Kwa wanaume wote, uwe na mke au demu kama umuonyeshi kumpenda, kumjali, kumpa time yako, kumsifia na hata kuwapenda kuwaheshimu ndg zake hesabu maumivu.....lazima tu vidume watakuchapia.
Hawa wanawake aliyewaumba anajua nini aliweka kwenye akili zao
Hawa wanawake aliyewaumba anajua nini aliweka kwenye akili zao