Acha kujiyeyusha km hujui vitu......Tundu Lissue alikuwa anapiga mora than 1 bird using a single stone..Alikuwa anatoa evidence ya kumweka mwakyembe ktk hali ngumu, pamoja na liCCM lolote litakaloanza jenga hoja sijui matusi, sijui thibitisha,sijui nini na nini...ma CCM yangetaka bisha basi wangemsimamisha mwakyembe asema km haikuwa na maana hiyo, pia kuwaambia watanzania jinsi gani CCM ni watapeli,wasio na misimamo ,wanaopigania kitu leo kesho wanakipinga, hiyo si sahihi kwa Taifa.....sasa blah blaha nyingi hata hujui unachosimamia wala kua achieve..kuwa mkweli tuu..ili usilete mambo general hapa ili upate escape duu...karibu utaanza sema tudumishe udugu,wetu...sijui wengine hawataki muungano,sijui muungano wetu ni mfano...hata umalaya unaweza kuwa na sifa ndani na nje ya nchi..