Kama Simba SC wasiposajili viungo wa Kati namba 6 na 8 sioni Kama watafanya vizuri kimataifa na mechi za ndani ya ligi

Kama Simba SC wasiposajili viungo wa Kati namba 6 na 8 sioni Kama watafanya vizuri kimataifa na mechi za ndani ya ligi

Bado wanatakiwa kusajili beki wa kati wa kiwango cha juu, na atakayeingia moja kwa moja kwenye kikosi cha kwanza! Maana Joash Onyango na Mohamed Outtara wameondoka.

Golikipa wa kumpa changamoto Aishi Manula naye anahitajika! Aisee wakiendelea kusajili kwa mihemko, aibu itakiwa yao kwa mara nyingine tena msimu ujao.
 
Bado wanatakiwa kusajili beki wa kati wa kiwango cha juu, na atakayeingia moja kwa moja kwenye kikosi cha kwanza! Maana Joash Onyango na Mohamed Outtara wameondoka.

Golikipa wa kumpa changamoto Aishi Manula naye anahitajika! Aisee wakiendelea kusajili kwa mihemko, aibu itakiwa yao kwa mara nyingine tena msimu ujao.
Ngoja tuone vurugu ligi ikianza.

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Mpaka Sasa naona ujio wa mawinga tu japo Kuna hadithi za Fabrice Ngoma.

Kwa Sasa namba sita na nane unachezwa na Sadio kanuti na Mzamiru Yasini, tukizungumza kimpira Sadio bado hajakidhi viwango vya kimataifa hivyo hivyo na Mzamiru Yasini.

Nadhani usajili wa viuongo wa Kati ili kuboresha kikosi na iwe msaada mkubwa katika kikosi Cha Simba sc, lakini Kama Simba wataendelea kusajili mawinga na kujipa moyo Kati kuwa wapo Bora Binafsi naona kabisa Simba haitafika kokote.

Uchezaji wa Sadio kimataifa bado kulingana na Rafu anazocheza anaweza kuigharimu Timu endapo atakua tegemezi kwa upande wa Mzamiru Yasini Sina Imani nae anapokutana na Timu yenye viungo ngangali Kama Azam huwa anapotea vibaya mno.

Kusajili viuongo wa kimataifa na wenye Experience hakika itakua ni nafuu ya Simba sc lakini tofauti na hivyo naiona Simba ikiangukia pua kimataifa na na ndani ya ligi.
Usiamshe waliolala
 
Wewe Utopolo uchungu na Simba tangu lini.?!
 
Kwani tumekuambia tumemaliza kusajili?
 
Watu wana mawazo sana duhh! Simba yenye viungo unaowataja ndiyo imecheza robo fainali CAF tena ikatolewa kwa penalties kama viungo wake wangekuwa wabovu the way you say isingefika hapo.
Kila timu ina uimara wake na udhaifu wake , kazi ya kocha ni kuuzuia udhaifu wa timu yake usiwaathiri wao kama timu huku kocha wa timu pinzani akiwajibika kuhakikisha anautumia udhaifu huo kupata ushindi.Timu inaweza kuwa na forward mbovu ikawa na beki na kiungo bomba ikakutandika wewe mwenye forward nzuri ukabaki kusema inakuwaje kakufunga wakati forward yake ni butu ishu ni namna ya kutumia sehemu ulizo imara kummaliza mpinzani huku ukimfanya asiutumie udhaifu wako kukudhuru bara baras.
Kwa mfano YANGA walishindwa vipi kuutumia udhaifu huo walipokutana?
Wydad walishindwa nini kuutumia udhaifu huo kirahisi tu kama udhaifu ulikuwa upo wazi?

NB:Hakuna timu isiyo na udhaifu
 
Watu wana mawazo sana duhh! Simba yenye viungo unaowataja ndiyo imecheza robo fainali CAF tena ikatolewa kwa penalties kama viungo wake wangekuwa wabovu the way you say isingefika hapo.
Kila timu ina uimara wake na udhaifu wake , kazi ya kocha ni kuuzuia udhaifu wa timu yake usiwaathiri wao kama timu huku kocha wa timu pinzani akiwajibika kuhakikisha anautumia udhaifu huo kupata ushindi.Timu inaweza kuwa na forward mbovu ikawa na beki na kiungo bomba ikakutandika wewe mwenye forward nzuri ukabaki kusema inakuwaje kakufunga wakati forward yake ni butu ishu ni namna ya kutumia sehemu ulizo imara kummaliza mpinzani huku ukimfanya asiutumie udhaifu wako kukudhuru bara baras.
Kwa mfano YANGA walishindwa vipi kuutumia udhaifu huo walipokutana?
Wydad walishindwa nini kuutumia udhaifu huo kirahisi tu kama udhaifu ulikuwa upo wazi?

NB:Hakuna timu isiyo na udhaifu
SAWA .
 
Back
Top Bottom