Kama Shivji/Mwakyembe waliandika vitabu na thesis kama Riwaya..leo wanazipinga si warudishe PHD?

Kama Shivji/Mwakyembe waliandika vitabu na thesis kama Riwaya..leo wanazipinga si warudishe PHD?

RED= Bila shaka umemsikiliza Tundu Lisu leo akichangia. Huo ndo usomi - ametumia maandiko ya Mwakyembe kujenga hoja yake.
Acha kujiyeyusha km hujui vitu......Tundu Lissue alikuwa anapiga mora than 1 bird using a single stone..Alikuwa anatoa evidence ya kumweka mwakyembe ktk hali ngumu, pamoja na liCCM lolote litakaloanza jenga hoja sijui matusi, sijui thibitisha,sijui nini na nini...ma CCM yangetaka bisha basi wangemsimamisha mwakyembe asema km haikuwa na maana hiyo, pia kuwaambia watanzania jinsi gani CCM ni watapeli,wasio na misimamo ,wanaopigania kitu leo kesho wanakipinga, hiyo si sahihi kwa Taifa.....sasa blah blaha nyingi hata hujui unachosimamia wala kua achieve..kuwa mkweli tuu..ili usilete mambo general hapa ili upate escape duu...karibu utaanza sema tudumishe udugu,wetu...sijui wengine hawataki muungano,sijui muungano wetu ni mfano...hata umalaya unaweza kuwa na sifa ndani na nje ya nchi..
 
NIgependa vyuo vi recall hizo PHD za hao jamaa
 
Acha kujiyeyusha km hujui vitu......Tundu Lissue alikuwa anapiga mora than 1 bird using a single stone..Alikuwa anatoa evidence ya kumweka mwakyembe ktk hali ngumu, pamoja na liCCM lolote litakaloanza jenga hoja sijui matusi, sijui thibitisha,sijui nini na nini...ma CCM yangetaka bisha basi wangemsimamisha mwakyembe asema km haikuwa na maana hiyo, pia kuwaambia watanzania jinsi gani CCM ni watapeli,wasio na misimamo ,wanaopigania kitu leo kesho wanakipinga, hiyo si sahihi kwa Taifa.....sasa blah blaha nyingi hata hujui unachosimamia wala kua achieve..kuwa mkweli tuu..ili usilete mambo general hapa ili upate escape duu...karibu utaanza sema tudumishe udugu,wetu...sijui wengine hawataki muungano,sijui muungano wetu ni mfano...hata umalaya unaweza kuwa na sifa ndani na nje ya nchi..

nafikiri shule imekupita mbali - Mwakyembe hakutumwa kuiandika ile PhD na Bunge la Katiba wala CCM.
 
Yaani Tundu Lissu akusikie wewe usiyejitambua...?Nikuelewe nini tena zaidi....wewe jibaraguze tuu....wewe msifu Tundu kwa vile ndio unaanza jielewa na si yeye kabadilika chochote.UDSM bhana...unadhani wewe ndio wa kwanza kuingia ktk midahalo na mawazo ya kijinga ..halafu ktk mdahalo taratimu mnaanza jisogeza kwa wengi na kuanza kuwa too general....mimi huwa naweza wazi vitu mezani halafu ndipo tunaongea...sina hajaya kuchange....kupiga soga na huku mkiwa too general ndio akili yenu..sasa unajidanganya Tundu lissu ndio kakuelewa na kukufuata.....

umeshinda msomi!!
 
nafikiri shule imekupita mbali - Mwakyembe hakutumwa kuiandika ile PhD na Bunge la Katiba wala CCM.
Ila amekwenda tumia PHD aliyoipata km msomi ili kutetea kwa nguvu zote kitu kinachopinga msingi wa kupata huo usomi...Huwezi kumlinda shetani kwa sifa ambazo ulizipata kwa Kuwa upande wa Mungu...Wewe ndio shule imekushinda.
 
NIMEJUWA SASA KWAMBA MWAKYEMBE ELIM YAKE INA MASHAKA KWANI KAPINGA KILE KILICHOTUMIKA KUMPATIA PhD NA JE YUKO TAYARI KWENDA MBELE YA WALE WALIOMTUNUKU PhD NA KUWAELEZA KUWA ALIWADANGANYA! KWA MWENDO HUU SINA IMAN TENA NA UTENDAJI KAZ WA MWAKIEMBE
 
Mwakyembe na samweli sitta ni wanafiki tangu kwenye swala la Richmond kama ingekua nyinyi niwakweli na mnamsimamo bas mwenge onyesha msimamo wenu mpaka mwisho lakini ukweli umezihiri sasa hatuta wamini tena kwenye hili la katiba kaburi lenu la kisiasa mmelichimba wenyewe subirini tuwafukie na tuwasahau
 
NIMEJUWA SASA KWAMBA MWAKYEMBE ELIM YAKE INA MASHAKA KWANI KAPINGA KILE KILICHOTUMIKA KUMPATIA PhD NA JE YUKO TAYARI KWENDA MBELE YA WALE WALIOMTUNUKU PhD NA KUWAELEZA KUWA ALIWADANGANYA! KWA MWENDO HUU SINA IMAN TENA NA UTENDAJI KAZ WA MWAKIEMBE
ndio tatizo la waaafrica na asian..hawana ujasiri wa kurudisha kisicho chao hata km wanajidai kumjua Mungu..Mrion Jones yule mdada mfukuza upepo alirudisha medali na akapigwa fine na kutumikia miezi kdhaa gerezani..kwa kutumia madawa na kuwashinda wengine km mzaha vile.Sasa hivi kamrudia Mungu...Mwakyembe ,na Shivji wameshasahau values walizoziamini ktk kujnge hoja na umaridadi na usahwishi hadi wakapata PHD zao..zaza km leo wanadhani walikosea basi na matunda ya amakosa PHD ni makosa pia.
 
mwakyembe kichaa kweli kweli..anatak Lissu anyang`anywe degree na chuo ambacho sasa hivi Lissu ndiye reference kw hicho chuo?Hajui kwanza yeye ndie alitakiwa kurudisha PHD yake kwanza.
 
Pole sana shivji ....wameahirisha novels zao?
 
Wakati wanaandika vitabu na thesis hizo walikuwa na akili timamu, kabla ya kukabidhi akili zao kwa Nape Nnauye
 
Wakati wanaandika vitabu na thesis hizo walikuwa na akili timamu, kabla ya kukabidhi akili zao kwa Nape Nnauye
Haha..sasa wamempatia Nape akachambie?
 
Back
Top Bottom