Kama Simba SC wasiposajili viungo wa Kati namba 6 na 8 sioni Kama watafanya vizuri kimataifa na mechi za ndani ya ligi

Kama Simba SC wasiposajili viungo wa Kati namba 6 na 8 sioni Kama watafanya vizuri kimataifa na mechi za ndani ya ligi

NALIA NGWENA

JF-Expert Member
Joined
Oct 6, 2016
Posts
10,587
Reaction score
13,425
Mpaka Sasa naona ujio wa mawinga tu japo Kuna hadithi za Fabrice Ngoma.

Kwa Sasa namba sita na nane unachezwa na Sadio kanuti na Mzamiru Yasini, tukizungumza kimpira Sadio bado hajakidhi viwango vya kimataifa hivyo hivyo na Mzamiru Yasini.

Nadhani usajili wa viuongo wa Kati ili kuboresha kikosi na iwe msaada mkubwa katika kikosi Cha Simba sc, lakini Kama Simba wataendelea kusajili mawinga na kujipa moyo Kati kuwa wapo Bora Binafsi naona kabisa Simba haitafika kokote.

Uchezaji wa Sadio kimataifa bado kulingana na Rafu anazocheza anaweza kuigharimu Timu endapo atakua tegemezi kwa upande wa Mzamiru Yasini Sina Imani nae anapokutana na Timu yenye viungo ngangali Kama Azam huwa anapotea vibaya mno.

Kusajili viuongo wa kimataifa na wenye Experience hakika itakua ni nafuu ya Simba sc lakini tofauti na hivyo naiona Simba ikiangukia pua kimataifa na na ndani ya ligi.
 
Hata siku moja hakuna timu inayoweza kukamilika idara zote hivyo akikosekana huyo NI Sawa tu
Huu ndo ukweli. Hata Man city ni timu yenye beki ya kawaida Sawa na Chelsea tu lakini strength yao iko kwenye kiungo na forward. Barcelona ya kina Xavi na Iniesta mbele kukiwa na Messi ilikuwa na kipa wa kawaida Sana Valdes na bado ilikuwa tishio.
 
Mpaka Sasa naona ujio wa mawinga tu japo Kuna hadithi za Fabrice Ngoma.

Kwa Sasa namba sita na nane unachezwa na Sadio kanuti na Mzamiru Yasini, tukizungumza kimpira Sadio bado hajakidhi viwango vya kimataifa hivyo hivyo na Mzamiru Yasini.

Nadhani usajili wa viuongo wa Kati ili kuboresha kikosi na iwe msaada mkubwa katika kikosi Cha Simba sc, lakini Kama Simba wataendelea kusajili mawinga na kujipa moyo Kati kuwa wapo Bora Binafsi naona kabisa Simba haitafika kokote.

Uchezaji wa Sadio kimataifa bado kulingana na Rafu anazocheza anaweza kuigharimu Timu endapo atakua tegemezi kwa upande wa Mzamiru Yasini Sina Imani nae anapokutana na Timu yenye viungo ngangali Kama Azam huwa anapotea vibaya mno.

Kusajili viuongo wa kimataifa na wenye Experience hakika itakua ni nafuu ya Simba sc lakini tofauti na hivyo naiona Simba ikiangukia pua kimataifa na na ndani ya ligi.

Usitupangie wewe mwana utopolo. Achana na Simba yetu usubirie maumivu ya kukandwa.
 
358132229_18226265845226150_1278681305450744382_n.jpg
 
Viungo wote wa utopolo united hawajawahi kufua dafu mbele ya viungo wa SSC.

Mzamiru ni mashine bora sana akicheza kama namba 8. Atasajiliwa namba 6 anatosha.

Waachie SSC wafanye mambo yao!
 
Viungo wote wa utopolo united hawajawahi kufua dafu mbele ya viungo wa SSC.

Mzamiru ni mashine bora sana akicheza kama namba 8. Atasajiliwa namba 6 anatosha.

Waachie SSC wafanye mambo yao!
Kiungo Bora akicheza na Yanga??

Kwani msimu mzima mnacheza na Yanga sc tu.

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom