Kama sijawahi kukuomba hela yako na wewe usiniombe utamu wangu 2025

Havina muongozo mkuu, kama wewe unatongozwa leo na kesho simu imepasuka kioo, gesi imeisha, mama anaumwa...na mimi naweza kukutongoza na kutaka kipapa right away.

Haya sasa umekutana na mwanamke hajawai kukuomba hata mia wewe kwanini unamuomba uchi wake tena penzi lina wiki huyo mwanamke atakufikiriaje… halafu unakuta hana hata mzuka wa kukulana unaanza kubembeleza nini unategemea kwake
 
 
Kwa hiyo wewe unabadilishana hela na utamu wako,sasa unatofauti gani na malaya.
 
Uhawara siyo ndoa.
 
Natakaa Leo km inawezekana mm mwenyee upwiruu nalipiaa huduma na ww cku utakuwa na upwiruu utanilipa mm pia nijee nikutoe upwiruu[emoji39][emoji39]

Yaani mpk kukupa unipangie kwani upwiru unatoka kwako au kwangu subiri mimi nipate wangu nitakununua
 

Uzuri mimi sipo kwenye hilo kundi kwanza siombagi hela
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…