraphrase Mwakyembe akijenga hoja yake na ku qualify hoja yake akitumia yaliyomo kwenye katiba za Mungano na ile ya Zanzibar. Leo nimemsikiliza Tundu Lisu na kumsifu katika hoja yake na huo ndo USOMI - sio ule mchango aliouwasilisha wa kundi la watu wachache. Amechangia kama msomi leo.

tafadhali soma vizuri - usisome kwa jazba.
Na hiyo ndio maana ya kuwa msomi, na hakuna mahali popote unapoweza kumnyooshea kidole, yeye anatoa msimamo wake kutokana na mchango wa watu wengine, usipotaka anaku-refer mahali aliposoma, hutaki unaacha, ukweli unabakia kama ulivyo.
 
Kuna usemi unasema "there are many ways of killing a cat". Sio lazima mtu ukiamini kitu unachokiandika. Unaweza andika kitu kitumike na watu wanaoaminiana na ulichokiandika na sio lazima uliekiandika ukiamini.

kwa vile TL ni msomi na yuko sided na mfumo wa serikali tatu alitakiwa ku make use zile logical arguments zilizomo kwenye maandiko ya Mwakiembe. Huo ndo usomi. Nae Mwakiembe kwa kuamini mfumo wa serikali 2 henda ana make use ya logical arguments za maandiko yanayo side na mfumo wa serikali 2.

Au sivyo unakuwa lumpen!!!.
Mi sikubaliani na wewe huwezi, yaani unaandika kama mlevi? hujui uliandika nini eti kwa kuwa ulikuwa umekunywa? ndio maana yake. Labda uombwe kuwa recorder, lakini kama unachoandika kinatoka katika mawazo yako maana yake hicho ndio unachokiamini, vinginevyo huwezi kukiwaza tofauti!!! Sidhani kama unaweza sema tofauti na unavyofikiri.
Ukiniambia kuwa wakati unaandika hicho ndio ulichokuwa unakiamini, lakini msimamo wako ulibadilika baada ya muda hiyo sawa inakubalika, lakini kama msomi lazima utuandikie tena mahali tusome na kuona sababu zilikufanya ubadili msimamo wako ili na sisi tupime na kuona kama zitatusaidie , mimi nafikiri kuwa msomi unaandika kwa ajili ya msaada kwa wengine.
 
Tatizo nilionalo kwa wasomi wengi ni uhuru katika ngazi zote kuanzia halmashauri, vyuoni mpaka wizarani.....na yote hiyo ni kutokana na aidha kushikwa mkono,kubebwa,kusaidiwa,au kuchomekwa katika pahala fulani penye maslahi kwa niaba yako na yao pia,hivyo basi utendaji wako lazima uwe chini ya maslahi yao no matter itagharibu vipi sababu hata ukiharibu wao ndio watetezi wako...
 
Mi sikubaliani na wewe huwezi, yaani unaandika kama mlevi? hujui uliandika nini eti kwa kuwa ulikuwa umekunywa? ndio maana yake. Labda uombwe kuwa recorder, lakini kama unachoandika kinatoka katika mawazo yako maana yake hicho ndio unachokiamini, vinginevyo huwezi kukiwaza tofauti!!! Sidhani kama unaweza sema tofauti na unavyofikiri.
Ukiniambia kuwa wakati unaandika hicho ndio ulichokuwa unakiamini, lakini msimamo wako ulibadilika baada ya muda hiyo sawa inakubalika, lakini kama msomi lazima utuandikie tena mahali tusome na kuona sababu zilikufanya ubadili msimamo wako ili na sisi tupime na kuona kama zitatusaidie , mimi nafikiri kuwa msomi unaandika kwa ajili ya msaada kwa wengine.

RED= Bila shaka umemsikiliza Tundu Lisu leo akichangia. Huo ndo usomi - ametumia maandiko ya Mwakyembe kujenga hoja yake.
 
nasikitika hujanielewa. lakini Tundu Lisu kama alisoma maoni yanngu haya nafikiri alinielewa na leo akichangia amem paraphrase Mwakyembe akijenga hoja yake na ku qualify hoja yake akitumia yaliyomo kwenye katiba za Mungano na ile ya Zanzibar. Leo nimemsikiliza Tundu Lisu na kumsifu katika hoja yake na huo ndo USOMI - sio ule mchango aliouwasilisha wa kundi la watu wachache. Amechangia kama msomi leo. tafadhali soma vizuri - usisome kwa jazba.
Yaani Tundu Lissu akusikie wewe usiyejitambua...?Nikuelewe nini tena zaidi....wewe jibaraguze tuu....wewe msifu Tundu kwa vile ndio unaanza jielewa na si yeye kabadilika chochote.UDSM bhana...unadhani wewe ndio wa kwanza kuingia ktk midahalo na mawazo ya kijinga ..halafu ktk mdahalo taratimu mnaanza jisogeza kwa wengi na kuanza kuwa too general....mimi huwa naweza wazi vitu mezani halafu ndipo tunaongea...sina hajaya kuchange....kupiga soga na huku mkiwa too general ndio akili yenu..sasa unajidanganya Tundu lissu ndio kakuelewa na kukufuata.....
 
Back
Top Bottom